Nandy athibitisha uhusiano wake na Ruge

Nimecheka sana hii comment mkuu😂
 
hii gridi ina extend tuu, haieleweki inaishia wapi, uyu Nandy kaungiwa ile ya REA akaanza na Tariff D1 moja kwa moja, tusubiri mwingine ajitokeze
Dah!!
Kazi tunayo kwa kweli.
Hawa wasanii mambo wanayoyafanya!!
Wamezungukana mno!!
Yaani ukiunganisha msululu wao Ni balaa tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu alikuwa na msemo wake wa mnyororo wa thamani (value chain)

Apo kwa tuerny Ni yule Dada wa Instagram mwenye makalio makubwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wivu ndugu, lisemwalo lipo, usipende kutetea maovu, Sasa mtu ana miaka zaidi ya 40 anatombatomba tu videmu rika na mtoto wake na vimapepe Kama huyo nandy halafu anaviambukiza ukimw unataka watu wakae kimya, were ndio utaakuwa walewale
 
Halafu mziki umenifanya ninunue hiki na kile kumbe nyuma yake kuna mtu anaekuwezesha
Namimi nlikua tu namuangaliaga akijitia eti Mziki ndo source wakati tunajua kbsa yupo pusher mmoja nyuma..Mziki wa bongo ukufanye ufanye hayo Thubutuuu.. Hapa Tz n Diamond tu ndo anakula matunda ya Muziki tena nae ni kidogo sana ila hela zake zina Mikodi kibao hela ya Mziki anaipata kiduchu sana maana UKIJA mkate ni unagawanywa kwa RAIA kama wote hivi.

hela anaipatia kwenye matangazo na deal zake zingine PLUS na BRAND yake "diamond" ila Mziki wa TZ bado sanaaa kutudanganya nao eti umefanya hayo yote..yani Ni huo Kivuruge tuuu au kitu gani cha kutuzuga nacho kua ndo kimekupa mifanikio hyo? Nandy bwana alijua kutuona maboya.

sema sio kesi mama..Muwezeshaji kashapumzika.. acha tuone muendelezo wa MUZIKI wako kama n kweli ni muziki TUTAONA.
 
Kumbe ka Nandy ni kakubwaaa. Pia ni mzur mnooo yani Naturally. Kuna video yake kapost Ruge anacheza na ka mbwa yani it seems jamaa walikuwa wanapendana sana na Nandy
Kabayaa.. ukikaon live
 
mFAno mzuri kuna kadada kanajiita ka MALAIKA yani yule nadhani hata wewe unaweza ukawa humfahamu ila mfate muulize kulikoni una ishi kama umeshushwa sayari ya pili..utaskia MUZIKI tuuu mxieuwww
 
Tokoshila pyeee!Tokosanga manumba na mmawee!(Kwa style hii tutaisha woootee.Tutaacha majumba na mawe tu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…