Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.

"Typed with my thumbs."
Hahaha mzee unatetema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wako ni mzuri sana 🤦🏾‍♂️kiukwel she love me then ni mcheshi yan anajielewa marafiki zangu huniambia nikiachana nae cto pata kama huyo kitu ambacho ndo kinanifanya niwe mwoga kufanya maamuzj magumu 🤦🏾‍♂️ mana naweza mwacha aende but end of the day nikataka kurudi ikawa mtu ashachukua dodo [emoji200]
Jamaa hujielewi sana Aisee immature comment

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Make up your mind utakuwa nae au unamuacha? Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.

Kwenye ndoa za amani na furaha ni umpate mwanamke anaekupenda. Atayavumilia mapungufu yako yote, iwe pesa, tendo la ndoa au kunuka mdomo.

Wengi wanaishi navwanawake wasiowapenda lakini wamewazoea kwakuwa mke anampenda kufa.

Fikiria mmegombana hamuongei ndani ya nyumba lakini amesikia mama yako ni mgonjwa amekimbia na kumuwahisha hospitali. Anamnunulia night dress mpya na vitenge, mswaki, lotion . Ukienda kumuona mama yako mwenyewe roho inaridhika ingawa ni mgonjwa lakini ni msafi.

Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.
Dada umemaliza yote asipokuelewa..tumuache karma imkule
 
Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!

Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio [emoji2365] labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
Pumba.vu
 
Sikiliza wimbo wa LINEX ft LADY JAYDEE,TOO LATE
huu wimbo unamebeba ujumbe wa jana yako,leo yako na kesho yako.
 
Hujaamua tu, wakwangu alipoamua alikuwa busy busy. Kwakuwa na mimi niko busy ilipita miezi mitatu sijamuona lakini tunaongea. Christmas na New Year nilikuwa na vi holiday kazini nikapanga plans niwe na mupenzi ndipo nilipojua he was long gone.
Karma ilimrudia huyo mpenzi wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo..."


Hakuna cha kukushauri hapo... naweza sema tu akili yako haina akili...


Cc: mahondaw
 
Niliumizwa kwa mtindo huo wa kupenda bila kujua kwamba naye ananipenda au ana malengo na mimi... alivyokata mawasiliano baada ya kwenda chuo Adem Bagamoyo nililia mpaka leo nikimkumbuka naumia sana yule mwanamke ni katili sana...

[emoji2363][emoji2363][emoji2363][emoji2363] Namuonea huruma huyo unaetaka kumbwaga maana ukijipa asilimia kubwa kwa mtu akakuacha kifo unakiona...
Sikuwahi kuamini kuwa kidume naeza lia vile so naimagine huyo dada ataishije...
Apate mtu wa kumcomfort before you go..
Otherwise atakua na jeraha kubwa sana naona unasmile kwenye comments unavyoreply but this sht ain't funny anymore..
[emoji2363][emoji2363][emoji2363][emoji2363]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifanikisha hili unaweza pata funzo zuri hapo baadae,huu ndo uanaume bro! Tena ukitaka ufanikiwe zaidi siku kutana nae mtumie mara ya mwisho kisha mpe ukweli huo....usisahau tu "karma is bitch"
 
Ila kwenye mapenzi upendo huja mbeleni...angalia zama za mababu zetu sijui waliwezaje lakini ndoa zao nyingi sana zilidumu...be brave enough to choose in between...umri ni namba tu elimradi yuko tayari kushirikiana hasa kwenye yale uyatakayo na kuwa wa mrengo wako..usiitupe lulu barabarani ukadhani utaokota dhahabu chumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom