Nandy, Mafiga matatu yatakuponza

Yani we unatutangazia Una bae , af mtu mwenyewe Billnas , lazima upunguze popularity , atangaze yupo single na pia aruhusu tumshike shike tako 😀 chap Tu mainstream zinaanza kuvunja record
 
Poleeeeeeeh, unateseka ukiwa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ina mana label ya Rayvanny hujaiona, unajifanya kupita kimya kimya tuu...hebu sema neno aaah
 
Ina mana label ya Rayvanny hujaiona, unajifanya kupita kimya kimya tuu...hebu sema neno aaah
Logo ya label ka copy kwa BMW, wala hana maajabu, nasubiri kuona nae mwendo wake nje ya system.
 
Logo ya label ka copy kwa BMW, wala hana maajabu, nasubiri kuona nae mwendo wake nje ya system.
😃😃😃😃😋😋 Uzuri hajapoteza fans hata mmoja, alipo yupo..
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji39][emoji39] Uzuri hajapoteza fans hata mmoja, alipo yupo..
Wee ndo unasema hivyo, huwajui wabongo vizuri. Tuwe wapoleeeh majibu yatapatikana soon.
 
Wee ndo unasema hivyo, huwajui wabongo vizuri. Tuwe wapoleeeh majibu yatapatikana soon.
Asa kama Wasafi nzima itamsapoti , na fans wote , tunatia nyampa nyampa genge la kimakonde
 
Asa kama Wasafi nzima itamsapoti , na fans wote , tunatia nyampa nyampa genge la kimakonde
Kwahiyo mpo kwa ajiri ya kumu oppose konde? Lol mbna kazi mnayo mwaka huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utakosa zawadi ya babu shauri yako mjukuu[emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa wee babuuh unajibu hivo km kijana bhana, hebu waachie wajukuu zako lugha hizo.
Hapo kwa zawadi kusiwe na mabadiliko lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa wee babuuh unajibu hivo km kijana bhana, hebu waachie wajukuu zako lugha hizo.
Hapo kwa zawadi kusiwe na mabadiliko lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1691][emoji1533][emoji1752]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…