Nani alikuwa mkali wa kuimba hapa?

Nani alikuwa mkali wa kuimba hapa?

Celine Dion trying to compete with the queen Aretha Franklin😊

images (1).jpeg
 
Aretha Franklin Queen of soul, hakuna wa kumgusa

Ukija kwenye league ya hawa wengine ni Whitney Houston, hata Mariah Carey na Celine deon wote walishawahi kukiri kuwa miss Houston aliwa_inspire kuimba
Mtu anaweza kuku inspire na ukamzidi ktk kile alicho ku inspire,
 
Mtu anaweza kuku inspire na ukamzidi ktk kile alicho ku inspire,

Kwenye hii league, ni mariah Carey Tu ana kipaji zaidi maana ni song writer and producer, kitu ambacho whitney Houston na celine hawana sana maana walikuwa wanaandikiwa nyimbo zao

Ukiingia kwenye mauzo yao per singles na album plus Tuzo, hakuna anaemgusa whitney maana ndiye "the most awarded female artist of all time"

Ukija kwenye sauti wote ni wakali ndio maana wanaitwa "The vocal trinity" Ila whitney ndio huwa anaitwa THE VOICE, Kaangalie live peformance zake ulinganishe na hawa wengine utaelewa coca
 
Whitney Houston anajua sana kuliko hao. Labda Mariah Carey kwa sauti ya kulemba kama kwenye Touch my body. Mtafute Whitney kwenye Where broken hearts go ujue mashairi yake ya kipekee
 
Kuna Kaka yangu alikuwa anapenda kumuita malaya Carey
Huyo mama ni kinanda
 
Kwangu naondoka na Mariah Carey.
One sweet day.
Open arms.
Always my baby.
Can't live without you m
I will be there for u.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Aretha Franklin Queen of soul, hakuna wa kumgusa

Ukija kwenye league ya hawa wengine ni Whitney Houston, hata Mariah Carey na Celine deon wote walishawahi kukiri kuwa miss Houston aliwa_inspire kuimba
Weka na diana rose hawa ni malegend
 
Kwenye hii league, ni mariah Carey Tu ana kipaji zaidi maana ni song writer and producer, kitu ambacho whitney Houston na celine hawana sana maana walikuwa wanaandikiwa nyimbo zao

Ukiingia kwenye mauzo yao per singles na album plus Tuzo, hakuna anaemgusa whitney maana ndiye "the most awarded female artist of all time"

Ukija kwenye sauti wote ni wakali ndio maana wanaitwa "The vocal trinity" Ila whitney ndio huwa anaitwa THE VOICE, Kaangalie live peformance zake ulinganishe na hawa wengine utaelewa coca
Hao wote nilikua nawafuatilia wiitty na Mariah hawajanishawishi,
Nasimama na Celine. [emoji4][emoji4][emoji8][emoji8]
 
Celin dion ni level ya waimbaji ambao wabaelea again Haiwi busara kumpambanisha na yeyote ila Diana Rose kuna Wimbo na west life when you tell me that you love me alitetema kama Mayele yani shida tupu
 
Back
Top Bottom