Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,964
- 3,496
Mtaji wako ni uthubutu wako unaeza anza na kidogo ulichonacho sema sisi huwa tunataka hadi tufikishe kiwango fulani ndipo tuanze rasmi kujiajiri jambo ambalo ni mtihani kulitekeleza,. Sema kikwazo pia ni mazingira si rafiki kwa biashara rasmi tozo zinazidi uhalisia, pia mfumo wa elimu haumjengi mtu kujiajiri bali kuwa mtumishi jambo linalopekea mhitimu kuona aibu na kuwa selective kuchagua kazi badala ya kujiajiri.MTAJI
Mengine ngonjera tu.