Namuombea msamaha hayati Magufuli kwa makosa aliyoyatenda

Namuombea msamaha hayati Magufuli kwa makosa aliyoyatenda

Mr. Mayalla I'd rather think otherwise but let me put it clear...
JPM is long dead,he cannot apologise,he cannot respond nor can he defend himself against all these allegations.

My question is,why do politicians and some few people use a lot of resources and time to abuse somebody who is already a spirit...?

Ikiwa JPM alikuwa mbaya kiasi hicho kwanini watu walikuwa wanahangaika kuuzungusha mwili wake huku wakimsifia......?

Hivi hawa wanasiasa wanakumbuka kuna familia ziliangamia kipindi cha kuagwa mwili wa JPM kwa uzembe wao?

Uzuri almost 80% ya watanzania wanajua magufuli alikuwa ni rais mwenye nia njema.

Watamtetea kwenye nafsi zao....magufuli ataandikwa kwenye vitabu na watoto wetu watamsoma.

..serikali, ambayo ni taasisi aliyoiongoza na kupelekea kufanya uovu ipo. hivyo serikali inapaswa kuomba radhi kwa makosa hayo.

..pia kuna chama ambacho alikuwa mwenyekiti wake, na alitenda kwa kutumwa na kuongozwa na chama hicho. hivyo chake chake kinapaswa kuomba radhi kwa mabaya yaliyotokea.

..Ni kweli Jpm amefariki, lakini walioathirika kutokana maamuzi yake mbaya wapo, hivyo wanastahili kutambuliwa na kuombwa msamaha.

..Mema ya Jpm yaandikwe ili wananchi wajifunze na kuyaendeleza. Mabaya ya Jpm nayo yaandikwe na kukemewa ili yasirudiwe tena.
 
Habari ndugu zangu Watanzania.

Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.

Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.

Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike

Namuombea msamaha kwa haya machache
-Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
-Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
-Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo

Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
  • Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
  • Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
  • Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua

Naomba kuwasilisha
Hapo umekosea, hakuna kitu kibaya kama kutoa uhai wa mtu kabla ya mda wake, ni dhambi kubwa na haisameheki duniani
 
..serikali, ambayo ni taasisi aliyoiongoza na kupelekea kufanya uovu ipo. hivyo serikali inapaswa kuomba radhi kwa makosa hayo.

..pia kuna chama ambacho alikuwa mwenyekiti wake, na alitenda kwa kutumwa na kuongozwa na chama hicho. hivyo chake chake kinapaswa kuomba radhi kwa mabaya yaliyotokea.

..Ni kweli Jpm amefariki, lakini walioathirika kutokana maamuzi yake mbaya wapo, hivyo wanastahili kutambuliwa na kuombwa msamaha.

..Mema ya Jpm yaandikwe ili wananchi wajifunze na kuyaendeleza. Mabaya ya Jpm nayo yaandikwe na kukemewa ili yasirudiwe tena.
Na pia narudia swali lako , akina nani wanaombwa msamaha na kwa makosa gani?
Haiwezekani watu wakaomba msamaha tu hewani
 
..serikali, ambayo ni taasisi aliyoiongoza na kupelekea kufanya uovu ipo. hivyo serikali inapaswa kuomba radhi kwa makosa hayo.

..pia kuna chama ambacho alikuwa mwenyekiti wake, na alitenda kwa kutumwa na kuongozwa na chama hicho. hivyo chake chake kinapaswa kuomba radhi kwa mabaya yaliyotokea.

..Ni kweli Jpm amefariki, lakini walioathirika kutokana maamuzi yake mbaya wapo, hivyo wanastahili kutambuliwa na kuombwa msamaha.

..Mema ya Jpm yaandikwe ili wananchi wajifunze na kuyaendeleza. Mabaya ya Jpm nayo yaandikwe na kukemewa ili yasirudiwe tena.
Clear
 
Habari ndugu zangu Watanzania.

Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.

Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.

Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike

Namuombea msamaha kwa haya machache
-Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
-Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
-Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo

Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
  • Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
  • Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
  • Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua

Naomba kuwasilisha
Siyo kwa Kigezo cha Mabaya machache na mazuri mengi. Nijuavyo ni mabaya mengi mno na mazuri machache sana.
 
Huyu alikuwa kiongozi kama walivyo viongozi wote duniani. Mbona watu wanamsoma Hitler, Churchill , Mahtma , Lincoln, mapapa wa Vatican n.k.
Kwanini iwe tofauti na Nyerere ambaye 23 bado anasemwa left-right !

Ipi ni abuse? Kumbuka alikuwa public figure, kuna msemo '' with great power comes great responsibilities ''

Nukuu ya kwanza '' unakataza watu wasimseme marehemu kwasababu ameshafiriki , hawez kujitetea au kuomba msamaha. Nukuu yako ya mwisho unajipa uwezo wa kumsifia kwa 80% ya Watanzania kujua nia yake njema na kumtetea katika nafsi zao''

Mosi, unapata wapi mtima wa kukataza wengine wasimjadili lakini ukajipa uhuru wa kumjadili?

Pili, 80% ni kwa mujibu wa takwimu gani?
Mwingine akisema kinyume chake atakuwa amekosea wapi?
Go with what is right even if we have different perceptions.
 
Habari ndugu zangu Watanzania.

Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.

Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.

Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike

Namuombea msamaha kwa haya machache
-Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
-Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
-Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo

Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
  • Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
  • Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
  • Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua

Naomba kuwasilisha
umesahau kuua wapinzani wake, kufirisi watu, kunyang'anya watu mali zao, nk
 
Rais wa sasa alisema kuwa Rais huwa hakosei sasa kama Rais hakosei Magufuli atakua hajakosea chochote.
 
Mr. Mayalla I'd rather think otherwise but let me put it clear...
JPM is long dead,he cannot apologise,he cannot respond nor can he defend himself against all these allegations.

My question is,why do politicians and some few people use a lot of resources and time to abuse somebody who is already a spirit...?

Ikiwa JPM alikuwa mbaya kiasi hicho kwanini watu walikuwa wanahangaika kuuzungusha mwili wake huku wakimsifia......?

Hivi hawa wanasiasa wanakumbuka kuna familia ziliangamia kipindi cha kuagwa mwili wa JPM kwa uzembe wao?

Uzuri almost 80% ya watanzania wanajua magufuli alikuwa ni rais mwenye nia njema.

Watamtetea kwenye nafsi zao....magufuli ataandikwa kwenye vitabu na watoto wetu watamsoma.
Acha Ufala! 80% walimpenda, unaitoa wapi hiyo taarifa? Hivi Angeangaika kuiba kura kama alipendwa kiasi hichi? Au alipendwa na machizi wasio na sifa ya kupiga kura?
 
Kuna upotoshaji mkubwa sana unafanywa

1. Wanaosema marehemu hasemwi kwasababu hawezi kujitetea n.k. wanatumia kigezo dini.
JPM au kiongozi mwingine si viongozi wa dini bali wa nchi.

2. Wanaosema kumsema marehemu si utamaduni wetu, JPM na Viongozi wengine kama Nyerere si viongozi wa mila au tamaduni. Ni viongozi wa nchi

Viongozi wa nchi ni wa watu wote wakiwemo Wachawi, Majambazi, vibaka, wabakaji, wasomi, watu wa dini, wasio na dini, wafanyakazi, wafanyabiashara, wavivu, wapiga deal n.k.

Hawa nao wana nafasi yao katika kujadili viongozi kama kundi 1 na 2 hapo juu.

Kwa wanaoamini ni vibaya kumsema marehemu kwa dini hiyo ni imani yao.
Wanaoamini si utamaduni wetu huo ni utamaduni wao.

Imani na tamaduni za baadhi zisiwafunge wengine wenye haki zao

Muhimu kila mtu awe na ''Liberty'

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Habari ndugu zangu Watanzania.

Nimekuwa nikifatilia mijadala ya kumsema hayati Magufuli ikiwa inataradadi hapa jukwaani. Nipende tu kusema hakuna mwanadamu aliyemkamilifu. Kila mwanadamu ana mazuri na mabaya yake. Wote sisi ni waja wa Mwenyezi Mungu, na hatujakamilika.

Ukitaka kuangalia kwa undani utaona mazuri ni mengi kuliko mabaya kwa hayati Magufuli.

Namuombea msamaha kwa hayo mabaya machache aliyoyatenda maana yeye ni mwanadamu hajakamilika, na tufurahie kwa mazuri mengi aliyoyatenda. Tumuache hayati apumzike

Namuombea msamaha kwa haya machache
-Kupunguza mishahara kwa baadhi ya taasisi.
-Kutokuwa na kauli nzuri kwa watendaji wa hovyo
-Kushirikisha wasaidizi wako kabla ya kutenda kwa kila jambo

Ushauri kwa Mh. Rais wa Sasa
  • Sahihisha makosa ya mtangulizi wako kwa kuwarejeshea mishahara taasisi zote watumishi wake waliopunguziwa mishahara
  • Jitahidi kutoa kauli nzuri, za staha
  • Shirikisha wasaidizi wako hatua kwa hatua

Naomba kuwasilisha
Mauwaji aliyofanya ni makosa madogo?

Watoto wamebaki ukiwa

Wanawake wamekuwa wajane

Familia zilivurugwa na wasiojulikana

Teuzi za kikabila

Wizi was pesa za uma kuxitumia bila kufuata bajeti

Kupeleka miradi ya maendeleo Kwa kufuata alikopigiwa kura na huku akijua nao wanalipa Kodi ni kosa dogo hilo.

Acha kututania

Bora amekufa na adhabu yake huko kuzimu iongezeke mara dufu.

Acheni mungu aitwe mungu
1650281275861.jpg
1650281267535.jpg
1650281288122.jpg
1650295306129.jpg
 
Hizi kelele za matusi kwa Magufuli zina mwisho ngoja Mabeyo astaafu kwanza, hii aibu ya matusi haivumilika hawa mende naona wamekosa ya kufanya, hukumu ni hapa hapa, haya mavuvuzela ndio yatakayo mwangamiza Samia na ndio yanayo mteta kila siku, tunatunza charts zao na voice note, muda utaongea, sasa hivi tunavunja vichuguu vyote hawa siafu watakuja tu. time never reverse
 
Ni vyema kuandika ili vizazi vijavyo vifahamu.

By the way msamaha wa jamaa ni kitabu chenye page kama 600 hivi. Maana huwezi kufukia yote kwa uzi mmoja wenye bullets tatu.
 
Hizi kelele za matusi kwa Magufuli zina mwisho ngoja Mabeyo astaafu kwanza, hii aibu ya matusi haivumilika hawa mende naona wamekosa ya kufanya, hukumu ni hapa hapa, haya mavuvuzela ndio yatakayo mwangamiza Samia na ndio yanayo mteta kila siku, tunatunza charts zao na voice note, muda utaongea, sasa hivi tunavunja vichuguu vyote hawa siafu watakuja tu. time never reverse
Kenge we
 
Kwa hiyo hawa wanaobambikiza tozo ndo malaika, wao hawastahili kuomba msamaha kwa kuwasababishia wananchi ugumu wa maisha huku wakijificha kwenye uviko, vita ya ukraine na kwenye kivuli cha marehemu?
 
mtamsema sana lakini hamtashinda mtamtumia CAG kumchafua lakini hamtashinda jpm bado atakumbukwa
 
Vipi na tuliopoteza wapendwa wetu ambao mpaka leo hatujui walipo? Lissu tunamwachia mwenyewe maana bado yupo hai akiamua kumsamehe au akidai fidia atajua mwenyewe

kaamulize mkapa aliwapoteza watu wangapi zanzibar pemba. makufuli kapoteza nani? kila siku azory azory
 
Back
Top Bottom