Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Ndani ya CCM atafundishwa lila liloovu,ili aendelee kuyarinda,bora abakie apoapo,ikipelekwa TISS utamkana siku moya
Mbali wapi tena kwenye vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hapo alipo ni juuKwa kazi nzuri na ya kutukuka huko Takukuru, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni namuona akifika mbali sana katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa.
Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa wajiandae, Hamduni amewasha moto mkali na lazma afike mbali sana.
ππ€£π πππππKipi cha maana alichokifanya so far?
Unaweza ku-share nasi,Ni kazi gani mzuri na yakututuka amefanya CP Hamduni amefanya Takukuru kwa kipindi alichokaa ,kushajahisha maono yako
Kwa hiyo achukue nafasi ya uwakilishi wa wanamchi Kwa jamaa ngazi ya kata?personal namjua kama mtu mmoja mpenda aman sana.
halafu ni mtu wa dini practically sio wale wahudhuriaji swala 5 halafu matendo 0.
anafaa kokote sababu akili imetulia pia.
labda TISSKwa kazi nzuri na ya kutukuka huko Takukuru, Kamishna wa Polisi, Salum Hamduni namuona akifika mbali sana katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kuna sauti ndani yangu inanambia, CP Hamduni atapanda juu zaidi siku si nyingi toka sasa.
Kwahyo wale waliobakia, ambao taasisi zao hazijaguswa wajiandae, Hamduni amewasha moto mkali na lazma afike mbali sana.