Kwanza kabisa baada ya Uhuru shughuli za bunge zilikua zinafanyika kwenye ukumbi wa karimjee jijini Dar, then zikahamishiwa Dodoma lkn jengo lilikua Ile white house pale katikati ya mji barabara ya nane, kipindi hicho hapo lilipo jengo la bunge la Sasa ilikua nje kabisa ya mji wa Dodoma. Cbe ndio usiseme. Imagine uwanja wa ndege ulikua hapo area C walipokua wanakaa vigogo ukiondoa wale vingunge waliokua wanakaa uzunguni.
Kipindi kile tunasoma Mazengo, shule ilikua porini kabisa. Msalato ndio usiseme. Enzi zile mnadani ilikua Ni hapo mjini kabisa.
Ni Kama chuo kikuu Dar, miaka ya 70 kilikua nje ya mkoa wa Dar es Salaam.