Namuunga mkono mchezaji aliekataa kuvaa jezi za kuhamasisha ushoga licha ya wenzake kuzivaa

Ulivyompumbavu hujui PSG inamilikuwa na shekhe Mansur I


USSR
Watu wanaongozwa na hisia!

Yupo mwengine humu alikuwa anashangilia youtuber mmoja mzungu alisilimu na akasema anazipenda sana nchi za Uturuki na Palestine baada ya kusema hivyo ndani ya saa moja ½ channel yake ikawa na watazamaji kutoka hizo nchi 1.3Mill so unaweza ukaona jinsi watu wanavyoenda na beat mnataka hivi mnapelekwa hivyo hivyo hao wazungu wenyewe wanaoamini Mungu wapo wa kuhesabika we umwambie mzungu ukifa kuna bikra 72 atakuelewa vipi,jamaa alijua jinsi ya kuwa-win na anapiga pesa.

Imani ikishakuwa inataka sana attention kila wakati hiyo inakuwa siyo imani ni maigizo.
 
Mkuu ww kwani upo upande gani mbona unatupa wasi wasi.
Una wasiwasi gani mzee?

Mimi nampongeza Mwafrica mwenzangu kutuwakilishia mawazo yetu kwamba hatutaki ujinga unaoitwa ushoga sasa wewe unachotilia shaka kitu gani?
 
Hawa ndugu zetu, wa dini ile huwa wananishangaza sana, kwao Kuna dhambi unaweza tenda, zinakuwa hazina uzito sana mbele ya Mungu wao.

Huyu namfananisha na Binti mmoja mwanamziki, maarufu hapa bongo, aligoma kufanya tangazo la bia, kigezo dini yake hairuhusu, lakini ufuska uzinzi anafanya, Hilo sio shida, au kwa vile hii ya pili anafanya sirini, hakuna shida!?? ila ile ya kwanza inafanyika hadharani, watu Wataona!!! Unafiki mtupu.

Waliomtetea waliniuliza kwani. Hata mie si Kuna dhambi nafanya zingine sifanyi? as if hiyo ndio justification.
Kama unaaamua dhambi basi, acha zote, kuimba, bia, ufuska, sasa mwingine anaomba(dhambi) lakini anasema hawezi kucheza kamari, dini inakataza!!!
 
Siku hizi mpaka kwenye movie na series zao ushoga lazima waweke na wanakionyesha kuwa ni kitu cha kawaida sana. Tuwe makini sana na malezi ya watoto wetu
NAOMBA KUFAHAMU KUANGALIA TU HIZO NEMBO WAKATI HUJUWI LOLOTE KUNA KOSA?
 
Sasa iv mambo yamebadilika sanaa..mfano FB unaona wanatuma video yenye maudhui ya ushoga na kusagana..unakuta wanawake wananyonyana ndimii...huko watawakamata wengi sanaa
 
si kwenye muvi tu, sikuhizi ni mpaka katuni za watoto.

huku kwenye muvi na series wamechochea kuni vibaya mno, yaani kunakuta dume linampiga denda dume lenzake arghhhh, kero tupu
Mimi siyo mpenzi wa movie ila jana nikasema ngoja nisuuze macho, mara ghafla midume inakulana mate.
 
Kuliwa jicho hata siku moja haiwezi kuwa Sawa na kusema uongo, hakuna binadamu alie timia ila mwanaume kupakuliwa ni nje ya maumbile
 
Analipwa mshahara kwa kucheza mpira
 
Nadhani last time Trump alibadili sheria wanajeshi waliobadili jinsia (transgender) wasijumuishwe kwenye jeshi, Biden alipoingia akatengua.
Nini maana yake;
Kumpeleka shamba akapate sugu, kumpeleka kwenye kazi ya kuswaga ng’ombe minadani bado hujatatua tatizo

Nini cha kufanya:
Kwa sababu kwa sasa dunia iko mkononi kupitia vipindi vya televisions na internet. Mtoto anakua exposed kunzia cartoons, movies, soka nk. Bado atajichanganya mashuleni, makanisani/misikitini/nk, kwenye makonamano nk
Huko kote ana nafasi ya kujifunza na kutenda pasi na wewe mzazi kujua

Kilichopo, katika kukua kwake muweke WAZI ajua AtoZ kuhusu dunia na mifumo yake na namna kulivyo na hypocrisy mfano pamoja na obama kupigia chapuo lakini yeye na family yake wako aafe side. Kwa katika kukua kwake ataujua ulimwengu katika sura zake zote mbili(kile akionacho na uhalisia wake-the truth over fact)
 
NI KINYUME CHA HAKI ZA BINADAMU. KUNA MAMBO WAZUNGU WANAFANYA YA KISHENZI SANA.
 
Hivi ile dini nyingine wao ushoga kwao umeruhusiwa maana hakuna mfuasi wao hata mmoja anayepinga haya mambo.
Ila Arusha kule sheik amelawiti watoto 22 sjui hapo ikoje?
 
Sawa sijakataa ila kwa nn hili swala wanaaachiwa waislam peke yao dini nyingine zingeungana nguvu ingekuwa kubwa kidogo mkuu.
Mbona sheik analawiti mzee?
 
Ila Arusha kule sheik amelawiti watoto 22 sjui hapo ikoje?
Usichukulie kitu personal tunaongea kwenye dini na nature na utamaduni wa Africa hizo sio mila zetu mbona hvyo vitu hata makanisani vinatokea hyo ni tabia ya mtu sio amri ya mi ninavyojua hakuna dini inayoruhusu ushoga wala kuua ila watu wana ua na wanaoana sasa hapo utasemaje mkuu thats is too personal.
 
Kufanya kitu kimoja ambacho hakijaruhusiwa hakikupi uhalali wa kufanya kitu kingine kwa kisingizie eti mbona ile ni dhambi umekubali mi nashangaa hata hvyo kutangaza pombe na ushoga Bora pombe watu wanaweza wakakuelewa ila sio ushoga tamaduni na jamii zetu za Africa hazijazoea hayo mambo dini zote ziungane kupinga huo upuuzi wanaotaka kuanzisha wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…