Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Watanzania tuna matatizo sana..
Okay sawa kama ni kweli tatizo liko wapi??
Mbona kama watu wanateseka?
Kuna mama ama baba yake hapa?
Kama papa ni yake akidanga ama akiliwa we unaumia nini???
Hebu acheni kufatilia mambo ya watu fanyeni kazi ikishindikana weka hata TBC ONE uangalie taarifa ya habari
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mkuu alikua hajaoa..