Nandy aonyesha jeuri ya Pesa

Hakuna wasanii nnao wakubali na wanaishi low profile kama navy&kenzo wanaishi kwenye jumba lao wao kama wao... Syo Wasani wengine kutwa kuishi kwa kuongeza sifuri

Ova
Wale wapo real mnooh na wanaish ndan ya uhalisia, ndo maan wana win life.
 
Kumbe amepanga? Nilijua kajenga yake! Kuenyesha jeuri kwenye nyumba ya watu?
 
Ni hatari Sana Sasa asije hamia kwa watoto, maana kafara hufata zilizo kubwa zaidi, Ila huyu Tale vile Ni darasa la Saba angekuwa na elimu ya Mwana Fa kwa kafara zake angekuwa hata waziri. Mwana FA asipopata hata unaibu waziri wa michezo

Ila atakuja kuumbuka Mchana kweupe, acha aende uko bungen
 
Ile siku tulishambuliwa had baas lol, leo wanajionea wenyeweeh

Tukaonekana wambea, haya leo kiko wapi , kapita kiulaini wakat mwenzio kalala anaoza, yan huyu mbwa
 
Tukaonekana wambea, haya leo kiko wapi , kapita kiulaini wakat mwenzio kalala anaoza, yan huyu mbwa
Muache kafara huwa haitosheki, soon atahamia kwa wanae, yaan huyu mbwa kajua kuniudhi had baas, hata haogopi karma khaaaah
 
Nandy bwana.[emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo ndio unaamua kuja kiivo?
 
Si zake muache aonyeshe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…