Nani aliyemdanganya Msanii Ben Pol kuwa Yeye ni King of R&B kwa Tanzania?

Nani aliyemdanganya Msanii Ben Pol kuwa Yeye ni King of R&B kwa Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila nikimsikia akifanya ' mahojiano ' yake ya Media mbalimbali hapa Madafuni / Tanzania utamsikia Msanii Ben Paul akitamba / akijifaragua / akijishebedua / akijimandingondingo kuwa Yeye ni Mfalme ( King ) of R&B kwa nchi ya Tanzania.

Naomba kwa yoyote aliye jirani nae sasa hivi anisaidie kuniulizia kwamba ni wapi na nani alimpa huo Ufalme wa R&B anaousema. Namalizia tu kwa kutoa Rai kwenu Wasanii kwamba acheni Sisi Wasikilizaji wenu ndiyo tuwasifuni na tuwatunuku na siyo mjisifu na kujitunuku wenyewe.

Nawasilisha.
 
Sawa Dada yangu Mimi nilidhani labda ' anakubaioloji ' ndiyo maana ukaamua ' Kufyatuka ' kutoka huko ' mafichoni ' kuja kumsemea, kumtetea na kumfagilia.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Labda kama anachoimba sio R&B but kama ndio sioni mwingine
Namjua Rama-dee lkn ben bado ni zaidi.

Umeanza Kujua, Kuulewa na Kuufuatilia mziki lini Mkuu? Mtu yoyote anayesema Ben Paul ni Mfalme wa R&B nadhani anatakiwa awahishwe upesi sana Wodini pale Mirembe Hospital Mkoani Dodoma kwa matibabu ya haraka.
 
Kila nikimsikia akifanya ' mahojiano ' yake ya Media mbalimbali hapa Madafuni / Tanzania utamsikia Msanii Ben Paul akitamba / akijifaragua / akijishebedua / akijimandingondingo kuwa Yeye ni Mfalme ( King ) of R&B kwa nchi ya Tanzania.

Naomba kwa yoyote aliye jirani nae sasa hivi anisaidie kuniulizia kwamba ni wapi na nani alimpa huo Ufalme wa R&B anaousema. Namalizia tu kwa kutoa Rai kwenu Wasanii kwamba acheni Sisi Wasikilizaji wenu ndiyo tuwasifuni na tuwatunuku na siyo mjisifu na kujitunuku wenyewe.

Nawasilisha.
Kwani TZ kuna anayeimba R&b kweli?? Mi naona marumba tu....na ladha za kibongo fleva...kidogooooo kwa mbali belle9...but hakuna anayeimba rnb
 
Umeanza Kujua, Kuulewa na Kuufuatilia mziki lini Mkuu? Mtu yoyote anayesema Ben Paul ni Mfalme wa R&B nadhani anatakiwa awahishwe upesi sana Wodini pale Mirembe Hospital Mkoani Dodoma kwa matibabu ya haraka.
Nimesema labda anachoimba sio R&B lkn kama ndio anastahili
Labda ukimtaja mwingine aliyewika huko enzi za nyuma ambae sisi kizazi cha magu tulikuwa bado hatujui mziki.
 
Back
Top Bottom