Mr. Mayalla I'd rather think otherwise but let me put it clear...
JPM is long dead,he cannot apologise,he cannot respond nor can he defend himself against all these allegations.
My question is,why do politicians and some few people use a lot of resources and time to abuse somebody who is already a spirit...?
Ikiwa JPM alikuwa mbaya kiasi hicho kwanini watu walikuwa wanahangaika kuuzungusha mwili wake huku wakimsifia......?
Hivi hawa wanasiasa wanakumbuka kuna familia ziliangamia kipindi cha kuagwa mwili wa JPM kwa uzembe wao?
Uzuri almost 80% ya watanzania wanajua magufuli alikuwa ni rais mwenye nia njema.
Watamtetea kwenye nafsi zao....magufuli ataandikwa kwenye vitabu na watoto wetu watamsoma.
..serikali, ambayo ni taasisi aliyoiongoza na kupelekea kufanya uovu ipo. hivyo serikali inapaswa kuomba radhi kwa makosa hayo.
..pia kuna chama ambacho alikuwa mwenyekiti wake, na alitenda kwa kutumwa na kuongozwa na chama hicho. hivyo chake chake kinapaswa kuomba radhi kwa mabaya yaliyotokea.
..Ni kweli Jpm amefariki, lakini walioathirika kutokana maamuzi yake mbaya wapo, hivyo wanastahili kutambuliwa na kuombwa msamaha.
..Mema ya Jpm yaandikwe ili wananchi wajifunze na kuyaendeleza. Mabaya ya Jpm nayo yaandikwe na kukemewa ili yasirudiwe tena.