Nimewahi kupata mwanamke wa aina hiyo mkuu alinipenda kupitiliza na alikua mzuri tu lakini kumtongoza ilitokana na ubishani haikua dhamira yangu, washkaji walisema simuwezi nikafanya kweli.
Basi bana nikawa simpendi kivile tukakaa mwaka na zaidi mtoto upendo haupungui akaja kunifuma na demu mwingine room akanisamehe kwamba hata wakiwa 10 as long na yeye nampa mda wa kuwa na mimi alikua okay na hilo just imagine??.
Badae nikamuacha alikonda sana akaumwa sana and i didn't care shepu ikaisha yani nikatafutwa na ndugu zake maana ilikua ishu kubwa sana. Nikapata mtoto mkali sana nikampenda sana sijawahi kupenda hivyo maisha yangu yote nikaona hapa ndo penyewe, tukaenda kama miezi 8 siku moja nikamuona na mwanaume nikaja kumuuliza nilikuona na jamaa ni nani aisee alinijibu bila aibu eti my Boyfriend.
Nikaja kujuana na huyo jamaa asee niliumia sana ilichukua 4years kumsahau yule dada.
Sent using
Jamii Forums mobile app