Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #41
Ukosoaji wa kutoa hoja kimalienge ni uchawa...Mtu yoyote makini hawezi kuwa chawa!, huyo jamaa sio chawa na hajawahi kuwa chawa!, jamaa ni very objective, kwenye mazuri anapongeza na kwenye mabaya anakosoa!, chawa kamwe hawezi kukosoa!.
P
CCM siyo chama cha kijamaa wala siyo chama cha wakulima!!Ndugu Allen sipo kwenye koma na sijawai kuwa huko, Mungu epusha mbali, nipo vizuri, " Upigaji upo na upo kweli kweli" lkn sio Manifesto ya Chama, huo ni ugonjwa unaohitaji tiba, Japo zama zimebadilika kiuchumi na kisiasa, lkn bado fikra za kijamaa na Ukulima zinaishi miongoni mwa Watanzania.
Nani ndani ya CCM hajawahi kutumia cheo chake kwa manufaa yake binafsi??
Nani ndani ya CCM anaona kutumia ghiliba,dhuluma, wizi au rushwa kupata ushindi kwenye chaguzi ni jambo baya??
Nani ndani ya CCM anayesikitika fedha za Umma zinavyokwapuliwa na wajanja wachache waliomo ndani ya Chama hicho??
Ni mwana CCM gani anayesikitika fedha za Umma kuingizwa kwenye miradi isiyo na kichwa Wala Miguu??
Nani aliye msafi ndani ya CCM???
Jerry SlaaCCM wote ni ukoo wa panya. Hakuna mwenye nafuu hata mmoja.
Jerry SlaaJe, Utampata wapi Malaika kwenye Ngome ya Mashetani?
Jerry SlaaHajazaliwa na sidhani kama atazaliwa ndani ya chama hiki aliye msafi!
Unamjua huyo jamaa alivyokuwa Meya wa Ilala alikuwaje??Hivi mnamjua Jerry Slaa au! Mtu kakataa 300M.
Mkuu wewe ni mtu mwenye imani ya kipekee. Nimejiuliza kama unaishi Tanzania.Ndugu Allen unyangau na ulafi wa Mali za umma ni hulka ya mtu, inawezekana wahuni wanatumia nembo ya CCM kama kichaka cha kuficha maovu yao binafsi, Sidhani kama miiko, na miongozo ya CCM inahalalisha "Ufisadi na Uzandiki".
CCM ni ya Wajamaa na Wakulima, endapo wapo wahuni ndani ya Chama ni Jukumu la Chama kuwatambua na kuwaengua, Sio wote wanaojitambulisha kama Wana CCM ni CCM kweli wengineo ni vibaka wasio hata na kadi ya Chama wenye Nia ovu na rasilimali za umma, Suala la Makonda si agenda tena kisiasa, pengine sijui kwanini unataka iwe ni agenda.
Yaani inawazisha sana.Serikali ya CCM inakuwaje innocent?
Huyo naye ni ukoo wa panya tu mkuuJerry Slaa
Ndani ya CCM kumejaa chawa kila kona. Wanachotofautiana ni aina tu...kuna chawa wa kwenye nguo na chawa wa kwenye nywele ambao ni weupe na weusi, mtawalia. Na madhara yao kwa binadamu ni mamoja.CCM watu safi, wamo wa kumwaga!. Mimi namfahamu jamaa mmoja aligombea Kawe, hakutoa hata senti moja kwa yeyote na matokeo yake alipata kura 1!.
Hivyo wasafi wa type hiyo CCM wapo wengi tuu.
P
Hiyo inaitwa playing safe, mfano mzuri ni Maza alipohojiwa na Kikeke kuhusu kugombea 2025, alisema tuzungumzie ya sasa, ya 2025 nani anajua?. Gazeti la Uhuru likaandika hagombei, Mhariri akatimuliwa!, kisha akasema 2025, tutakwenda na mwanamke, by implication ni yeye!, who would dare kumwambia 2025 itoshe?, lazima uende taratibu, kwanza show her support Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! kisha a dare devil unamgonga na kitu kizito utosini kama HII sauti!, message sent.Ukosoaji wa kutoa hoja kimalienge ni uchawa...
Unataka kusema fulani hafai unaanza kusema ajitathimini...
Japo ni kweli CCM kumejaa chawa, sio wana CCM wote ni chawa!. Je, mtu kujiunga CCM ni ujinga? Je, wana CCM ni wajinga? Je, watanzania wanaoichagua CCM, kila uchao ni wajinga? Its not fairNdani ya CCM kumejaa chawa kila kona. Wanachotofautiana ni aina tu...
Dheluji. Ndiyo nini??CCM ni safi kama dheluji ndugu
theluji dogoDheluji. Ndiyo nini??
Theluji dogo ama sahihi ulitakiwa uandike theluji ndogo!!??theluji dogo