Namuona Amos Makalla akichua mikoba ya Makonda na John Mongela akichukua nafasi ya Naibu Katibu Mkuu Anamringi Macha!

Namuona Amos Makalla akichua mikoba ya Makonda na John Mongela akichukua nafasi ya Naibu Katibu Mkuu Anamringi Macha!

sambulugu

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
4,485
Reaction score
8,562
Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha!

Pia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela kuna kila dalili ya kujaza nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa chama ambayo iliachwa wazi na Anamringi Macha ambaye aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya!

Hata hivyo swali kubwa la kujiuliza ni kwa jinsi gani Makala atakivaa kiatu cha Makonda ambaye tayari tunaweza kusema alikitumikia cheo chake tofauti na namna wana chama au wananchi walivyozoea!

Hali hii imemfanya bwana Makonda kudumu kwa mda wa miezi takribani mitano tu kwenye wadhifa huo wa Uenenzi na Mafunzo!

Makala inaonesha atakuwa chaguo sahihi kwa sasa ili kurejesha umoja ndani ya chama maana mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi wa serkali za mitaa!

Cha kujiuliza ni kwa jinsi gani Makala ataendana na kundi lililokuwa linamuunga mkono Makonda ndani ya chama!

Kwa maoni yangu japo Makala anaweza kuwa mwenezi kwa sasa ila si mtu mwenye mvuto kwa wananchi ila kwa vile ni mtu wa team ambayo inafanya kazi na Mama sio mbaya akatumia kwa mda atakaopata!

CCM japo imechokwa na wananchi walio wengi inapaswa sana ifanye maamuzi kulingana na wananchi wanachotaka kwa kuleta mtu asiye na makando kando na mwenye uwezo wa kuvuta watu!

Sio dhambi wakimchukua kijana Kheri James kwa hapo baadae kadri taifa linavyoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuweza kuwavuta wananchi!

Lakini pia CCM inapaswa sana kufanyia kazi jambo la umoja ndani ya chama hii hali ya kubadili Makatibu Wakuu na Wenezi mara kwa mara ni kuonesha odhaifu mkubwa wa kiuongozi!

Asanteni na kila la heri kwa wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi!

====

Pia soma: Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi
 
Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha!

Pia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela kuna kila dalili ya kujaza nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa chama ambayo iliachwa wazi na Anamringi Macha ambaye aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya!

Hata hivyo swali kubwa la kujiuliza ni kwa jinsi gani Makala atakivaa kiatu cha Makonda ambaye tayari tunaweza kusema alikitumikia cheo chake tofauti na namna wana chama au wananchi walivyozoea!

Hali hii imemfanya bwana Makonda kudumu kwa mda wa miezi takribani mitano tu kwenye wadhifa huo wa Uenenzi na Mafunzo!

Makala inaonesha atakuwa chaguo sahihi kwa sasa ili kurejesha umoja ndani ya chama maana mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi wa serkali za mitaa!

Cha kujiuliza ni kwa jinsi gani Makala ataendana na kundi lililokuwa linamuunga mkono Makonda ndani ya chama!

Kwa maoni yangu japo Makala anaweza kuwa mwenezi kwa sasa ila si mtu mwenye mvuto kwa wananchi ila kwa vile ni mtu wa team ambayo inafanya kazi na Mama sio mbaya akatumia kwa mda atakaopata!

CCM japo imechokwa na wananchi walio wengi inapaswa sana ifanye maamuzi kulingana na wananchi wanachotaka kwa kuleta mtu asiye na makando kando na mwenye uwezo wa kuvuta watu!

Sio dhambi wakimchukua kijana Kheri James kwa hapo baadae kadri taifa linavyoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuweza kuwavuta wananchi!

Lakini pia CCM inapaswa sana kufanyia kazi jambo la umoja ndani ya chama hii hali ya kubadili Makatibu Wakuu na Wenezi mara kwa mara ni kuonesha odhaifu mkubwa wa kiuongozi!

Asanteni na kila la heri kwa wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi!
Mvuto, kuwavuta..lugha gani hii wewe ni mganga wa kienyeji? waganga wanatumia sana maneno haya kwenye matangazo yao..watu wanataka vitendo wewe bado unaongea kuvuta watu sijui kichawi, unawavutaje sasa..
 
Nimepata hii NJOZI leo, Mama atapendekeza majina mawili, Ally salum hapi na Amos Makalla,

Safari hii mama ameachia chama ndio kiamue..

ameshindwa kabisa kupendekeza jina moja...kuhofia yasije kujirudia kama ya aliepita.

Hivyo atapendekeza majina hayo mawili kupigiwa kura na wajumbe wa halmashauri kuu na sekretarieti ya chama.

Safari hii mama ameamua chama ndio kitoe maamuzi na si yeye kuendekeza jina 1 tu

Atakaeibuka kidedea ni Amos Makalla kutokana na kuwa na mizizi imara kwenye chama.

Ally happy kwenye chama anaonekana kuwa na mizizi hafifu ndani ya chama mithili ya mpapai.
 
Nimepata hii NJOZI leo, Mama atapendekeza majina mawili, Ally salum hapi na Amos Makalla,

Safari hii mama ameachia chama ndio kiamue..

ameshindwa kabisa kupendekeza jina moja...kuhofia yasije kujirudia kama ya aliepita.

Hivyo atapendekeza majina hayo mawili kupigiwa kura na wajumbe wa halmashauri kuu na sekretarieti ya chama.

Safari hii mama ameamua chama ndio kitoe maamuzi na si yeye kuendekeza jina 1 tu

Atakaeibuka kidedea ni Amos Makalla kutokana na kuwa na mizizi imara kwenye chama.

Ally happy kwenye chama anaonekana kuwa na mizizi hafifu ndani ya chama mithili ya mpapai.
njozi
 
Ndani Ya CCM Yote Yanawezekana Tena Mchana Kweupe
 
Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha!

Pia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela kuna kila dalili ya kujaza nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa chama ambayo iliachwa wazi na Anamringi Macha ambaye aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya!

Hata hivyo swali kubwa la kujiuliza ni kwa jinsi gani Makala atakivaa kiatu cha Makonda ambaye tayari tunaweza kusema alikitumikia cheo chake tofauti na namna wana chama au wananchi walivyozoea!

Hali hii imemfanya bwana Makonda kudumu kwa mda wa miezi takribani mitano tu kwenye wadhifa huo wa Uenenzi na Mafunzo!

Makala inaonesha atakuwa chaguo sahihi kwa sasa ili kurejesha umoja ndani ya chama maana mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi wa serkali za mitaa!

Cha kujiuliza ni kwa jinsi gani Makala ataendana na kundi lililokuwa linamuunga mkono Makonda ndani ya chama!

Kwa maoni yangu japo Makala anaweza kuwa mwenezi kwa sasa ila si mtu mwenye mvuto kwa wananchi ila kwa vile ni mtu wa team ambayo inafanya kazi na Mama sio mbaya akatumia kwa mda atakaopata!

CCM japo imechokwa na wananchi walio wengi inapaswa sana ifanye maamuzi kulingana na wananchi wanachotaka kwa kuleta mtu asiye na makando kando na mwenye uwezo wa kuvuta watu!

Sio dhambi wakimchukua kijana Kheri James kwa hapo baadae kadri taifa linavyoelekea kwenye uchaguzi mkuu ili kuweza kuwavuta wananchi!

Lakini pia CCM inapaswa sana kufanyia kazi jambo la umoja ndani ya chama hii hali ya kubadili Makatibu Wakuu na Wenezi mara kwa mara ni kuonesha odhaifu mkubwa wa kiuongozi!

Asanteni na kila la heri kwa wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi!
Makala siyo mzuri kwenye siasa yule mzuri kiutendeji, kwanini wasimrudishe Nape then Makala akawe waziri! Nape siyo mtendaji wala Mwigulu wale wangefaa zaidi kukipushi chama
 
Back
Top Bottom