Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chemistry umeitoa wapi, nani alikudanganya kuwa sumu zote ni acid. Nani alikudanganya maziwa ni base?Ngoja kwanza!
Acid + Base > Maji + chumvi
Sumu ni (Acid) + Maziwa ni (base) > baada ya kunywa maziwa molecule za ACID huvunjwa na kugeuka Maji na jasho unazikojoa kama mkojo au kuharisha!
Maziwa yanayozungumziwa hapo ni Yale ORIGINAL AMBAYO HAYAJACHANGANYWA NA MAJI
wanashauri ng'ombe wa kenyeji au mama anayenyonyesha
Note! siyo kwa kila sumu utapona, huwa Inategemea na aina ya sumu zingine hutoboi hata nusu SAA unakata
Kwani ukiomwa na kichwa unapasuliwaga kichwa na kuwekewa kidonge si unameza tumbuni au....Tumbo ndio main area ya INPUT kwenye mwili asilimia 90 ya mahitaji ya mwili INPUT yake ni kupitia tumbo ndio hupelekwa panapohusikaMaziwa yanaenda tumboni na hayo sijui mavumbi yanaenda kwwnye mapafu sasa ni wapi na wapi? Lakini bado maziwa ni muhimu kiafya.
Ngoja kwanza!
Acid + Base > Maji + chumvi
Sumu ni (Acid) + Maziwa ni (base) > baada ya kunywa maziwa molecule za ACID huvunjwa na kugeuka Maji na jasho unazikojoa kama mkojo au kuharisha!
Maziwa yanayozungumziwa hapo ni Yale ORIGINAL AMBAYO HAYAJACHANGANYWA NA MAJI
wanashauri ng'ombe wa kenyeji au mama anayenyonyesha
Note! siyo kwa kila sumu utapona, huwa Inategemea na aina ya sumu zingine hutoboi hata nusu SAA unakata
Kweli. Ukilipachika linafanya adsorption ya sumu. Na tumbuni activated charcoal inafanya hivyohivyo.Hata jiwe la nyoka ni activated carbon
Basi basi mkuuu🤣🤣Kwani ukiomwa na kichwa unapasuliwaga kichwa na kuwekewa kidonge si unameza tumbuni au....Tumbo ndio main area ya INPUT kwenye mwili asilimia 90 ya mahitaji ya mwili INPUT yake ni kupitia tumbo ndio hupelekwa panapohusika
Nilijuaga mkaa unatibu vidonda vya tumbo tu maana nilipewa huo unga unachanganya na maziwa then unakunywa inasaidia sanaHuu uongo umekuwepo miaka mingi sana. Ukweli ni kuwa maziwa hayana nguvu yoyote ya kutibu sumu. Mtu anayekunywa maji na anayekunywa maziwa baada ya kunywa sumu wote wapo sawa. unakuta mtu anafanya kazi kiwandani, mgodini au sehemu yenye vumbi, jioni anapiga maziwa kwamba anazuia sumu. Na wenye viwanda nao wanatoa maziwa eti kuua sumu! Tiba sahihi ya kuaminika ya haraka kwa mtu aliyekunywa sumu ni unga fulani maalumu wa makaa(Activated charcoal) huu ni mkaa ambao umechomwa kwenye hewa. Huu mtu aliyenyweshwa sumu akibugia unaenda kuibana sumu na kuifanya isiingie kwenye damu. Huu hutengenezwa kwa hata kwa vifuu vya nazi. Kama unafanya kazi sehemu yenye vumbi kali au hewa yenye sumu ni vema ukatumia barakoa, maziwa hayatakusaidia kitu
Mkaa huo huwa namna hii.
![]()
![]()
![]()
Kwa sababu post ya kwanza kasema natangaza biashara wote mmeunga tela kama kondoo. Na hii ni JF ambayo kunatakiwa kuwe na Great Thinkers!!!Unapigia dawa promo yako.wazungu wenyewe wanatumia kusaidia mtu aliyekunywa sumu.
Ndo nyie mnaoichambua teknolojia utazani mlitunga wote
Na wewe umefuata mkumbo kikondoo!?Usiwachafue wengine ili wewe ufanikiwe
Fanikiwa kwa ubora na uwezo ulionao
Kila la heri
Alkaline >base
Na wewe umefuata mkumbo kikondoo!?
Inapunguzaje Mkuu wangu?Kumbe unatangaza biashara.....
Me nataka mkaa kwakuwa nishawah kuutumia kwenye kupunguza mwili na kweli ulifanya kazii..
Sasa kuna vikilo nimeongeza nataka mkaa nivipunguze fasta
Ukikaa na kufikiria mambo wanayoamini wabongo sometimes unakaa na kusikitika. Sema nimegundua huwezi badili ujinga uliojikita mizizi namna hii, njia ni kuangalia namna ya kufaidika kutokana nao. Wauzie sumu ya panya, waambie ni nyongo ya mamba unatoa Congo. Panya akila hachomoki. Kesho utasikia ile sumu ya nyongo ya mamba uliyoniuzia ni kiboka.Ni kama ile hadithi kuwa nyogo ya mamba ni sumu kumbe uongo mtupu
Kwa niaba yake turudishe darasani.Mungu ukusaidie kwenye biashara yako .
Ila maziwa ni suluhu tosha ya sumu bisha nikurudishe darasani kwa muda
Sina muda ila ningekufahamisha uzuri