GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Acheni ajikubali bwana yy kwanza kabla hatujamkubali hahahaha
Akhuuuu mie nmechukulia msemo tuNi ' Mbaioloji ' wako nini Dada yangu?
Akhuuuu mie nmechukulia msemo tu
Jikubali ww kabla ya mwingine
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Sawa Dada yangu Mimi nilidhani labda ' anakubaioloji ' ndiyo maana ukaamua ' Kufyatuka ' kutoka huko ' mafichoni ' kuja kumsemea, kumtetea na kumfagilia.
Labda kama anachoimba sio R&B but kama ndio sioni mwingine
Namjua Rama-dee lkn ben bado ni zaidi.
Kwani TZ kuna anayeimba R&b kweli?? Mi naona marumba tu....na ladha za kibongo fleva...kidogooooo kwa mbali belle9...but hakuna anayeimba rnbKila nikimsikia akifanya ' mahojiano ' yake ya Media mbalimbali hapa Madafuni / Tanzania utamsikia Msanii Ben Paul akitamba / akijifaragua / akijishebedua / akijimandingondingo kuwa Yeye ni Mfalme ( King ) of R&B kwa nchi ya Tanzania.
Naomba kwa yoyote aliye jirani nae sasa hivi anisaidie kuniulizia kwamba ni wapi na nani alimpa huo Ufalme wa R&B anaousema. Namalizia tu kwa kutoa Rai kwenu Wasanii kwamba acheni Sisi Wasikilizaji wenu ndiyo tuwasifuni na tuwatunuku na siyo mjisifu na kujitunuku wenyewe.
Nawasilisha.
Nimesema labda anachoimba sio R&B lkn kama ndio anastahiliUmeanza Kujua, Kuulewa na Kuufuatilia mziki lini Mkuu? Mtu yoyote anayesema Ben Paul ni Mfalme wa R&B nadhani anatakiwa awahishwe upesi sana Wodini pale Mirembe Hospital Mkoani Dodoma kwa matibabu ya haraka.
Kweli mkuu Rama Dee anaweza...Mi naikuikubali nyimbo yake ya "SIWAOAJI HAO''.Hajafikia hata kwa Rama Dee.