Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

Alijisemea ukweli Vanessa kuwa wasanii hamna kitu wanaishi kwa stress
Unajua nn dea, sio kwamba wasanii wa huku hawapati fedha au hawana maisha mazuri, noope wanazidi viwango na kutaka kuishi nje ya uhalisia ndo wanapoumia hapo tyuuuh
. Mf,
Vee anatak kuish km Beyonce ataweza wapi?
Nandy anatak kuish km Rihanna ataweza wapi?
Wanaishia kuigiza maisha mwsho wa siku stress na aibu tupu.
 
Wasanii kwa asilimia kubwa ni kiki tu wanataka na wanakuwa feki tu katika maisha wanayotaka watu wajue wanaishi. Manake sio real. Hata music videos wanakodi hadi nguo. Mtu hata IST hana ila atataka kuonyesha ana magari ya kifahari.
 
Pesa za billnas hizo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787]
 
Duuh[emoji2]
 
Unauma na kupuliza da wewe dada mbaya sana 🤣🤦🤪🏃
 
Shida wanataka Mambo makubwa kuliko kipato Chao, hata huyo Mandy naona anaigiza Yuko vizuri kumbe hamna kitu, matokeo yake wanatumika vibaya na kula unga
 
Hahaaa kweli Ila tulishambuliwa Sana, jamani uchawi upo na unatenda kazi vizuri tu kwa kweli, na jamaa alikuwa na timing nzuri kweli

Hahaha, eti timing.

Mpaka sasa uzito uko kwenye ni kweli jamaa alifanya hayo.

It has been so easy.
 
Huyo Mond ndo kabisaaa saiv anajifanya wacko jacko hahahah, yaan ni vituko tupuu.
But ukimuamgalia tu usoni Hana furaha na ana mawazo mengi Sana kichwani, Diamond anahitaji ushauri wa kisaikolojia naona Kuna vitu anapitia vinamtafuna ndani kwa ndani na wengine hawalioni Hilo. He needs help
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…