Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eiyer huku nikutafuta umaarufu wa chee unavyokoments as if umefanya strong research umetafsiri hii story hadi nukta najua nachoongea hii sio mpya man
Eiyer kama unapenda umaarufu wa chee lata na hii UTATA WA TAREHE 11NOV utapata habari nyingi tu nenda kakusanye secondary data njoo tililika watu huwa hawasomi itawapata tu na utaonekana great thinker
njoo na CD mpya hii ime exp man si wote wajinga hivo Eiyer
Eiyer huku nikutafuta umaarufu wa chee unavyokoments as if umefanya strong research umetafsiri hii story hadi nukta najua nachoongea hii sio mpya man
Stata Mzuka nakubaliana na wewe lakini jamaa angeeleza kua hii ni nukuu kuliko yeye amekazana et kafanya tafiti yeye wakati najua hakufanya hiyo tafiti nandio kanuni ya nukuu taja wote ulinukuukuCopy nako ni njia ya
kufikisha ujumbe kwani sio wote tulioiona hiyo nakala, hata we ungefanya
msaada mkubwa km ungeCopy na kutuletea. Maudhui ni kujibu
yaliyomo
Huenda Eiyer mwenyewe ndio mwandishi wa hiyo makala ya gazetini.hii ni copy and past toka gazet rai no 686 la feb 2007 alhamis mwandish
WILLIAM SHAO heading WANAOTAKA KUONA YALIOFICHIKA zaid soma hum the
secret behind science milacle,na how to secceed Eiyer njoo ubishe hujaumiza kichwa.....
Badala ya baba ake Bush kufariki miaka ya 80 na 90, ndipo mwanae Bush (mtoto) akatoa sadaka ya malipizi pale WTC septemba 11 2011!!
Stata Mzuka nakubaliana na wewe lakini jamaa angeeleza kua hii ni nukuu kuliko yeye amekazana et kafanya tafiti yeye wakati najua hakufanya hiyo tafiti nandio kanuni ya nukuu taja wote ulinukuu
Mkuu Eiyer kwanza Kabisa nikupongeze kwa habari yako nzuri Na yenye changamoto nyingi Na yenye kuitaji kufikiria Kwa kina sn Na Kua Na ushahidi Wa kutosha!
Taifa la Marekani limepitia mambo mengi sn mpk kufikia hapo lilipo! Na kiasi Fulani hao marais wote wawili vifo vyao vilikua Ni Vya kupanga! Na waliohusika Ni System yenyewe KTK kutekereza Hayo mauaji! NA Ndio Maana wale walioua hao marais na wao waliuawa ili kufuta ushahidi Kabisa!
Ngoja niongeze kidogo Kwa kusoma vyanzo mbalimbali Vya hao marais then Nitakuja Na mchango mwingine kidogo! Lkn Kwa sasa hivyo Ndio navyoweza Kusema!
Eiyer kubali kwanza copy &pest kama kweli ungefanya tafiti ushiriki wako usinge kua hafifu hivi ungekua na mchango mkubwa kutokana changamoto ulizopiti wakati wa tafiti.Misingi ya taifa la Marekani
inafahamika na jamii ya watu wanaoiendesha hii Dunia. ILLIMINATI at
work.