Nandy na Women Shaming

Nandy na Women Shaming

Tatizo mnapokua faragha na mpenzi akili huwa zinakua sio zenyewe, yani mnafanya vitu hamkutarajia kufanya yani ni jambo la kua makini zaidi na zaidi ndio linahitajika
Word
 
hiyo ni kawaida kwani yeye ndo katoa uchi na yeye ndo aliyerekodi na simu inaonekana ni yake.. sasa nani mpuuzi hapa kama si yeye mambo mfanye wenyewe chumbani unajirekodi ili nani akatizame??
 
Ni wachache watakaoelewa kwamba Binti alikuwa anatafuta Kiki
Kiki gani..? Nandy alikuwa anafuta kiki gani angali mziki wake ulishapaa juu.. ??? Hivi kuns mtu anaweza tafuta kiki kwa upuuzi alioufanya huyo binti
 
Kuna kitu mleta mada hujakielewa, na ukielewa hakitakusumbua.

1/Watu wengi walikuwa wanamwona Nandy kama mwanamke mpole, mstaarabu, Anayejiheshimu na Asiye na scandal. Yaani alikuwa anaonekana kama malaika fulani hivi. Sasa kile kitendo kimewashtua waafuasi wake sana. Hali hiyo ni tofauti na Bill Nasi ambaye wengi wa mashabiki wake wanamwona kama mhuni wa kawaida sana. Hivyo hakuna kipya. (Kumbuka Video iliyoonyesha kitendo cha Albert Msando na Giggy Money kufanya ule uchafu wao(Video ambayo inafanana sana na hii ya Nandy), shutuma zilielekezwa kwa Msando zaidi ambaye ni mwanaume na wala sio kwa Giggy Money kwa sababu Msando alikuwa anaheshimika kwenye jamii wakati Giggy money anajulikana kama malaya wa kawaida sana kwenye jamii)

2/Kijamii mwanamke ndio mwenye kudhalilika kwanza ikiwa amefanya kitendo cha aibu. Kwanini? Kijamii mwanamke ni chombo cha heshima sana, ndani yake amebeba thamani ya mama, na sote tunajua mama ni nani?

Twende mbele au turudi nyuma ile video imemuondoa Nandy katika brand yake aliyokuwa imekwisha ijanga, kwa vyovyote vile Career yake lazima iyumbe kama sio kupotea, na asipojipanga vyema tegemea kwa yeye kuja na hizi mbinu...
-Ataanza kuishi kwa scandals tu ili kuendelea kujijenga kiumaarufu(Wenzake wote waliishia na huo mchezo).

-Atabadilisha mwenekano wake wa kimavazi ili kuwa kama malaya fulani ili kuendelea kukick.

-Ataachana na sanaa ya muziki ili kukwepa umaarufu unaomtafuna sasa. (Wapo warembo kadhaa walishafanya haya baada ya kupata scandal kama hizo)
 
Nadhani hawa tunaowaita/wanaojiita mastaa wanatakiwa wajifunze/wafundishwe kuuhimili umaarufu wao.
 
Hakuna cha kushangaa au kudadisi hapa. It's plain and clear to everyone with half ä brain that in a patriarchal society and culture like ours, women and their sexuality are held to higher standärds than males. Thus the overwhelming biased or negative reaction to the female actor in the video as opposed to the male.
 
Mitandao imekuwa Kama ni sehemu ya watu wengi kupunguzia stress Zao ukitaka kulifatilia kila liandikwalo na hao watu Utakuwa chizi.

Watu wanalisema gheto la billnass wakati haohao akitoa nyimbo wanazidownload free, wengine hata Kwenye shoo zake hawajawahi kwenda!! Hapo hapo kuna watu wanataka amiliki gheto Kali

Waache watoe sumu Zao mioyoni mwao Kwani ndio nafuu yao ya mioyo yao kupata nafuu ya msongo wa mawazo .

Na ndio sisi msanii akiamua aishi kiuhalisia maneno akiishi Kwenye nyumba ya kupanga ya Bei maneno tunasema wanapanga nyumba za gharama hawajengi. Kwahiyo binadamu huwaga Hatuna jema.


Na hilo lilomkuta nandy mwanamke yoyote kinaweza kumtokea pia.
Watu hawaja mponda billinas kwamba chumba chake kibaya walichoponda chumba chake kuwa kichafu ukiangalia ile video utaona vitu vimetupwa tupwa hasa nguo sasa kijana mwenye elimu ya chuo chumba chake kuwa vile inashangaza.
 
Kuna kitu mleta mada hujakielewa, na ukielewa hakitakusumbua.

1/Watu wengi walikuwa wanamwona Nandy kama mwanamke mpole, mstaarabu, Anayejiheshimu na Asiye na scandal. Yaani alikuwa anaonekana kama malaika fulani hivi. Sasa kile kitendo kimewashtua waafuasi wake sana. Hali hiyo ni tofauti na Bill Nasi ambaye wengi wa mashabiki wake wanamwona kama mhuni wa kawaida sana. Hivyo hakuna kipya. (Kumbuka Video iliyoonyesha kitendo cha Albert Msando na Giggy Money kufanya ule uchafu wao(Video ambayo inafanana sana na hii ya Nandy), shutuma zilielekezwa kwa Msando zaidi ambaye ni mwanaume na wala sio kwa Giggy Money kwa sababu Msando alikuwa anaheshimika kwenye jamii wakati Giggy money anajulikana kama malaya wa kawaida sana kwenye jamii)

2/Kijamii mwanamke ndio mwenye kudhalilika kwanza ikiwa amefanya kitendo cha aibu. Kwanini? Kijamii mwanamke ni chombo cha heshima sana, ndani yake amebeba thamani ya mama, na sote tunajua mama ni nani?

Twende mbele au turudi nyuma ile video imemuondoa Nandy katika brand yake aliyokuwa imekwisha ijanga, kwa vyovyote vile Career yake lazima iyumbe kama sio kupotea, na asipojipanga vyema tegemea kwa yeye kuja na hizi mbinu...
-Ataanza kuishi kwa scandals tu ili kuendelea kujijenga kiumaarufu(Wenzake wote waliishia na huo mchezo).

-Atabadilisha mwenekano wake wa kimavazi ili kuwa kama malaya fulani ili kuendelea kukick.

-Ataachana na sanaa ya muziki ili kukwepa umaarufu unaomtafuna sasa. (Wapo warembo kadhaa walishafanya haya baada ya kupata scandal kama hizo)

Mkuu umeeleza vyema na nakubaliana na wewe, it's very unfortunate kabomoa taswira aliyojijengea yeye mwenyewe huku wanawake wenzie wakiwa mstari wa mbele kwenye kumpaka matope zaidi. Wangeweza kumstiri kwa kutoiongelea tu ingetosha kuliko kuiongelea kwa kuichambua vipande vipande. Ni wanawake wenzake waliotujulisha ile pichu haifai, wanaume walio wengi couldn't tell kama ni nzuri au mbaya.
 
s amesha omba msamaha.
Ina maana bado tu hamja msamehe?

Hilo ndo swali la msingi kwenye huu uzi, kwanini inawawia vigumu raia kumsamehe Nandy, kwanza kwanini anaomba msamaha in the first place wakati Billnas kashasamehewa bila hata kuomba msamaha. Hakuna anayemuongelea Billnas
 
Ile video alikuwa akiichukua mwenyewe. Nadhani tatizo linaanzia hapo. Sasa kwa nini yule dogo awe bashed? Hakuwa amevua nguo zote. Dogo alikuwa anapima oil na Nandy yupo happy tu.
 
Ila wajameni kumbe haka kadada kana kiuno kizuri hivi!
Yaani jamaa alifaidi sana vinakuwaga vitamu balaa na havichokagi haraka sio kama yale mabonge yenye michirizi
 
Simuonei huruma Nandy maana kajirekodi mwenyewe. Ukute pia kaisambaza yeye mwenyewe!
Yule binti kumbafu zake, yani kajirekodi mwenyewe af kashare na shoga yake halafu analilia huruma ya watu ambao vyuma vimekaza. Wacha raia wamtumbue tu hamna namna
 
Ile video alikuwa akiichukua mwenyewe. Nadhani tatizo linaanzia hapo. Sasa kwa nini yule dogo awe bashed? Hakuwa amevua nguo zote. Dogo alikuwa anapima oil na Nandy yupo happy tu.
Alikuwa anapimaa Topeee wew...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sema katika hayo mambo Mwanaume ndo huwa ananonekana SHABABIII yanii ilaa demu anaonekana malayaaa... Nandy kachafukaa sanaa aisee ilee video wapinzani wake wataitumia sana kumuumiza... Namuonea huruma vile alikuwa anaonekana decent sana.. Ruge piaa atampigaa chini sasa daah clouds ikikutemaa kupotea ni lazimaa... Diamond tu ndo Simbaaaaa dadeki... So nandy kufanywa vile ni aibu kwanza bora ingekuwa mbele...!
 
Back
Top Bottom