Namuombea msamaha hayati Magufuli kwa makosa aliyoyatenda

Namuombea msamaha hayati Magufuli kwa makosa aliyoyatenda

Ebu Watanzania hasa sukumagangnians ebu jitafakarini...
Kwanini mnaendelea kutafuta maendeleo makaburini huko?
JPM alikuwepo. Na sasa ameenda! Na hatorudi tena nawaambia!
Kubalini kupokea na kuishi ukweli!

Yaani mnataka tuache kujenga nchi tuingie kwenye malumbamo ya kijinga jinga kisa mwendazake JPM? HAIWEZEKANI!
Tulifiwa na JKN mchora ramani; tumesonga mbele tupo! Kufa JPM ndo tushindwe kuishi kila siku tukeshe makaburini? HAIWEZEKANI!

JPM will never ever come back from the dead!

Siwashauri mfe sasa ili mkawe nae. Nawashauri mpevuke muishi. Kufa ni ibada ya lazima.
Lakini kwa sasa Mapambano lazima yaendelee!

Kama kuna ahadi aliwapa ndo hivyo tena!
Kama vipi ipasueni ccm ili wote mkose!
Au mkiweza hizo nguvu mnatumia kuhoji kulalamika na kutafuta fadhila zitumieni kuwa kama yeye... jengeni mabarabara vijijini!!
 
Tukiorodhesha maufisadi yakeutaenda kunya juu ya kaburi wewe
Hi unakumbuka hasara aliliingizia taifa?
1 kivuko kibovu
2. Meli ya wachina
3 mkataba wa Br ya bagamoyo
4 moto cha mafuta mwanza
5 Nyumba Serikali
6 atcl ufisadi
Mayanga Construction... ilijimilikisha tenda za barabara... ikazijenga chini ya kiwango. Kila siku Tanroads wapo barabarani kutindua na kuweka viraka! Na Mayanga haijwai fanywa kitu...

Makonda + Sabaya and co. waliteka, walidhuru, walibaka na walipora watu mubashara in his name!

Mimi JPM kwa kweli HAPANA... machale yanakataa. Akili zinagoma! Namfahamu vizuri kuanzia pale Chato kjijini.
 
CCM imeshindwa kumlinda Magufuli matusi mengine anayotukanwa leo alifanya kwa maslahi ya chama chake.Aliitoa ICU na alikoiacha ameondoka na siri yake.

Muda utaongea pigia mstari hii post
Chama kipi?
 
Kwa hiyo una tattoo ya jiwe kwenye moyo wako?Kompyuta mpakato kabisa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnang'ata na kupuliza fuuuu kama panya buku waaa...[emoji28]

Siasa zenu za mavi kabisa tena uharo, yani uzi mmoja mnajigeuza Malaika kumsifia Kiongozi wa chama chenu pendwa tena uzi mwingine mnageuka majoka hatari sana kumponda huyo huyo mliyekuwa mnamsifia tena kwa zaidi ya ID mia 100 [emoji13]
 
Hao na wengine wengi wasiojulikana. Halafu usiwe fala kama mkapa aliuwa watu siyo justification ya magufuli na yeye kuuwa watu wasio na hatia. pumbavu
View attachment 2192153View attachment 2192154View attachment 2192156View attachment 2192159
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
IMG-20220419-WA0239.jpg
 
Mungu mwenyewe hawezi msamehe sisi kina nani hadi tumsamehe?
Avune alichopanda
 
labda kama una sema mungu nasio Mungu.
Hivi unajua Mungu anasamehe kila dhambi?? Pole sana kasome maandiko vizuri. Mengine hayana msamaha.... Unajipa cheo kikubwa zaidi ya malaika? Hapana kwa kweli tuliongozwa na kichaa
 
Back
Top Bottom