Watunga Sheria ni kina kibajaj, Taletale na msukuma halafu anayepitisha Ni ndugai.Ni ushamba tu. Utasemaje unataka watalii lakini hautaki wapige picha za ukumbusho wa ziara yao. Na ndip, wako watalii ambao wana interest na majengo. Kuna wakati ilikuwa unatakiwa kulipia kama ulitaka kupiga picha katika kijiji cha Makumbusho! Hawajui kuwa hizo picha ndio zitawavutia ndugu, jamaa na marafiki zao kuja Tanzania. Na kile wakipost kwenye social media ni advertisement ya bure. Badala yake watasimulia jinsi walivyonyanyaswa walipotaka kupiga picha! Ujinga mtupu.
Amandla...
Bunge linaspace ya kutosha ya parking mpaka hivi sasa kama uliwahi kupita njia ya nyuma upande iliopo veta utaona space iliopo,au upande wa nyuma wa CBE zilizopo ofisi za TANTRADE eneo ni kubwa mno nadhani hawaruhusu gari zote kupark ndani maybe kuepusha usumbufuKila nikipita mbele ya ofisi za bunge Dodoma najiuliza nani alimuru lile jengo kujengwa pale. Hakuna parking ya kutosha, magari ya wabunge mengi huishia nje ya uzio
Ni uswahilini hakuna utulivu huku wahuni wa Makole huku wanafunzi wa CBE na vurugu zao.
Mapori yote ya Dodoma mkakosa kukamata hata ekari kumi sehemu tulivu.
Kongole JK kupeleka UDOM sehemu sahihi.
Hapo ndo panafaaKila nikipita mbele ya ofisi za bunge Dodoma najiuliza nani alimuru lile jengo kujengwa pale. Hakuna parking ya kutosha, magari ya wabunge mengi huishia nje ya uzio
Ni uswahilini hakuna utulivu huku wahuni wa Makole huku wanafunzi wa CBE na vurugu zao.
Mapori yote ya Dodoma mkakosa kukamata hata ekari kumi sehemu tulivu.
Kongole JK kupeleka UDOM sehemu sahihi.
Kwa hiyo mji umesinyaa maana udsm bado ni mbali kutoka posta city center,ila kutoka city center ya dodoma mpaka bungeni unaenda kwa mguu,city center ya dodoma nyerere square ukikaa uwanja wa ndege unaona mita 300Kwanza kabisa baada ya Uhuru shughuli za bunge zilikua zinafanyika kwenye ukumbi wa karimjee jijini Dar, then zikahamishiwa Dodoma lkn jengo lilikua Ile white house pale katikati ya mji barabara ya nane, kipindi hicho hapo lilipo jengo la bunge la Sasa ilikua nje kabisa ya mji wa Dodoma. Cbe ndio usiseme. Imagine uwanja wa ndege ulikua hapo area C walipokua wanakaa vigogo ukiondoa wale vingunge waliokua wanakaa uzunguni.
Kipindi kile tunasoma Mazengo, shule ilikua porini kabisa. Msalato ndio usiseme. Enzi zile mnadani ilikua Ni hapo mjini kabisa.
Ni Kama chuo kikuu Dar, miaka ya 70 kilikua nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Hivi Dom uwanja wa ndege bado Ni ule ule wa area C tuliouacha wakati wa Nyerere tukiwa tunasoma Mazengo chini ya Mkoba RIPKwa hiyo mji umesinyaa maana udsm bado ni mbali kutoka posta city center,ila kutoka city center ya dodoma mpaka bungeni unaenda kwa mguu,city center ya dodoma nyerere square ukikaa uwanja wa ndege unaona mita 300
Bado ni huo huo unaotumika ila kuna mpya unajengwa mkuu bonge la uwanjaHivi Dom uwanja wa ndege bado Ni ule ule wa area C tuliouacha wakati wa Nyerere tukiwa tunasoma Mazengo chini ya Mkoba RIP
Msasa na Ddungu?
Long time sijatia mguu hapo.
Sasa mlikimbilia Nini kujenga uwanja chatu kumbe makao makuu yenu hayana uwanja wa ndege?
Daaah! Mkuu umenikumbusha Walimu wangu wa Mazengo Sekondari, enzi hizo: Mkoba RIP - Headmaster, Msasa - Second Master & Ddungu - Discipline Master!Hivi Dom uwanja wa ndege bado Ni ule ule wa area C tuliouacha wakati wa Nyerere tukiwa tunasoma Mazengo chini ya Mkoba RIP
Msasa na Ddungu?
Long time sijatia mguu hapo.
Sasa mlikimbilia Nini kujenga uwanja chatu kumbe makao makuu yenu hayana uwanja wa ndege?
Jengo la bunge aliamuru lijengwe pale JPM.Kila nikipita mbele ya ofisi za bunge Dodoma najiuliza nani alimuru lile jengo kujengwa pale. Hakuna parking ya kutosha, magari ya wabunge mengi huishia nje ya uzio
Ni uswahilini hakuna utulivu huku wahuni wa Makole huku wanafunzi wa CBE na vurugu zao.
Mapori yote ya Dodoma mkakosa kukamata hata ekari kumi sehemu tulivu.
Kongole JK kupeleka UDOM sehemu sahihi.
Wakati linajengwa lilikuwepo lile la zamani Ile sehemu iko vizuri sema tu utengenezaji wa mazingira bongo bado sanaJengo la bunge aliamuru lijengwe pale JPM.
Kama kawaida Nyumbu wamefurahi kusikia hivyo
Hao naweza kuwatetea Nairobi kupata ardhi tupu inaweza kuwa changamoto ila sio Dodoma, jengo zuri nafasi finyu, location pia sio sahihi
Wqbunge wa Tanzania hasa wale waliopo pale dodoma wanahitaji usalama gani? Wann huo usalama? Wanafaid gani wale wezi wa mali za ummaBinafsi nimewahi kujiuliza hata kiusalama haijakaa poa
Picha haziruhusiwi kupigwa pale... Kuna jamaa siku fulani kidogo abebwe alitaka kupiga picha akaonywa haraka akaacha
Sio lazima upite CBE,unaweza kuzungukia Shoppers,Njia panda ya Area D ukasepa sio hadi mpishane na misafaraKuhusu uswahilini no comment, lakini kuhusu barabara ile ufinyu wake ni changamoto hasa kama siku hiyo kuna namba 1 au 2 mmoja anaenda bungeni. Usumbufu wake kwa watumiaji wa barabara ni mkubwa sana.