Namuombea msamaha hayati Magufuli kwa makosa aliyoyatenda

Namuombea msamaha hayati Magufuli kwa makosa aliyoyatenda

Nani atalipia uhai wa Ben Saanane, Godfrey Luena, Mawazo, Azori, Daniel John n.k

Nani atamwomba msamaha Tundu Lisu?

Nani atamrudisha Samson Kanguye?

Magufuli alitakiwa atengeneze mambo ya nyumba yake. Hakufanya hivyo. Wacha wampopoe hata akiwa mfu

zanzibar pemba mkampa aliwamaliza wangapi
 
kaamulize mkapa aliwapoteza watu wangapi zanzibar pemba. makufuli kapoteza nani? kila siku azory azory
Hao na wengine wengi wasiojulikana. Halafu usiwe fala kama mkapa aliuwa watu siyo justification ya magufuli na yeye kuuwa watu wasio na hatia. pumbavu
JamiiForums-1496586432.jpg
JamiiForums1488785277.jpg
JamiiForums-1395756223.jpg
JamiiForums-1933124995.jpg
 
Miaka 23 hatujamwacha Mwalimu Nyerere akapumzika. Mwl si alikuwa mwanadamu! kwanini hatudhani kwamba hakuwa perfect. Makapa hatujamwacha akapumzika n.k.

Viongozi ni public figures kuna privileges' lakini pia responsibilities

Kinachoongelewa si mwanadamu bali kiongozi na mtawala.
Rekodi yake inajadiliwa na kupitia rekodi za viongozi tunajifunza kama Taifa

Nyerere aliposema Katiba inamruhusu kuwa Dikteta nani alimwelewa?
Leo nani asiyemwelewa? Na watu wamejifunza wapi na lini?

JokaKuu ni makosa gani asamehewe na aliwakosea akina nani?

unayajua aliyoyafanya nyerere? au wewe mtoto wa juzi. nyerere kataifisha mjumba ya watu tanzania nzima tena za waislamu hata ikulu ya magogoni ilikuwa ya mwarabu watu wamelishwa unga wa ugali wa njano dawa ya mswaki unapewa 1 kwa kila kaya. mkapa kaichafua pemba watu walikimbilia nje ya nchi kesi ya rada iko wapi mbona hao hamwasemi mnashingilia ujinga. chuki zenu kwa makufuli wengi wenu ni wachaga na chadema
 
Taasisi watumishi wake waliopunguziwa mishahara inajulikana
Waliotolewa kauli mbaya inajulikana

Tumsamehe hayati kwa makosa machache madogo, na tufurahie mazuri yake mengi. Mh. Rais arekebishe kasoro hizo ndogo. Mi naona mengi mazuri kwake
Hapo ndipo unapokosea kusema mazuri ni mengi kuliko mabaya wakati ni kinyume chake.
 
Ndumilakuwili hilo limetumwa kuja kupima akili za wa-TZ zikoje kumbe lenyewe ndiyo limeonekana pumba pumba haswa [emoji16]

JPM hafutiki na hatafutika kamwe mioyoni mwa wa-TZ, labda ziharibuni kazi zake zinazoonekana [emoji38]

Umesahau kusema mbele ya wa-Tz wanyonge au Sukuma gang.
 
Habari ndugu zangu Watanzania.

Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.

Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.

Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike

Namuombea msamaha kwa haya machache
-Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
-Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
-Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo

Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
  • Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
  • Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
  • Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua

Naomba kuwasilisha
Naunga mkono JPM ana mambo msingi ya kushughulika nayo huko aliko. Hawezi saidia chochote katika taifa, nadhani wanaopenda kulalama ni wavivu wa kufikiria. Kama kosa limeshafanyika na lishapita liko kwenye historia, nadhani watu wajikite kurekebisha zaidi badala ya kunyoosha vidole.

Mie nitoe ushauri wangu huu wa kila siku, wananchi wajikite zaidi kuchanganua sheria zetu zikoje na zinalisaidia vipi taifa. Pale penye mapungufu wawakalie rohoni wabunge bila ya itikadi. Kama kuna somo la maisha ya JPM basi ni hilo la sheria zetu zilitumika vipi na zina udhaifu gani.

Moja eneo linalohitaji marekebisho ni madaraka ya raisi, DC, RC n.k. Hata hili la kesi kutokuwa na dhamana lina utata mkubwa na nadhani linatumika zaidi kupinisha haki. Maishani mwangu nimeshuhudia kesi nyingi sana zikipelekea watu kusota jela na hatimae zinafutwa. Watu hawalipwi fidia wala waliohusika hawawajibishwi kwa kueka watu ndani bila ya sababu ya msingi .... Anaamka tuu wakili wa serekali anasema basi sina haja ya kuendelea na kesi!!! Ulikuwa wapi siku zote ?????
 
hamna mwenye hasira hapa ni kichwa chako kigumu kinafanya nitumie lugha yenye amri ili kukuongezea umakini.
unasema hakuwa mtetezi wa wanyonge,unajua bei ya mafuta na vifaa vya ujenzi imefika wapi saa hii ??achana na ya kupikia hii imekuwa anasa kuwa nayo.
kutumia pesa za serikali ni jambo moja,na kuzisimamia zionekane zikifanya jambo ndio sifa ya jpm pekee,labda hukuwa umezaliwa nenda kafatilie akiwa waziri wa ujenzi alifanya nini wajinga wajinga,nenda kafatilie akiwa waziri wa uchukuzi hali ilikiwaje!!!msikae mbele za watu na makelele tupu,tafitini mambo.makonda alitumbuliwa wakati ambao labda weww hukupenda.ila kapoteza kazi bado jpm akiwa rais.
jpm havuni alichopanda,ameshakufa tayari kazi mnayo nyinyi kupigia kelee mtu asiyekuwepo,watanzania wanawachora jinsi mlivyo hamnazo.
Hivi Jiwe wakati ni waziri sini yeye aliyeuza nyumba za serikali na kuwaonga hawala zake? Umesahau ishu ya kivukl kibovu.
 
Habari ndugu zangu Watanzania.

Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.

Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.

Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike

Namuombea msamaha kwa haya machache
-Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
-Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
-Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo

Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
  • Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
  • Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
  • Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua

Naomba kuwasilisha
Upo tayari kukinywea kikombe cha JPM! Mwache bado mambo hayajajulikana subirini mtaona lazima haki itendeke.
 
Mr. Mayalla I'd rather think otherwise but let me put it clear...
JPM is long dead,he cannot apologise,he cannot respond nor can he defend himself against all these allegations.

My question is,why do politicians and some few people use a lot of resources and time to abuse somebody who is already a spirit...?

Ikiwa JPM alikuwa mbaya kiasi hicho kwanini watu walikuwa wanahangaika kuuzungusha mwili wake huku wakimsifia......?

Hivi hawa wanasiasa wanakumbuka kuna familia ziliangamia kipindi cha kuagwa mwili wa JPM kwa uzembe wao?

Uzuri almost 80% ya watanzania wanajua magufuli alikuwa ni rais mwenye nia njema.

Watamtetea kwenye nafsi zao....magufuli ataandikwa kwenye vitabu na watoto wetu watamsoma.
Labda kama vitabu vinaandikwa na wanyonge, ila kama ni watu wenye utimamu sidhani. Yule atakumbukwa kwa uovu wake kwa wa Tanzania
 
unayajua aliyoyafanya nyerere? au wewe mtoto wa juzi. nyerere kataifisha mjumba ya watu tanzania nzima tena za waislamu hata ikulu ya magogoni ilikuwa ya mwarabu watu wamelishwa unga wa ugali wa njano dawa ya mswaki unapewa 1 kwa kila kaya. mkapa kaichafua pemba watu walikimbilia nje ya nchi kesi ya rada iko wapi mbona hao hamwasemi mnashingilia ujinga. chuki zenu kwa makufuli wengi wenu ni wachaga na chadema

Sisi Wachagga na cdm tunamsema Magufuli, ww msukuma waseme Nyerere na Mkapa. Ni suala la kugawana majukumu tu. Umepanic mpaka inabidi uingize ukabila.
 
..Ni jambo zuri sana.

..lakini inabidi uyataje hayo makosa, na waliokosewa.

..Tanzania inahitaji TUME YA UCHUNGUZI itakayowezesha wote walioumizwa, kujulikana, kusuluhishwa, na kuombwa msamaha.

Tuanzie awamu gani?
 
Acha Ufala! 80% walimpenda, unaitoa wapi hiyo taarifa? Hivi Angeangaika kuiba kura kama alipendwa kiasi hichi? Au alipendwa na machizi wasio na sifa ya kupiga kura?
Sibishani na watu wa itikadi....ninatoa maoni yangu maana hata sasa Fanya random survey uliza kati ya rais magufuli na aliyeko madarakani nani zaid.....then urudi hapa utupe majibu.
 
Sisi Wachagga na cdm tunamsema Magufuli, ww msukuma waseme Nyerere na Mkapa. Ni suala la kugawana majukumu tu. Umepanic mpaka inabidi uingize ukabila.
Wachaga mtulie hamjawahi kushika dola. Mmezaliwa ili muongozwe na itabaki hivyo.
 
Naunga mkono JPM ana mambo msingi ya kushughulika nayo huko aliko. Hawezi saidia chochote katika taifa, nadhani wanaopenda kulalama ni wavivu wa kufikiria. Kama kosa limeshafanyika na lishapita liko kwenye historia, nadhani watu wajikite kurekebisha zaidi badala ya kunyoosha vidole.

Mie nitoe ushauri wangu huu wa kila siku, wananchi wajikite zaidi kuchanganua sheria zetu zikoje na zinalisaidia vipi taifa. Pale penye mapungufu wawakalie rohoni wabunge bila ya itikadi. Kama kuna somo la maisha ya JPM basi ni hilo la sheria zetu zilitumika vipi na zina udhaifu gani.

Moja eneo linalohitaji marekebisho ni madaraka ya raisi, DC, RC n.k. Hata hili la kesi kutokuwa na dhamana lina utata mkubwa na nadhani linatumika zaidi kupinisha haki. Maishani mwangu nimeshuhudia kesi nyingi sana zikipelekea watu kusota jela na hatimae zinafutwa. Watu hawalipwi fidia wala waliohusika hawawajibishwi kwa kueka watu ndani bila ya sababu ya msingi .... Anaamka tuu wakili wa serekali anasema basi sina haja ya kuendelea na kesi!!! Ulikuwa wapi siku zote ?????
Hakuna uwezekano wa kufanyika hayo mabadiliko maana bunge hili yeye ndio kaliweka, na haliko tayari kufanya mabadiliko maana litapoteza madaraka.
 
Nenda LIVE na wanahabari...

Idea nzuri hii,, unaweza kupata teuzi..
 
Back
Top Bottom