Nani alishatokewa na hii situation?

Una lolote ulitaka mzigo iv demu angesem natak nikuone ungesem ume move on acha zko bna
 
Watoto wa chuo bwana mnashida sana. Hebu someni mpate JPEI nzuri muajirike kwa urahisi.
 
Acha kulialia mkuu,eti kuombana msamaha,Pathetic!....Move on,vuta chombo kingine.
 
Unaanzaje kuomba msamaha kwa malaya, muombe Mungu akusamehe siyo hiyo nguchiro, demu anakucheat bado tena unaenda kumuomba msamaha, ndo maana ulichezea block aliona unataka kuanza kujibebisha tu, be a man sikunyingine.
 
Mna umri gani kwani mkuu? Samahani lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…