Nandy na Women Shaming

Nandy na Women Shaming

hahaaa utoto bwana,unaexperiment vitu vingi........inauma kwa sasa ila atapona,many have gone through the same thing na wamepona,and I don't think it will affect her career as she is 'purely talented'....sio analazimisha fani
W're talking about talent
 
utoto ni ugeni katika mapenzi,halafu kipindi cha ku 'explore' relationship and sex ni kipindi hicho cha 18-26 ,na hiki kipindi hauwi expected kufanya maamuzi magumu,sababu japokua umekua ,haujawa matured enough...au wewe umefukuzwa kwenu as soon you turned 18?
Siku zote anayedharau amri kumi za Mungu yakimkuta hatushangai,tuache visingizio,ACHENI ZINAA
 
utoto ni ugeni katika mapenzi,halafu kipindi cha ku 'explore' relationship and sex ni kipindi hicho cha 18-26 ,na hiki kipindi hauwi expected kufanya maamuzi magumu,sababu japokua umekua ,haujawa matured enough...au wewe umefukuzwa kwenu as soon you turned 18?
nimekuelewa Sis

Sikufukuzwa niliondoka
 
Alikuwa anapimaa Topeee wew...!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sema katika hayo mambo Mwanaume ndo huwa ananonekana SHABABIII yanii ilaa demu anaonekana malayaaa... Nandy kachafukaa sanaa aisee ilee video wapinzani wake wataitumia sana kumuumiza... Namuonea huruma vile alikuwa anaonekana decent sana.. Ruge piaa atampigaa chini sasa daah clouds ikikutemaa kupotea ni lazimaa... Diamond tu ndo Simbaaaaa dadeki... So nandy kufanywa vile ni aibu kwanza bora ingekuwa mbele...!
Wewe ni KE au ME?

Samahani lakini maana...
 
Siku zote anayedharau amri kumi za Mungu yakimkuta hatushangai,tuache visingizio,ACHENI ZINAA

hata adam na hawa walizini,mkuu kuwaambia watu waache zinaa ni mission impossible ,wakale walizini,wa sasa wanazini na wajao watazini pia,...
 
Vijana wana mengi ya kushangaza
IMG_20180414_101507.jpg
 
Tatizo ni kwamba tulizoea kuona mambo hayo kwa watoto wa kiume. Yaani mtoto wa kiume anamlazimisha mpenzi wake ampige picha wawapo faragha.

Hii imekuja kiutofauti. Nandy mwenyewe ndo anarekodi hiyo video. Ndio maana kila mtu yupo upande wa billnass. Lakini endapo aliyekua akirekodi angekua billnass, basi kila mtu angekua upande wa nandy. Na kumuuliza billnass kwanini aliamua kumfanyia mchezo huo mwenzake

Kusema kweli, nimejikuta namchukia Nandy ghafra baada ya kujua anafanya vitu ambavyo sikuwahi kufikiria anaweza kufanya

I hear you
 
Kitendo cha yeye kuwa gumzo tu kwa alichokifanya ni KIKI tosha kabisa,
Hivi kuna msanii wa mziki wa kike hapa Tz kawasasa hivi ambaye ana-trend kwenye media kumshinda Nandy....????

Labda uniambie alikuwa anatafuta Kiki ya kujilikana kuwa pamoja na yeye kuwa ni Mwamziki pia ni porn Star.....

Au labda sijui maana ya Kiki
 
Sijui kama umeelewa nilichomaanisha, Nandy anaendelea kuwa mhanga wakati Billnas anapotezewa.
Kwakua na nandy ni mwanamke,na mwanamke mwili wake imehusiwa ustiriwe kwakua umejaa matamanio,ebu pima tu tembea na mkeo akiwa tumbo wazi nawe tumbo wazi nanip ataonekana kituko.
 
Tofauti sasa yeye yupo Bongo na si Marekani.....

Huyo Binti mpaka aje akubalike tena ...sijui....
Wabongo walivyo wanafiki. Usicheze kabisa na wabongo. Kesho watamuita shujaa..

Maisha ya wabongo yamejaa sanaa na siasa..
 
Ile video imemharibia reputation yake sio kwa leo tuu..maisha yake yote yaliyobaki lazima itamathiri..kitendo cha dkk 1 tuu kinaweza kubadiri hali ya maisha yako, yaani huyu dada haters wake huko mbele watafukua kweli makaburi yake na hili ndio kaburi kubwaa litakalofukuliwa hadi watoto wake watakuja kuona..ni kweli wanawake ni wahanga, yaani mwanaume anapondwa kuhusu uchafu wa chumba tuu zigo lilibaki ni la mwanamke..harafu ile chu*pi mbona nzuri tuu naona pia wanamsakama pia katika angle hiyo
Mkuu seriously ile jichu*pi lipo vizuri ?
 
Hawa walikua wanatafta
tu kick na ujinga wao

Af sielew nandy alikua anajirekod
Kwa mantik gan
 
Hilo suala haliishi saa hizi kumbuka kuna teknolojia ambayo imetumika kuhifadhi hiyo video,itakaa miaka na miaka.Msifanye watu waendelee kufanya makosa hovyohovyo kwakujua yatapita kirahisirahisi kwani mume wa huyo Nandy hatakua na furaha kamili pale atakapokua anaambiwa nakurushiwa video za huku yeye kamuoa.Fanyeni wasichana waishi kiuangalifu ili maisha yao ya sasa yasijekuwaletea matatizo baadae.Afande Selle hadi sasa kila watu wakitaka kuonyesha ujinga wao wanaonyesha ile picha aliovuaga akabaki na boxer,naye alidhani litapita kirahisi.

you are right,ila once vitu kama hivi vikitokea kuna process unapitia,from guilty ,anger,confusion and acceptability,once ume accept and forgive yourself ,unakua at peace,havikusumbui tena hata likijuridia mara kwa mara .I don't say halitakuuma,kila ukipata kinachokukumbusha lazima upate dejavuu- feelings you felt when you first saw yourself on internet nude.i think ukipata mtu matured both in age and experience,ataaangalia other qualities that you have beyond the scandals ,we all experiment na watu wengi wana scandals na hawajulikani kwenye internet-so kuonekana on the internet sio kwamba wewe ndio Mala*ya sana and I think any MATURED MAN knows this......
 
Hahaha kwel mkuu wametusanua
Kama wanawake, wanaojua pichu zipi nzuri na zipi mbaya kwao, wasingeshikia bango ile pichu basi wanaume tungeona ipo sawa, sababu wanawake wenzake wameshika bango hapo ili kumchafua zaidi sasa na sisi tunajua ile pichu ni mbaya. Wanawake wanzake wametusanua.
 
Ile video alikuwa akiichukua mwenyewe. Nadhani tatizo linaanzia hapo. Sasa kwa nini yule dogo awe bashed? Hakuwa amevua nguo zote. Dogo alikuwa anapima oil na Nandy yupo happy tu.
Mkuu lile dole linapima tope pale siyo oil
 
you are right,ila once vitu kama hivi vikitokea kuna process unapitia,from guilty ,anger,confusion and acceptability,once ume accept and forgive yourself ,unakua at peace,havikusumbui tena hata likijuridia mara kwa mara .I don't say halitakuuma,kila ukipata kinachokukumbusha lazima upate dejavuu- feelings you felt when you first saw yourself on internet nude.i think ukipata mtu matured both in age and experience,ataaangalia other qualities that you have beyond the scandals ,we all experiment na watu wengi wana scandals na hawajulikani kwenye internet-so kuonekana on the internet sio kwamba wewe ndio Mala*ya sana and I think any MATURED MAN knows this......

Hata huyo matured person akimkubali tambua kua kuna ndugu,jamaa na marafiki ambao watakua wanaumizwaumizwa na ujinga wa huyo Nandy,vilevile tambua atakuja kua na watoto,we unadhani watoto hao watajisikiaje?
 
Back
Top Bottom