Eti nianze kumkimbilia kakobe ana miujiza,wakati kakobe wakati anauza kanda za mziki kko nlikuwa namuona,hyo miujiza aitoe wapivichwaa vyao vinakuwa vimejazwa ujinga hata akili ya kufikiria wanakosa🚮
Sio Kuuliwa kabisa?Tena hao waamini wake walitakiwa wapigwe bakora
Ova
Sawasawa
Huyu ndio alimuombea Masha?Kakimbia nchi acha Kunibishia GENTAMYCINE sawa? Narudia tena kukuambia kuwa Kiboko ya Wachawi hayupo Nchini.
NakaziaMimi baharia rtd,nmezunguka nchi nyingi nasema tena tz ina wpm#bv wengi
Ova
Hela za kuchezea tunazo halafu kutwa tunalalamika maisha magumu, hovyo kabisa.Watanzania ni wapumbavu sana acha wapigwe
Hapo VATCAN,aliwaingiza kwenye mgogoro mkubwa Mama mmiliki na wanawe.Eti nianze kumkimbilia kakobe ana miujiza,wakati kakobe wakati anauza kanda za mziki kko nlikuwa namuona,hyo miujiza aitoe wapi
Kaja mwamposa anafungua kanisa kinondoni alikuwa na wajanja fulani wakatengana akahamia sinza akiwa solo artist naye tunamuona eti ana miujiza
😄
Nchi imejaa wjngaaa wjngaa
Ova
Huna Akili kuna Uzi wangu hapa JamiiForums na hata Moderator waliuweka kama Taarifa rejea katika Uzi wa Member mwingine ambapo ndiyo nilikuwa wa Kwanza katika kutoa ANGALIZO juu ya huyu Juha Kiboko ya Wachawi. Utafute ili uone kuwa GENTAMYCINE ni HABARI nyingine ni ZAWADI yenu ya Kitaarifa na Maono hapa JamiiForums.GENTAMYCINE wewe si unajifanyaga unajua kila kitu? Kwanini hukutoa taarifa mapema za viashiria vya huyu mtu kutoweka ili ashughulikiwe mapema na akina britanicca ?
Sasa una Serikali au una Mfano tu wa Serikali?Swali langu...!! Serikali ipo wapi kwenye haya makitu??
Naunga mkono hoja .Tena angekuwa anawatoboa na washeri zao wake kwa waume.Watanzania ni wapumbavu sana acha wapigwe
Wajinga waliwao....siku zote kondoo anakuwa hana akili kamilifu na ndio maana mimi mtu akiniita kondoo namzabua vibao kisawasawa tu.Taarifa za uhakika ni kwamba Kakimbia nchini baada ya kuambiwa kuwa angeweza Kukamatwa hasa baada ya baadhi ya Waumini waliokuwa Wakisali pale Kwake kulalamika kuwa Wametapeliwa nae sana huku Wengine wakitaka Kumshtaki kwa kusababisha Ndoa zao Kuvunjika na Familia zao kuwa katika Uadui na Chuki kubwa kutokana na Mahubiri yake ya Chuki na Fitina.
Na GENTAMYCINE nauliza kwanini System ya nchi haraka sana haikuamua Kumchunga ili asikimbie kama alivyofanya?
Kamilisha sentensi yako.. 'Acha wapigwe tu, maana hakuna namna'...Watanzania ni wapumbavu sana acha wapigwe
Na wenye Nyota ya Kondoo ( nikiwemo Mimi na Hayati Baba wa Taifa Nyerere ) hapa unataka kutuambia nini labda?Wajinga waliwao....siku zote kondoo anakuwa hana akili kamilifu na ndio maana mimi mtu akiniita kondoo namzabua vibao kisawasawa tu.
Acha kuendekeza ujinga hakuna nyota wala nini.Na wenye Nyota ya Kondoo ( nikiwemo Mimi na Hayati Baba wa Taifa Nyerere ) hapa unataka kutuambia nini labda?