SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,876
Ilikuwa ni ushamba wa hali ya juu usome form 1 hadi 4 halafu kusiwe na disco.
Ukikaa kidogo utasikia Azania wamealikwa Zanaki.
Je nani kaondoa madisco mashuleni.
Ukikaa kidogo utasikia Azania wamealikwa Zanaki.
Je nani kaondoa madisco mashuleni.