NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
"Aaamin"Yanga anafugwa kesho.
Waliaminisha mashabiki wao kuwa watabeba ndoo mwaka huu lkn ghafla upepo Umegeuka na wakiangalia mnyama anakuja kasi ya 5g na Kuna dalili mnyama kushinda mechi zake zote za viporo na kuongoza ligi na hakutakuwa na dalili ya kutema ubingwa.Mwakalebela anapoteza weredi kwenye soka.
Kwa tafsiri ya utopolo kufungwa ni kuonewaMmeanza kupotosha, kwani kasema wakifungwa au wakionewa?
SuuuusaaSUSA KUDADEKI! SUSA! SUSA!
Mashabiki wa Simba mnateseka na nini kwa kauli za viongozi wa Yanga?Kwa tumbo kama hili weledi autoe wapi ilhali mimavi inaulizana tumboni tutapelekwa lini chooniView attachment 1706840
Sio wafungwe wanyimwe penalt na watoke Sare tuwao eView attachment 1706382
Kwa kuwa Mtibwa nayo ni timu ina Mungu
Kwa kuwa refa naye ni binadam aanaweza kupitiwa
Namuomba Mungu afanye jambo kesho, Yanga wapigwe, halafu refa akosee awanyime goli la ofside.Halafu tuone huu upuuzi wanaoongea viongozi wa Yanga.
Timu ya maana hawana wanalilia kombe?
Suuuusaa
Ligi ya muungano iliisha baada ya Zanzibar kuruhusiwa na CAF kuingiza vilabu vyao kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho moja kwa moja hivyo kukawa hakuna haja tena ya ligi ya muungano ili kupata wawakilishi wataokwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano hayo ya CAF,usilete uongo wako na kujimwambafy
Hakuna anaeteseka, jifungieni ndani mfanye maamuzi yenu wenyewe mnakuja public kumtisha naniMashabiki wa Simba mnateseka na nini kwa kauli za viongozi wa Yanga?
Hakuna Team Hapowanavyolalamika utafikiri wenyewe hawajawi kushinda kwa makosa hayo hayo ya marefa. Nimewadharau sana Utopolo.
Hivi Cecafa ya Musonye ipo wapi sikuhiziLigi ya muungano iliisha baada ya Zanzibar kuruhusiwa na CAF kuingiza vilabu vyao kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika na kombe la shirikisho moja kwa moja hivyo kukawa hakuna haja tena ya ligi ya muungano ili kupata wawakilishi wataokwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano hayo ya CAF,usilete uongo wako na kujimwambafy
Hawafikirii mbali hawa hizi kauli zao. Kesho wakikosa wadhamini wanaanza lialia.Anafukuza wadhamini bila kujijua
Susa,susaaaa kudadadeqMashabiki wa Simba mnateseka na nini kwa kauli za viongozi wa Yanga?
Mungu wako kakusilikilizaView attachment 1706382
Kwa kuwa Mtibwa nayo ni timu ina Mungu
Kwa kuwa refa naye ni binadam aanaweza kupitiwa
Namuomba Mungu afanye jambo kesho, Yanga wapigwe, halafu refa akosee awanyime goli la ofside.Halafu tuone huu upuuzi wanaoongea viongozi wa Yanga.
Timu ya maana hawana wanalilia kombe?