Hahaha mzee unatetemaMkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.
"Typed with my thumbs."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa hujielewi sana Aisee immature commentUshauri wako ni mzuri sana 🤦🏾♂️kiukwel she love me then ni mcheshi yan anajielewa marafiki zangu huniambia nikiachana nae cto pata kama huyo kitu ambacho ndo kinanifanya niwe mwoga kufanya maamuzj magumu 🤦🏾♂️ mana naweza mwacha aende but end of the day nikataka kurudi ikawa mtu ashachukua dodo [emoji200]
Dada umemaliza yote asipokuelewa..tumuache karma imkuleMake up your mind utakuwa nae au unamuacha? Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.
Kwenye ndoa za amani na furaha ni umpate mwanamke anaekupenda. Atayavumilia mapungufu yako yote, iwe pesa, tendo la ndoa au kunuka mdomo.
Wengi wanaishi navwanawake wasiowapenda lakini wamewazoea kwakuwa mke anampenda kufa.
Fikiria mmegombana hamuongei ndani ya nyumba lakini amesikia mama yako ni mgonjwa amekimbia na kumuwahisha hospitali. Anamnunulia night dress mpya na vitenge, mswaki, lotion . Ukienda kumuona mama yako mwenyewe roho inaridhika ingawa ni mgonjwa lakini ni msafi.
Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.
Pumba.vuDahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!
Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio [emoji2365] labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
Karma ilimrudia huyo mpenzi wako?Hujaamua tu, wakwangu alipoamua alikuwa busy busy. Kwakuwa na mimi niko busy ilipita miezi mitatu sijamuona lakini tunaongea. Christmas na New Year nilikuwa na vi holiday kazini nikapanga plans niwe na mupenzi ndipo nilipojua he was long gone.
We unampenda Ila hujui tuuYani roho inaniuma kwasababu hajawahi nikosea na akinikosea basi ni haraka sana anaomba samahani hata kama kosa ni langu... ila ntajitaidi tu!
Kwa hiyo hutakuwa na mpenzi/ mume?Sometime mi nawaza...nashukuru maamuzi yangu kwa kujiweka mbali ña mahusiano.kwakweli loh!
Hili balaa liniepukie mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh..hebu nitag mkuuKuna uzi humu mdada analalamika kuchezewa na jamaa yake halafu anataka kumuacha mwishoni na dada kapanga kumchoma sindano sijui ya ukimwi sijui ya kitu gani
Kuwa makini labda ndiyo yeye alishakugundua Mkuu
Exactly.Anza kupunguza ukaribu, uwe busy kila akikupigia wewe una kazi lakini ahidi kumtafuta ukiwa free, ikipita mwezi mmoja miwili ataelewa somo.
NB: the law of life your time will come, you will fall in love with a person who doesn’t have feelings for you. That’s the way it’s.
SureWatu wengi naona wanamshangaa mtoa mada wakati jambo la kawaida tu, unaweza kumpenda mtu ye anakuona kero tu anakufanyia maigizo sema tu huyu mdau kaamua kuwa mkweli wa nafsi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi maisha bila mahusiano yana ladha gani aisee?
Kama umetokea kutendwa, mapenzi unayaona useless aseeHivi maisha bila mahusiano yana ladha gani aisee?