Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako ni la wakati huu au wakati uliopita?Kila nikipita mbele ya ofisi za bunge Dodoma najiuliza nani alimuru lile jengo kujengwa pale
Hakuna parking ya kutosha,magari ya wabunge mengi huishia nje ya uzio
Ni uswahilini hakuna utulivu huku wahuni wa makole huku wanafunzi wa cbe na vurugu zao
Mapori yote ya dodoma mkakosa kukamata hata ekari kumi sehemu tulivu
Kongole JK kupeleka UDOM sehemu sahihi
Picha haziruhusiwi kupigwa pale... Kuna jamaa siku fulani kidogo abebwe alitaka kupiga picha akaonywa haraka akaachapicha mkuu pembezoni mwa bunge
Kama itahitajika nafasi kubwa kwa ajili ya shughuli za bunge nje ya ukumbi wa bunge serikali inaweza kulipa fidia wale waliojenga karibu na jengo la bunge na kuongeza eneo.Swali lako ni la wakati huu au wakati uliopita?
Majinga ya JF yanaweza hata kuuliza hivi wayahudi kwanini walitumia miaka 40 kutembea kwa miguu kutoka Egypt hadi Caanan si wangetumia magari au ndege siku moja tu...
Uswahilini ni Changanyikeni au Kajamba nani?Kwanza naomba uanze na maana ya neno uswahilini. Je jengo la bunge kweli liko Uswahilini?
Bunge lilikuwa linatakuwa kuwa na eka hata 100! Angalia Ikulu ya Dodoma nadhani ina eka mia tano!!!Kama itahitajika nafasi kubwa kwa ajili ya shughuli za bunge nje ya ukumbi wa bunge serikali inaweza kulipa fidia wale waliojenga karibu na jengo la bunge na kuongeza eneo.
Kwa hiyo ushauri wako ni upi? Eneo kubwa la bunge litafutwe na jengo jipya la bunge lijengwe huko?Bunge lilikuwa linatakuwa kuwa na eka hata 100! Angalia Ikulu ya Dodoma nadhani ina eka mia tano!!!
Kale ka mtaa ka Makole pale ni uswahili sanaa,Kwanza naomba uanze na maana ya neno uswahilini. Je jengo la bunge kweli liko Uswahilini?
Watumie Zoom Conference tu kila mtu akiwa kwake kikao kiendelee.Kwa hiyo ushauri wako ni upi? Eneo kubwa la bunge litafutwe na jengo jipya la bunge lijengwe huko?
Kweli halikutakiwa kuwa hapo. Jengo cha Chimwaga ndio lilikuwa liwe la Bunge na la Kamati Kuu ya Chama (mambo ya chama kimoja). Hapo lilipo ilikuwa liwe kwa muda tu wakati Chimwaga inakamilika. Hata majengo ya mawizara hayakutakiwa kuwa yanapojengwa sasa hivi. Ila kama kawaida yetu neno Masterplan haliko kwenye msamiati wetu.Kila nikipita mbele ya ofisi za bunge Dodoma najiuliza nani alimuru lile jengo kujengwa pale
Hakuna parking ya kutosha,magari ya wabunge mengi huishia nje ya uzio
Ni uswahilini hakuna utulivu huku wahuni wa makole huku wanafunzi wa cbe na vurugu zao
Mapori yote ya dodoma mkakosa kukamata hata ekari kumi sehemu tulivu
Kongole JK kupeleka UDOM sehemu sahihi
Na hili jengo la bunge la sasa wapewe chadema ili angalau wawe na ofisi yenye hadhi ya chadema.Kwa hiyo ushauri wako ni upi? Eneo kubwa la bunge litafutwe na jengo jipya la bunge lijengwe huko?
Yes. Jengo la sasa linaweza kutumika kwa matumizi mengineKwa hiyo ushauri wako ni upi? Eneo kubwa la bunge litafutwe na jengo jipya la bunge lijengwe huko?