Namuonea huruma huyu dada, nilitaka urafiki wa kawaida na si mapenzi

Duh kazi kweli kweli
 
Nirishie namba yake pm
Mi najua wew na iko kidada mpo SUA.. Nshaelewa raman
 
Nawasalimu kwa jina la JF, shuhuda ziendelee.

Wakuu imepita takribani miezi kadhaa hivi tangu ni fahamiane na huyu dada, nikiri kwa hii hali iliyofikia mie ndiye wa kulaumiwa.
Sawa mwanafunzi wa SUA,
 
Dogo Chuo kuna mapenzi na ku Disco sasa chaguo ni lako, piga mbususu udisco au piga shule uje kitaa kuteseka na bahasha
 
Huyo mtoto usimuache bila kumpelekea Moto kisawa sawa halafu ndio umuache atakuheshimu ila usipomla atakusumbua sana,ila kumbuka condom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…