Nani alimtoa bikra mke wako?

Nani alimtoa bikra mke wako?

Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
ubongokid unashida gani, walio watoa wake zao walibahatika na waliokuta wake zao wametolewa ukiwaambia wafuatilie zaidi sana utamuumiza mke maana hata kuwa na aman atajiona kama vile yeye anaonekana ni malaya hakujitunza na kusubiri atakaye muoa ndiye atakayetoa bikira. Niseme tu kwamba hili sio swali la kuuliza mkiwa mmeshaanza maisha angalienni mnakokwenda na ikitokea anatenda nje utamuuliza akwambie aliyekuwa naye ni nani atasema.
 
Kama wewe ndio ulimtoa mkeo bikra basi ujue hujui lolote katika nyanja hizo! U know nothing..
 
Ninachofahamu mimi ndie wa kwanza kumzalisha na serikali imethibitisha pia kuanzia Clinic mpaka NIDA...

Hayo mengine ni upuuzi usio na kithibitisho.
Mzee povu la nini?, si useme tu kuwa wakwako wamekutolea mashababi wezako!!, unachachaawa, mara Ohh, Serikali, mara NIDA, hayo madubwana unayoyaita Serikali na NIDA yanakujaje hapa!!!?
 
Nikienda hotelini sina utamaduni wa kumuuliza meneja wa hotelini kuwa hii sahani ninayoitumia ni Nani aliyekuwa wa Kwanza kuitumia
Endeleeni kujipa moyo.. Mwisho wa siku mnafanywa wajinga,,,

kuoa MWANAUME asiye bikira ni sawa na KUISHI NA MPENZI WA MTU....

zamani Ilikuwa ni aibu KUOLEWA kukutwa bila bikira,,
Kwa zamani msichana ukimtoa bikira kuoa ni lazima,, lakini leo tunaona ni sawa kuoa mwanamke ambaye si bikira,,,
Ndy maana wasichana wanashindwa KUJUWA THAMANI YA BIKIRA,,,

Kama ingekuwa ukikuta msichana sio bikira unaweza kumhoji ilikuwaje? Si dhani Kama kungekuwa na utitiri wa BIKIRA LESS MITAANI..
 
Endeleeni kujipa moyo.. Mwisho wa siku mnafanywa wajinga,,, kuoa MWANAUME asiye bikira ni sawa na KUISHI NA MPENZI WA MTU.... zamani Ilikuwa ni aibu UNAOLEWA kukutwa bila bikira,, na msichana ukimtoa bikira kuoa ni lazima,, lakini leo tunaona ni sawa kuoa mwanamke ambaye si bikira,,, na Ndy wasichana wanashindwa KUJUWA THAMANI YA BIKIRA,,, Kama ingekuwa ukimkuta msichana sio bikira unaweza kumhoji ilikuwaje? Si dhani Kama kungekuwa na utitiri wa BIKIRA LESS MITAANI..
none sense
 
Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?

Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?

Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.

Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.

Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.

Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje


Mjadala uko wazi.
Ubongo mbona sitegemei kukuta huku kwenye rubbish! Please avoid such posts, wewe ni only a few selected ones on JF. Wacha wengine wapost hizi mambo siyo wewe. You always post sensible issues , well constructed, reasoned and placed and to crown it all in eloquent English! ubongokid
 
Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?

Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?

Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.

Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.

Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.

Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje


Mjadala uko wazi.


Kwani wewe Mwanamke gani alikutoa Bikira?
 
Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?

Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?

Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.

Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.

Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.

Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje


Mjadala uko wazi.
hiyo haina maana yoyote
 
Habari zenu;
Kama hujawahi juiliza basi jiulize Je nani alimtoa mke wako bikra?Kama ni wewe je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?

Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?

Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.

Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.

Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.

Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje


Mjadala uko wazi.
Mkuu hakuna haja ya kufukua Makaburi...!

Kubali tu kuwa yaliyomo yamo..
 
Back
Top Bottom