Nandi ulionywa lakini: Nandy Vs Original East

Nandi ulionywa lakini: Nandy Vs Original East

ndiyo style yangu mheshimiwa na ni haki yangu kuanzisha thread hapa jf lakini na wewe kuwa muungwana nimekupa ushauri,niweke kwenye ignore list ili usipate shida na kero ya kusoma umbeya ulioko shallow
Mkuu

Hebu nielekeze vizuri

Huo umbeya hata sijauelewa

Nielekeze vizuri mkuu yangu

Warumi hujaribu kuelekeza vizuri

Usimchukie huyo alyekua anakusema

Tuko pamoja mkuu na kiongozi wangu
 
Mitandao ya kijamii imekua sehemu ya wenye matatizo ya akili kujiliwaza kwa ku bully watu jamii ya watu aina ya sadist na psychopath wamejaa humo anakuumiza huku kwake yeye ni tiba.
 
Why don’t they just pull up and throw hands?

Scared.

Huyo ni Mange na akaunti yake fekero ambayo pia amempa mtu pasiwodi awe anaposti akiwa Uingereza. Mangenita kazini.. anataka pesa au info ambazo nafikiri Nandy hambabaikii sasa ni blackmail kwa nguvu.. tuliliona wengi kuwa itafika ilipo now.. alijigonga mwenyewe kumposti.. ni psycho wa kupenda kumtawala mtu kinguvu
 
Ahahahah binamu unanitafutia ugomvi na watu , lol
hahahaha warumi yani nigombane na wewe sababu ya maoni kama hayo?no way bana,vipi maoni yako kuhusu east mi nahisi ni dada yetu wa L.A ila it takes a lot of guts kuwa na double personality kwa kweli
 
Niliuliza huyu east ni nani hata sikujibiwa[emoji134][emoji134]
Ni msanii au[emoji1745][emoji1745]
 
Back
Top Bottom