Sawa off course Vanessa mdee yupo vizuri hata me namkubali.Mie sijakataa uwezo wake huyo zuchu, pia nachokataa kusindanishwa na wengine, mbaya zaidi hadi Vanessa anahusishwa, khaaaah yaan vee ashindanishwe na zuchu? Kisa sukari? Hapana siwezi kuvumilia nitakemea kwa nguvu zote.
Vanessa Mdee mziki umemshinda kawakimbia kina Zuchu.Kwenda huko, mnakera sana nyie chawa wa WCB, kutwa kushindanisha watu wala nje na hapo usafini, km kushindanisha washindanisheni wengine sio Vanessa, muulize huyo DOMOKAYA wenu, km hamkubali vee.
Huyo Zuchu atoke hapo WCB, ajisimamie mwenyewe ndo tuanze kuwashindanisha, yule label inambeba hana lolote. Khaaaaah
Yaan mie zuchu na nandy hata washindanishwe milele sijali, ila sio Vanessa, hakuna yeyote anayeweza kumkuta hata wao wenyewe wanajua hilo.Sawa off course Vanessa mdee yupo vizuri hata me namkubali.
Yaan Vanessa awakimbie zuchu na nandy? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vanessa Mdee mziki umemshinda kawakimbia kina Zuchu.
Mambo ya mjini inaonekana yamekupita kushoto, pole sana.
Rayvan ni mbunifu zaidi hata ya Diamond sema tu yeye hawezi kupiga hatua sana kwa kuwa yupo chini ya management, na ndiyo nahisi anataka kutoka ila hajui anatokajeMkuu Rayvanny fundi yule jamaa mziki wake hauchuji hasa akiachana na zile type za akina tetema inakua hiti ngoma ninazosikiliza sana kutoka kwake na sizichoki[emoji116]
[emoji117]Vumilia
[emoji117]Ex boyfriend
[emoji117]Team
[emoji117]Unaibiwa
[emoji117]Naogopa
[emoji117]I love you
[emoji117]Number one
[emoji117]Mwanza
[emoji117]Kiuno
[emoji117]Pochi nene
Vanny boy mtu mbaya hakuna kama jamaaa... Fundi wa mashairi yule..Ngoma ya number one ilinifanya nikala tunda kimasihara 🤣 in rikiboy voice😃Mkuu Rayvanny fundi yule jamaa mziki wake hauchuji hasa akiachana na zile type za akina tetema inakua hiti ngoma ninazosikiliza sana kutoka kwake na sizichoki[emoji116]
[emoji117]Vumilia
[emoji117]Ex boyfriend
[emoji117]Team
[emoji117]Unaibiwa
[emoji117]Naogopa
[emoji117]I love you
[emoji117]Number one
[emoji117]Mwanza
[emoji117]Kiuno
[emoji117]Pochi nene
Aliwahi sana kufanya colabo na koffie,kwa watu wengi hii ilionekana kama kumuiga Mond.View attachment 1714923
Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.
Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.
Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.
Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.
Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.
Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.
Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.
Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
Harmonize naye aliwasikiliza wabongo matakwa yenu, lakini tangu ametoka sioni kikubwa anachofanya kwenye muziki zaidi kuendelea kuiga lifestyle ya diamond? Tatizo ni pale mnataka kila mwenye uwezo fulani kimuziki basi ampite diamond. Sisemi kwamba hakuna wa kumshusha lakini kwa wakati huu sijaona bado. Pia anaweza kushuka kwa sababu muda wake umepita ila sio kwa sababu anazidiwa uwezo(hii ilitokea kwa michael jackson).Rayvan ni mbunifu zaidi hata ya Diamond sema tu yeye hawezi kupiga hatua sana kwa kuwa yupo chini ya management, na ndiyo nahisi anataka kutoka ila hajui anatokaje
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemaliza kila kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si anatoka tyuuh, why asijue anatokaje.Rayvan ni mbunifu zaidi hata ya Diamond sema tu yeye hawezi kupiga hatua sana kwa kuwa yupo chini ya management, na ndiyo nahisi anataka kutoka ila hajui anatokaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo tabia ya fulani ampite fulan iko sana huko WCB, ndo maana now time wanawashindanisha zuchu na nandy,Harmonize naye aliwasikiliza wabongo matakwa yenu, lakini tangu ametoka sioni kikubwa anachofanya kwenye muziki zaidi kuendelea kuiga lifestyle ya diamond? Tatizo ni pale mnataka kila mwenye uwezo fulani kimuziki basi ampite diamond. Sisemi kwamba hakuna wa kumshusha lakini kwa wakati huu sijaona bado. Pia anaweza kushuka kwa sababu muda wake umepita ila sio kwa sababu anazidiwa uwezo(hii ilitokea kwa michael jackson).
Kabisaaah yaanhahahaaha
Sizungumzii nandy mie, huyo nandy na zuchu wenu washindanisheni hata milele yote wala hamtaona kelele zangu,
Ila sio kumuhusisha Vanessa, hapo nitakemea sana.
Vee hana wa kumkuta hao wote mnaowashindanisha hata wakiungana hawamuwezi kamweeeh.
View attachment 1714923
Hali ya Nandy kwenye muziki sio nzuri kwa kweli anahitaji sana support yetu. Haya mambo ya kushika keyboard na kumpa sifa za uongo hatumsaidii tumwambie ukweli graph yake inazidi kwenda chini siku baada ya siku.
Huyu sio yule nandy wa ninogeshe au kivuruge.
Nandy amefikia kufanya wimbo na Koffi na hasipate walau watazamaji million 1 ndani ya siku tatu sasa na amekaa namba moja trend kwa masaa hayazidi 8 akatolewa na habari.
Imagine uwekezaji wa million 70 unaishia kupata likes na comments za insta na JF inasikitisha sana. Huko kwenye platforms za downloads na streams ndio huruma kabisa.
Kwa mwendo huu mtawalaumu bure WCB kuwa ndio chanzo cha kushuka kwake.
Mtamlaumu Zuchu kwa kubeba attention za watoto wa kike ambazo awali zilikuwa kwa Nandy.
Wale mnaokujaga na magazeti ya kufarijiana msaidieni hata mawazo.
Siku si nyingi nitashusha uzi kama huu kwa yule kijeba anaejaribu kujinasua wakati mtumbwi ushazama.
Sawa lokole.Mnhhhh!! Anyway..umeeleweka Mimi Mars
chupa limeamka na chaiNandy bila jasiri muongoza NJIA ni sawa na lavalava nje ya WCB
mwalimu wake bil nenga unategemea Nini mkuu
Endelea kukaza fuvuKwanza nikwambie kwamba uelewa wako kimziki ni wa kawaida sana. Kama layman wengine. Pili kama unachambua mziki ki zembe hivi haina haja ya thread nyingine uliyohaidi maana itakuwa na hoja dhaifu kama hii.
Back to the point. Huwezi kupima ukubwa ama udogo wa msanii kwa kigezo You Tube Viewers. Utakuwa unamdhalilisha msanii na kazi zake. Kuna wasanii wengi wazuri sana Africa,America, Europe na Asia. Wanatoa nyimbo nzuri lakini Viewers ni kidogo. Je na wao wameshuka kimziki. Kuna vigezo ambavyo ni common kwa kupima ukubwa wa msanii kama
1. Shows Msanii kuandaa mwenyewe ama kuandaliwa shows na zikawa kubwa kwa uhudhuriaji wa shabiki hiki kigezo hutumika kwa wenzetu. Mahudhurio ya wadau kwenye shows huweza kumpandisha ama kumshusha msanii
2. Album, kutoa ,mauzo na umaarufu wa album aliyotoa .huweza kumpandisha ama kumshusha..kulingana nakala alizouza ama na kutoa.na umaarufu wake
3. Consistency & maintaining ya msanii toka alipojulikana mpaka muda anaoendelea kufanya mziki wake.
4. Endorsement ,ya msanii na brand yake local and international. Hizo ndo common..na nyingine nyingi ikiwemo na hiyo ya Viewers (minor)
..sasa hivyo vigezo Nandy vyote anavyo kwa ukubwa sana. Na hakuna msanii yeyote wa kike Tanzania kwa sasa mwenye. Endorsement na Shows kubwa kumzidi..anaandaa mwenyewe mara nyingi Nandy.
#Ameshafanya tour yake..na ikafanikiwa
#Matangazo ya mengi
Video zipo wazi
Najua wengi mtamzungumzia Zuchu..yes she hot and running the industry..lakini jiulize bila back up ya diamond anaweza kuwa hapo alipo. Kwa nandy alifariki mentor wake na ruge aliyekuwa anamsupport sana ...but still bado anafanya makubwa . Mpaka collable ya over 60s Tzs million. Akiondoka diamond Zuchu anaweza fanya hicho kitu. Absolutely nope.
Note:kabla ya kusema Nandy kashuka jiulize na kuangalia mambo mengi. Tanzania kwa sasa haina msanii wa kike mwenye kufikia uwezo wa Nandy.
Fact kaka anakaza fuvu tuNaungana na wewe kuhusu Nandy lakini Unajuaje kama zuchu akitoka hapo hawezi kufanya chochote? Kama umemtetea Nandy ambae amebebwa na Ruge muda mrefu n sijui umetumia kigezo gani kumshusha zuchu kwamba hawezi wakati uwezo wake umeukubali.
Sasa kipimo Ni Nini....???na hapa sio YouTube tu mpaka platform nyingineKwa sasa yaani eti YouTube ndo kipimo cha muziki mzuri
Wangapi hawana smartphone ?