Nandy anazidi kupotea

Swali ni jepesi tu
Wangapi hawana smartphone?

Utajuaje kama anaupenda wimbo?
Kwan we unaishi angan Mzee , husikii hata kwenye vibanda vya kuchoma nyimbo , hata kwenye Tecno ndogo T347 , wanazengo wamejaza nyimbo gani kwenye memory card...?? Wimbo mzur unatambaa Tu kitaa , na ukitambaa kitaa ujue YouTube imechafuka , ad it's vise t is true....

Wimbo wa Nandy YouTube unaenda Kwa kuchechemea , kitaani ndo umejichokea kabisa
 
Audio ya huu wimbo ilifaa ifanyiwe congo. Hilo sebene bila solo na rythm guitar hakuna kitu
 
Kama hicho ni kitaa cha kwenu sawa
 
WATU HAMKUJUA WAKATI NANDY ANAACHIA AUDIO YAKE NA KOFFI NA WCB NAO WAKAACHIA SCANDAL YA RAY NA PAULO WATU WAKKACHA KUONGELEA NANDY NA KOFII IKAWA RAY NA PAULO HATA HII VIDEO HAIWEZI KUSAIDIA KITU KWASABABU AUDIO HAIKUFA CHOCHOTE
Nimependa uandishi wako aisee
 

Ngoja nikaiongezee views you tube alafu nije niendelee na mjadala
 
Binamu huyo zuchu atoke WCB, ajisimamie mwenyewe ndo tuanze kuwashindanisha, Zuchu label inambeba. Hana lolote.

Huna tofauti na yuke aliyekuwa akitukebehi ya kuwa tunafaulu kwa kuwa tulikuwa tunasoma feza

Huyo nandera alishindwa nini kwenda usafini
Au yeye hapendi kuflit kwa mtaa with nipples protruding aint sure

Let her suffer as much as she could to let her mind set upon the music industry she wanna struggle into
 

Na usafini hawawezi kukubali
Kwanini nandy anenepe[emoji23][emoji23][emoji23]


Alafu dada yetu mwamvua hataki kuamini kuwa v mapesa ndio ishakua chombo ya garage

Play smart you wont stay fresh forever
 
Na wewe tafuta vya kwako sio kusifia tu WCB kila kukicha mnatuudhi sana.
 
Kwani bongo hakuna wapiga solo na rythm guiters??
Wale wapigaji wa koffi huwa wanavionjo na ladha tofauti. Na kama wapo hapa bongo basi nandy ile bajeti ya 70 million ina uwalakini jinsi ilivyotumika. Maana hata video ni ya kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…