GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kila nikimsikia akifanya ' mahojiano ' yake ya Media mbalimbali hapa Madafuni / Tanzania utamsikia Msanii Ben Paul akitamba / akijifaragua / akijishebedua / akijimandingondingo kuwa Yeye ni Mfalme ( King ) of R&B kwa nchi ya Tanzania.
Naomba kwa yoyote aliye jirani nae sasa hivi anisaidie kuniulizia kwamba ni wapi na nani alimpa huo Ufalme wa R&B anaousema. Namalizia tu kwa kutoa Rai kwenu Wasanii kwamba acheni Sisi Wasikilizaji wenu ndiyo tuwasifuni na tuwatunuku na siyo mjisifu na kujitunuku wenyewe.
Nawasilisha.
Naomba kwa yoyote aliye jirani nae sasa hivi anisaidie kuniulizia kwamba ni wapi na nani alimpa huo Ufalme wa R&B anaousema. Namalizia tu kwa kutoa Rai kwenu Wasanii kwamba acheni Sisi Wasikilizaji wenu ndiyo tuwasifuni na tuwatunuku na siyo mjisifu na kujitunuku wenyewe.
Nawasilisha.