Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Kumbe tunapitia wengi hii hali,, nimejikuta nacheka mwenyewe,, maana kila nikijarbu kufanya visa mwenzangu yuko positive tuh na wala hachukii nabak kuwaza tuh nafanyaje, nafikiria hadi kuhama mji nikakae mbali alafu nikirudi hakutokuwa na penzi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana dada. Na mm nina stori inayofana exactly na ya huyu jamaa. But mm nko nae tu. Ila maneno yako aya yamenitia faraja sanan
 

Iko ivo mkuu yan unashindwa kujua unamwachaje mana kumwacha kwa sababu za uongo pia ngumu*

Ni kili tu kwamba mwanamke nikiwa cjampenda hua nakua kama mbogo baada tu ya kumgegeda. Ila kwa huyo kazi ya uachaji imekua ngumu aisee!!!
 
Shida kama hii nishawahi kuipata,ilinichukua miaka 4 kuitatua,
Ni hivi niligundua mwanamke akikupenda anapenda kweli& she will be ready 2 sacrifice anything for u.
Na wewe ukimpenda mwanamke mwingine uwe tayari kumfanyie lolote ili aridhike.
Kigezo cha umri sio ishu ..kikubwa angalia upendo wake kwako.
Mwisho:Tafadhali oa huyo mwanamke anastahili kuwa mkeo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawa mkuu ila niambie ww ulitatuaje hio shida mkuu [emoji4]
 
Binafsi sidhani kama umri ni kikwazo kama mtu mnapendana kweli,kwa jinsi anavyojitoa kwako ukimfanyia kitu kibaya unaweza usiweze pata furaha kwenye hayo maisha mapya unayotaka kwenda.Busara itumike!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"A man living off the earnings or gifts of a woman, especially a younger man supported by an older woman in return for his sexual attentions and companionship"

oww okay thank you
 
Hongera kwa kutumia masabuli kwa ajili kufikili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama ni kweli umeamua kumuacha fanya hivi ni PM namba yake nitakchofanya nitamwambia ukweli wote kisha nitamwambia akufatilie condition fulani ambayo tutakuwa tumeshaongea kuwa utaifanya ili yeye approve kuwa kweli huna mpango naye kisha tutaangalaia anaamuaje.

Why nakwambia hivi?

Nitakwambia PM kabla ya kunipa hiyo namba

Nb
Sina mpango wa kutake advantage sina mpango wa mahusiano for now. Ila naona unampotezea muda huyo dada wakati hautaishi naye...mwache atapata mwingine kama umeshindwa kumwambia fanya kama hapo juu

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hizi huwa zinatokea sana the matter is how one solves it. Mwenzetu ameshindwa hii ndiyo maana tupo hapa. Nimempa wazo hapo nafkri atafanyia kazi

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Ushauri no 1:
Kuna jamaa alikuwa na ng'ombe wake alikuwa anampeleka mnadani, akiwa njiani alitokea mteja akataka kumnunua kwa laki tatu jamaa akagoma, akatokea wa pili akataka kumnunua kwa laki mbili na 80 jamaa akagoma, lengo lake ni kumuuza kwa laki tano. Alipofika mnadani akajikuta hata kumpata mteja wa laki mbili ikashindikana na akamuuza ng'ombe kwa laki moja na 70.

Ushauri no 2
Oa mwanamke anayekupenda na si unayempenda, kwa kuwa ukioa mwanamke unayempenda ni ngumu kutambua reflection ya upendo wake kwako, kwani +ve na +ve unajua kinachotokea.
Like charges repel each other - kiswahili chake sijui.

Ushauri no 3.
Oa mwanamke mwenye akili na ni vema mwanamke akaolewa na mwanaume mwenye akili kwa kuwa upendo ukizidi hupunguza kiwango cha kufikiri.

NB: love is not static. Pia hiyo ni hali ya kawaida sana kwa wanaune waliooa nafikiri wameshakutana na kipindi kigumu kama hicho, just inatokea tu unaona kama hakuwa chaguo lako na ikitokea ukakosa msimamo unajikuta unafanya maamuzi ya ajabu ambayo matokeo yake unakuja kuyaona baadaye.
 
Bwana kijeba mtoa mada!!!! Siku zote tamani sana kwenye maisha yako upate mtu atakaekupenda sana kuliko utakavyompenda wewe hapo kwakweli utaenjoy sana maisha ya mapenzi BUT ukipata tofauti yaan upate mwanamke utakae mpenda wewe sanaaaaa!! Basi tambua yatakayokuja kukukuta siku ukiachwa ni majuto lakini kwa vigezo ulivyoviweka havna mantiki yoyote na huyo mwanamke ni wife material kabisaaa kitu ambacho ni wanawake wachache walionavyo hasashasa uaminifu na ukitaka kujua huyo mwanamke yuko tofaut mwache afu upate mwngne utakaempenda then muombe simu yake ukae nayo hata masaaa tu kama hujafa!!!!! Ndipo utamkumbuka huyo ulomuacha na kipindi hicho utamkuta kashaolewa na ndoa yake na watt juuu. Period!!!!
 
Dah! Inauma sana, Mungu ni mwema wakati wote, utajutia maamuzi,kama ni kwel,i jitahidi umupende na umuoe,, eti ulikuwa unamujaribu ! dunia ndogo sana hii, fikiria tena upya, ooh! ,tutakushauri Nini ! Hata Uone Tunakupenda ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…