Nandy na Women Shaming

Wanawake wapo mstari wa mbele kudhalilishana wao kwa wao,
Wanawake pia wapo mstari wa mbele kujidhalilisha,
Kanapiga video kenyewe,
Kana ruhusu kukunwa zero yake tena kanachekelea,
Skia kitu,unadhani wanaume huwa tunafrahia tg kihiiiivyo zaidi ya njia ya kawaida?
Ipo hv, ukiwa na mwanamke,afu haumuamini amini,unamuona mjanjamjanja,na siku moja anaweza kukukimbia na akaanza kukuponda,tunachofanya huwa ni kujidhusha halafu tunaanza mawindo ya taratibu lkn kwa umakini ya kuhakikisha tgo inachakatwa,maana tunajua nikiichakata tu hautakuwa na lolote kuuubwa la kunitishia,unakuwa umeuza utu wako,unakuwa umejidharilisha,unakuwa umejipiga kufuri,
Hata ukijidai kuachana na mm unakuwa hauna thamani,wala hauwezi nitishia kwa lolote,
Akina Dada nimewanyetishia siri hii,
Wanawake tunaowathamini hatuwezi wafanyia ya nandyy maana tunajua ni wa kudumu na wa thamani kwetu,
Fikitia hata Nandyy afanye nn analipi la kujidai mbele ya billassy wakati nanii tayarii,
 
Kwakua na nandy ni mwanamke,na mwanamke mwili wake imehusiwa ustiriwe kwakua umejaa matamanio,ebu pima tu tembea na mkeo akiwa tumbo wazi nawe tumbo wazi nanip ataonekana kituko.

Pengine watamshangaa zaidi mwanamke ila ajabu ni pale ambapo wanawake wenzake wanapokuwa mstari wa mbele kuona mwenzao yupo tumbo wazi na badala ya kumstiri wanazidi kumcheka na kumvua nguo zaidi.
 
Mm sielewi kitu kwenye ile clip, ni nani hasa alierecod ile clip, bill nass au nandy, koz sim ya nandy inaonekana kabisa ikirecord kwa uhalisia MTU akiwa anajirecord au kuselfie simu kama simu haiwezi onekana , kitakachoonekana ni mwelekeo tu

Simu iliyoonenkana ni ya Billnas mkuu, Nandy ulioneka sehemu tu ya mkono ila simu yake mwenyewe haioneka sababu ndo inayorekodi, nilifuta video kwa heshima yao siwezi nikahakiki tena ila naamini ni hivyo.
 

Hopefully.
 

Swala fikirishi
 

You ain't never told no lie, hakika yajayo hayafurahishi kwa hisani ya Mshana Jr
 

Sijapinga mkuu nimetoa rai tu kwamba there should a fair play ground, one shouldn't be given a pass to go under the radar intact huku mwingine akisulubiwa. Wote wakinywee kikombe hiki
 
Kwa mtu mwenye IQ ndogo amenielewa ila kwa wewe subiri utaelewa taratibu, maana inaonekana wazi hutaki kuelewa ila unataka ligi tu...

Kwa lugha nyingine naweza kukuita MPUMBAVU
Maana hutaki kuelewa
 
Kwa mtu mwenye IQ ndogo amenielewa
ni kweli mwenye IQ ndogo...uuesahau kuwa.binadamu huwa tinapimwa uelewa kwa IQ kubwa...

ila kwa wewe subiri utaelewa taratibu, maana inaonekana wazi hutaki kuelewa ila unataka ligi tu...
Usinilishe maneno weye! Nitake ligi na wewe ambaye hujui hata unachokiandika..!?? Kuwa na adabu..

Kwa lugha nyingine naweza kukuita MPUMBAVU
Maana hutaki kuelewa
Sasa kama unayoandika yanaeleweka na wenye IQ ndogo....then let me rest my case
 
Wanaume sisi ni wajanja sana,uchi wetu huwa hauonekani hovyo,wanawake watavua nguo zote ila mwanaume anasogeza boxer chini na ngumu dushe kuonekana,sasa utakuta mhanga lazima atakuwa mwanamke tu
 
OKAY
 

Haya ndo tunayosema, hapo utaona Nandy anaombewa mabaya na kwamba atakoma, atakosa shows nakadhalika ila Billnas hahusishwi. Kwamba yeye aendelee kupata shows. Kwanini Billnas haombewi mabaya kama wamuombeavyo Nandy?

Dogo Janja angeweka wazi majina ya hao watu vinginevyo hii inabaki kuwa mipasho tu kama alishindwa kuwakosoa wakiwa huko huko kwenye maongezi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…