Unajua nn dea, sio kwamba wasanii wa huku hawapati fedha au hawana maisha mazuri, noope wanazidi viwango na kutaka kuishi nje ya uhalisia ndo wanapoumia hapo tyuuuhAlijisemea ukweli Vanessa kuwa wasanii hamna kitu wanaishi kwa stress
Mnadanganywa sana kirahisi. Hio ni picha ya Gran Melia Arusha Resort. Lihotel la kitalii la rooms kama 100. Na kila room ni 700,000 hivi kwa siku.Simu yako ni aina gani? Inatoa picha clear sana.
Hii ni Gran Melia Arusha Resort. Hakuna sababu mtu kudanganya kupata kiki. Pambana ufanikiwe kimaisha na hautakuwa na sababu kutafuta kiki hivi.Ngoja na Mimi niweke kibanda changu tuweze kwenda sawa..
View attachment 1550974
Mimi nimeulizia simu na ubora wa picha. Hoteli au nyumba yake ni juu yakeMnadanganywa sana kirahisi. Hio ni picha ya Gran Melia Arusha Resort. Lihotel la kitalii la rooms kama 100. Na kila room ni 700,000 hivi kwa siku.
Wasanii kwa asilimia kubwa ni kiki tu wanataka na wanakuwa feki tu katika maisha wanayotaka watu wajue wanaishi. Manake sio real. Hata music videos wanakodi hadi nguo. Mtu hata IST hana ila atataka kuonyesha ana magari ya kifahari.Mmh huyu bi kidude naye anachokitafuta atakipata, sasa sijui anamringishia nani , huyu naona hawajui wabongo vizur , atapigwa vipapai mpaka ajikute anatembelea wheel chair . Hizi Show off zake domo , Coz ako na uchawi wa hali ya juu, hakuna mbuzi yenye anaweza mgusa, sasa shoga angu huyo mwamposa kama una uhakika ana nguvu za Mungu za kweli za kukulinda , basi endelea kujishaua kama kahaba wa kinondon aliyeona range rover imepaki barabarani, mxieew kichwa kama kikapu cha sadaka .
Ila all in all , ka nandy ka hard worker sana , she is smart , hana starehe za kipumbavu kama gigy money , na hakanaga ma group ya ajabu. Mungu aendelee kukubariki
Ila na nyie mastaa hamuwezag kununua magar ya maana, basi Hako ka BMW X1 ka mil 22 Ndo kajiona Kim kardashian mwenyew, nyumba yenyewe ya kupanga, mxieew, ila hongera umewazid wote mwaego View attachment 1550910
Sio yeye aliyepiga hio picha. Picha iko instagram kwa page ya Gran Melia Hotel. Kwa hotel kubwa kama hio, picha zao za marketing wanatumia professional cameras tu. Na sio phone camera.Mimi nimeulizia simu na ubora wa picha. Hoteli au nyumba yake ni juu yake
Duuh[emoji2]Ila kajitahid mtoto wa watu , hakajadanga wala kutega mimba kama mikina hamisa kazi uvivu tu na kumanua miguu ndo wapate kula mjin mxieew
Ka nandy nakapenda sio kadangaji, yan anawez asigawe uroda Mwaka mzima na akaishi, sio shoga zangu mimi akina mwajuma nchokonoe( wema , Irene , hamisa, tessy na wengine) mpaka wachokonolewe ndo mambo yaende , siku miuchi yao ikipotea mjin hawana pa kukaaa wala pa kula mbwa hao manina zao
Unauma na kupuliza da wewe dada mbaya sana 🤣🤦🤪🏃Mmh huyu bi kidude naye anachokitafuta atakipata, sasa sijui anamringishia nani , huyu naona hawajui wabongo vizur , atapigwa vipapai mpaka ajikute anatembelea wheel chair . Hizi Show off zake domo , Coz ako na uchawi wa hali ya juu, hakuna mbuzi yenye anaweza mgusa, sasa shoga angu huyo mwamposa kama una uhakika ana nguvu za Mungu za kweli za kukulinda , basi endelea kujishaua kama kahaba wa kinondon aliyeona range rover imepaki barabarani, mxieew kichwa kama kikapu cha sadaka .
Ila all in all , ka nandy ka hard worker sana , she is smart , hana starehe za kipumbavu kama gigy money , na hakanaga ma group ya ajabu. Mungu aendelee kukubariki
Ila na nyie mastaa hamuwezag kununua magar ya maana, basi Hako ka BMW X1 ka mil 22 Ndo kajiona Kim kardashian mwenyew, nyumba yenyewe ya kupanga, mxieew, ila hongera umewazid wote mwaego View attachment 1550910
Alijisemea ukweli Vanessa kuwa wasanii hamna kitu wanaishi kwa stress
Umekumbuka Nini jamaniNimeona taarifa ya kupita ubunge bila kupingwa nikakukumbuka.
Umekumbuka Nini jamani
Shida wanataka Mambo makubwa kuliko kipato Chao, hata huyo Mandy naona anaigiza Yuko vizuri kumbe hamna kitu, matokeo yake wanatumika vibaya na kula ungaUnajua nn dea, sio kwamba wasanii wa huku hawapati fedha au hawana maisha mazuri, noope wanazidi viwango na kutaka kuishi nje ya uhalisia ndo wanapoumia hapo tyuuuh
. Mf,
Vee anatak kuish km Beyonce ataweza wapi?
Nandy anatak kuish km Rihanna ataweza wapi?
Wanaishia kuigiza maisha mwsho wa siku stress na aibu tupu.
Na imetick kweli aisee loh, haya Mambo yapoNimekumbuka ile thread ya msiba, kuhusu kutoa mtu sadaka kwa ajili ya ubunge.
Na imetick kweli aisee loh, haya Mambo yapo
Hahaaa kweli Ila tulishambuliwa Sana, jamani uchawi upo na unatenda kazi vizuri tu kwa kweli, na jamaa alikuwa na timing nzuri kweliNilikuwa nawafatilieni kimya kimya tu siku zile, nikawa nasema nisubiri kuona itakuwaje.
Hatimaye imekuwa, tena bila hata hustle sana.
Hahaaa kweli Ila tulishambuliwa Sana, jamani uchawi upo na unatenda kazi vizuri tu kwa kweli, na jamaa alikuwa na timing nzuri kweli
Huyo Mond ndo kabisaaa saiv anajifanya wacko jacko hahahah, yaan ni vituko tupuu.Shida wanataka Mambo makubwa kuliko kipato Chao, hata huyo Mandy naona anaigiza Yuko vizuri kumbe hamna kitu, matokeo yake wanatumika vibaya na kula unga
But ukimuamgalia tu usoni Hana furaha na ana mawazo mengi Sana kichwani, Diamond anahitaji ushauri wa kisaikolojia naona Kuna vitu anapitia vinamtafuna ndani kwa ndani na wengine hawalioni Hilo. He needs helpHuyo Mond ndo kabisaaa saiv anajifanya wacko jacko hahahah, yaan ni vituko tupuu.