popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,615
Wanawake wapo mstari wa mbele kudhalilishana wao kwa wao,Salam,
Moja kwa moja niende kwenye mada, kila mtu sasa anajua kuhusu kuvuja kwa video ya faragha ya wasanii Nandy na Billnas. Kwenye ile video Nandy mwenyewe, mhanga mkuu, anaonekana ndo cameraman or camerawoman if you will.
Sijui nani kavujisha ila kuna kitu kimoja nimeshuhudia katika utoaji maoni ya hii video nacho ni- Women Shaming. For some reason, msanii Nandy anapondwa, anatukanwa, memes za kumdhalilisha zinatumwa kushoto na kulia, huku Billnas akionekana kama mjanja au hausiki kabisa. Nimesikitika zaidi kuona hata wanawake wenzake hawapo upande wake zaidi ya kufurahia madhila yaliyomkuta mwanamke mwenzao
Kwa upande wa Billnas, yeye kinachosemwa ni ghetto lake kwamba ni chafu ilhali hakuna mwenye uhakika kile ni chumba cha nani, labda ni cha Nandy mwenyewe au sio cha yeyote kati yao. Somehow Billnas is given a pass to go under the radar.
Kwa mwendo huu udhalilishaji wa wanawake hauwezi kuisha hasa kama wanawake wenyewe ndo wapo mstari wa mbele kufurahia madhila ya wenzao na mfumo dume hauwezi kukoma katu.
Nimefarijika kidogo kumsikia Katibu wa BASATA akielezea bila kutetea au kuponda upande hadi pale watapokuwa na ushahidi wa kutosha na kawaongelea wasanii wote wawili kama wahanga/wahusika evenly.
Rai: wapenzi acheni kurekodi video muwapo faragha au kutumiana picha za utupu kwa sababu zozote zile. Huwezi jua zinaweza vuja hata kwa bahati mbaya, kuna kuibiwa simu, kupoteza simu, kudukuliwa but kuvuja ni kuvuja it doesn't matter zimevuja kwa njia gani. Mpenzi wako video za nini.. Pillow talk should be intimate between the two of you sio mambo ya kurekodiana.
Wanawake pia wapo mstari wa mbele kujidhalilisha,
Kanapiga video kenyewe,
Kana ruhusu kukunwa zero yake tena kanachekelea,
Skia kitu,unadhani wanaume huwa tunafrahia tg kihiiiivyo zaidi ya njia ya kawaida?
Ipo hv, ukiwa na mwanamke,afu haumuamini amini,unamuona mjanjamjanja,na siku moja anaweza kukukimbia na akaanza kukuponda,tunachofanya huwa ni kujidhusha halafu tunaanza mawindo ya taratibu lkn kwa umakini ya kuhakikisha tgo inachakatwa,maana tunajua nikiichakata tu hautakuwa na lolote kuuubwa la kunitishia,unakuwa umeuza utu wako,unakuwa umejidharilisha,unakuwa umejipiga kufuri,
Hata ukijidai kuachana na mm unakuwa hauna thamani,wala hauwezi nitishia kwa lolote,
Akina Dada nimewanyetishia siri hii,
Wanawake tunaowathamini hatuwezi wafanyia ya nandyy maana tunajua ni wa kudumu na wa thamani kwetu,
Fikitia hata Nandyy afanye nn analipi la kujidai mbele ya billassy wakati nanii tayarii,