BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Habari ndugu zangu Watanzania.
Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.
Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.
Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike
Namuombea msamaha kwa haya machache
Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
Naomba kuwasilisha
Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.
Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.
Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike
Namuombea msamaha kwa haya machache
- Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
- Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
- Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo
Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
- Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
- Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
- Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua
Naomba kuwasilisha