Nandy na Women Shaming

Nandy na Women Shaming

Mitandao imekuwa Kama ni sehemu ya watu wengi kupunguzia stress Zao ukitaka kulifatilia kila liandikwalo na hao watu Utakuwa chizi.

Watu wanalisema gheto la billnass wakati haohao akitoa nyimbo wanazidownload free, wengine hata Kwenye shoo zake hawajawahi kwenda!! Hapo hapo kuna watu wanataka amiliki gheto Kali

Waache watoe sumu Zao mioyoni mwao Kwani ndio nafuu yao ya mioyo yao kupata nafuu ya msongo wa mawazo .

Na ndio sisi msanii akiamua aishi kiuhalisia maneno akiishi Kwenye nyumba ya kupanga ya Bei maneno tunasema wanapanga nyumba za gharama hawajengi. Kwahiyo binadamu huwaga Hatuna jema.


Na hilo lilomkuta nandy mwanamke yoyote kinaweza kumtokea pia.
 
Ile video imemharibia reputation yake sio kwa leo tuu..maisha yake yote yaliyobaki lazima itamathiri..kitendo cha dkk 1 tuu kinaweza kubadiri hali ya maisha yako, yaani huyu dada haters wake huko mbele watafukua kweli makaburi yake na hili ndio kaburi kubwaa litakalofukuliwa hadi watoto wake watakuja kuona..ni kweli wanawake ni wahanga, yaani mwanaume anapondwa kuhusu uchafu wa chumba tuu zigo lilibaki ni la mwanamke..harafu ile chu*pi mbona nzuri tuu naona pia wanamsakama pia katika angle hiyo

Kama wanawake, wanaojua pichu zipi nzuri na zipi mbaya kwao, wasingeshikia bango ile pichu basi wanaume tungeona ipo sawa, sababu wanawake wenzake wameshika bango hapo ili kumchafua zaidi sasa na sisi tunajua ile pichu ni mbaya. Wanawake wanzake wametusanua.
 
Sas we ulitakaje? Billnass asemwe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mitandao imekuwa Kama ni sehemu ya watu wengi kupunguzia stress Zao ukitaka kulifatilia kila liandikwalo na hao watu Utakuwa chizi.

Watu wanalisema gheto la billnass wakati haohao akitoa nyimbo wanazidownload free, wengine hata Kwenye shoo zake hawajawahi kwenda!! Hapo hapo kuna watu wana vigheto vya ajabu hicho cha billnass kina nafuu

Waache Watoe sumu Zao mioyoni mwao Kwani ndio nafuu yao ya mioyo yao kupata ahueni Kwa misongo ya mawazo inayowatala

I certainly have no problem with that, acha watapike nyongo, swali ni nani kasema lile ni ghetto la Billnas? Labda ni la Nandy mwenyewe au la mtu baki.

Kwa kumuhusisha Billnas na ghetto tu badala ya scene nzima huoni kwamba anatafutiwa upenyo wa kulikimbia hili soo huku Nandy akiendelea kupambana na mkasa peke yake.
 
Kama wanawake, wanaojua pichu zipi nzuri na zipi mbaya kwao, wasingeshikia bango ile pichu basi wanaume tungeona ipo sawa, sababu wanawake wenzake wameshika bango hapo ili kumchafua zaidi sasa na sisi tunajua ile pichu ni mbaya. Wanawake wanzake wametusanua.
Kabisa wanawake wenzake ndio wanaomchafua haswa
 
Ile video imemharibia reputation yake sio kwa leo tuu..maisha yake yote yaliyobaki lazima itamathiri..kitendo cha dkk 1 tuu kinaweza kubadiri hali ya maisha yako, yaani huyu dada haters wake huko mbele watafukua kweli makaburi yake na hili ndio kaburi kubwaa litakalofukuliwa hadi watoto wake watakuja kuona..ni kweli wanawake ni wahanga, yaani mwanaume anapondwa kuhusu uchafu wa chumba tuu zigo lilibaki ni la mwanamke..harafu ile chu*pi mbona nzuri tuu naona pia wanamsakama pia katika angle hiyo
Ukiamua kuifanya kazi ya Shetani hili sio big issue kwakee ni upepo utapitaaa tu. Yeye sio wa kwanza na wala hatokua wa mwisho
 
Its always like thatfor us women and its for a reason.

Sisi wanawakw huwa tunachukyliwa kuwa demi-gods. We bring forth life. We make men, or destroy them.

Such are our powers. We are required to stay strong in the face of calamity and never be seen degrading ourselves.

When hell breaks loose society foesnt think twice before tearing us apart.

Tujitambue cheo chetu, na hadhi zetu na nguvu tuliyo nayo kwa jamii yetu na tusikubali kujidhalilisha
hii english ni ya france itakuwa
 
I certainly have no problem with that, acha watapike nyongo, swali ni nani kasema lile ni ghetto la Billnas? Labda ni la Nandy mwenyewe au la mtu baki.

Kwa kumuhusisha Billnas na ghetto tu badala ya scene nzima huoni kwamba anatafutiwa upenyo wa kulikimbia hili soo huku Nandy akiendelea kupambana na mkasa peke yake.
Nandy yeye ndio mwenye kiherehere mbona billnass Amekaa Kimyaaaa unaambiwa jibu la mjinga ni kukaa Kimyaaaa. Kwa kuwa yeye ameitolea ufafanuzi hiyo video acha wamuattack yeye. Na akae akijua hiyo kazi anayoifanya lolote linaweza kutokea kubwa zaidi ya hilo asishangae Sana.
 
Kama wanawake, wanaojua pichu zipi nzuri na zipi mbaya kwao, wasingeshikia bango ile pichu basi wanaume tungeona ipo sawa, sababu wanawake wenzake wameshika bango hapo ili kumchafua zaidi sasa na sisi tunajua ile pichu ni mbaya. Wanawake wanzake wametusanua.

kwa kweli mie sikuona ubaya wa ile pichu ,unaweza ukanunua chupi nzuriiii ila haiendani na wewe ukivaa hata haikusexishi na ukanunua pichu ya kawaida ukapendeza nayo,ukapendeza na umbo lako....
 
Very good analysis. Wakati mwingine ule usemi wa Wanawake hawapendani huwa ni kweli. Kama alivyosema mtoa uzi wanawake wengi wamemponda mwenzao badala ya kumtetea.

Its always like thatfor us women and its for a reason.

Sisi wanawakw huwa tunachukyliwa kuwa demi-gods. We bring forth life. We make men, or destroy them.

Such are our powers. We are required to stay strong in the face of calamity and never be seen degrading ourselves.

When hell breaks loose society foesnt think twice before tearing us apart.

Tujitambue cheo chetu, na hadhi zetu na nguvu tuliyo nayo kwa jamii yetu na tusikubali kujidhalilisha
 
kwa kweli mie sikuona ubaya wa ile pichu ,unaweza ukanunua chupi nzuriiii ila haiendani na wewe ukivaa hata haikusexishi na ukanunua pichu ya kawaida ukapendeza nayo,ukapendeza na umbo lako....

Sasa pichu inasemwa ka kavaa gunia.. I guess watu wote wa mitandaoni wanavaa Victoria Secrets straight from USA, hawavai midosho ya Kkoo, wote wanakaa kwenye mahekalu sio ghetto kama lile
 
Nandy yeye ndio mwenye kiherehere mbona billnass Amekaa Kimyaaaa unaambiwa jibu la mjinga ni kukaa Kimyaaaa. Kwa kuwa yeye ameitolea ufafanuzi hiyo video acha wamuattack yeye. Na akae akijua hiyo kazi anayoifanya lolote linaweza kutokea kubwa zaidi ya hilo asishangae Sana.

Mkuu Nandy ndo mhanga mkuu kwenye hili, wanawake ndo huwa wahanga wakuu kwenye madhila kama haya, hivyo yeye ataendelea kuwa stigmatized zaidi ya Billnas na atapaswa kuendelea kujisafisha zaidi ya mwenzake. Aidha nasikia Billnas yupo nje ya nchi kwa sasa lakini alitoa waraka kujisafisha
 
Tatizo mnapokua faragha na mpenzi akili huwa zinakua sio zenyewe, yani mnafanya vitu hamkutarajia kufanya yani ni jambo la kua makini zaidi na zaidi ndio linahitajika
 
Nandy yeye ndio mwenye kiherehere mbona billnass Amekaa Kimyaaaa unaambiwa jibu la mjinga ni kukaa Kimyaaaa. Kwa kuwa yeye ameitolea ufafanuzi hiyo video acha wamuattack yeye. Na akae akijua hiyo kazi anayoifanya lolote linaweza kutokea kubwa zaidi ya hilo asishangae Sana.

its true angepita kimya,kuongea ndio kwanza anatia moto petrol,pili tuna different perceptions kitu alichofanya kinaweza kutafsriwa kama uma*laya,na uma*laya haukubaliki katika jamii ya wastaarabu ,and therefore wont go without punishment,trust me hio pekee ni motivation tosha kwa hawa vifimbo cheza wa jamii kum harass physically and verbally na wanajiona wana haki kumfanyia hivyo.........utatukanwa,utasonywa,utarushiwa mawe,jiandae mama kisaikolojia...I hope mumenielewa even though maelezo yangu hayako clear....
 
s amesha omba msamaha.
Ina maana bado tu hamja msamehe?
 
Back
Top Bottom