Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mkuundiyo style yangu mheshimiwa na ni haki yangu kuanzisha thread hapa jf lakini na wewe kuwa muungwana nimekupa ushauri,niweke kwenye ignore list ili usipate shida na kero ya kusoma umbeya ulioko shallow
Why don’t they just pull up and throw hands?
Scared.
Ndio maana kachanganyikiwa dada wa watu.toka santa monica florida hadi inglewood lazima awe na hasira kwa kweli
Daah wanaadam na chuki zaoWatu walisema ww ni kibonde humu kisa umepotea baada ya msiba,
Ulikufa pamoja na kibonde vipi ulizikwa na TECNO phantom?
Namtania tu huyu boya hakuna chuki wala niniDaah wanaadam na chuki zao
Namtania tu huyu boya hakuna chuki wala nini
Nilikufa lini?
Why don’t they just pull up and throw hands?
Scared.
hahahaha warumi yani nigombane na wewe sababu ya maoni kama hayo?no way bana,vipi maoni yako kuhusu east mi nahisi ni dada yetu wa L.A ila it takes a lot of guts kuwa na double personality kwa kweliAhahahah binamu unanitafutia ugomvi na watu , lol
Ahahahah binamu unanitafutia ugomvi na watu , lol
Niliuliza huyu east ni nani hata sikujibiwa[emoji134][emoji134]
Ni msanii au[emoji1745][emoji1745]
Mkuu
Hebu nielekeze vizuri
Huo umbeya hata sijauelewa
Nielekeze vizuri mkuu yangu
Warumi hujaribu kuelekeza vizuri
Usimchukie huyo alyekua anakusema
Tuko pamoja mkuu na kiongozi wangu
PoaMambo