Ndiyo!! wana tabia za Baba yao, Mungu wa uzima, huyu ana wivu! wa wazi, Biblia takatifu imedhibitisha kwa kauli yake mwenyewe Bwana mkubwa yule Mungu alitamka,
kutoka 20-4-5...... ''I the Lord your God, am a jealous God,.....
Sasa wivu wa kikurya ni wa ki-uungu zaidi! kuliko kibinadamu zaidi, Ndo maana walikuwa tayari wafe wote waishe ili mradi Africa yote (Wana Israel) Wawe huru bila masharti!
lkn kabila km lako, hasa mlio tokea Misri, mliona, sisi wakurya tunawaonea wazungu wivu! kambona akiwa mmojawapo! mpaka leo mko ivo, sisi Baba lenu si wachoyo tuliona kwamba tuwape maisha, Uhuru Bure, ili muishi lkn leo mnatuona choo! mkoje nyie? tabia hii ni
Ya Shetani!! make aliwahi ishi Mbinguni na Mungu lkn kamnyea Mungu!! sasa mchango wetu Mara ni Bara Africa zima linatuheshimu, Museven huyo hapo Myahudi mwenzetu anapeleka posho kwa Mama Maria kila mwezi! anakanyaga Mara kwa adabu!
Hata yuleee M-misri katili! yule Idd Amin alipotesa Wayahudi weusi original / waganda! ni wakurya pekee walijitolea kufa kupona kumpiga nyoka id amin atoke, kwa hali na mali kuliko kabila lolote Tanzania hii! ili waganda wawe huru! na kweli walikombolewa,
Idd Amini akakimbila ardhi ileile ya Mababu zake na akazikwa huko mpaka leo! sasa leo wale wale waoga waliokimbia ile vita ambao hawana mchango wowote wa ukombozi wa Bara la AFRICA ndo wa kwanza kuwakodolea macho wakombozi halali? ajabu sana!
Wana Mara waliona ndugu zao wa tz, wapate kwanza!! roho nzuri iliyoje hiyo?? badala ya kuwashukuru, mnawapiga Madongo jamani hee!! ni nini km siyo roho ya Baba yenu shetani?
Angalia baba yenu Jiwe M-misri! alikuwa mchoyo sana huyo jamaa, kajenga kwao tu, Mungu wa Israel/ wakurya akasema hapana siyo! yuko wapi leo unamsikia??
sasa wewe nakuonya kwa jina la Bwana ''acha kiburi tubu'' mara moja uombe samahani, kwa dhambi hii ulofanya hapa! ya kuwaita wakombozi wa Africa eti wana wivu!, Bara la Africa limejaa Damu ya Wana Mara/wakurya zaidi, kuliko unavodhania!
sema mwenyewe wapi! wapi hakuna damu ya wajeda wakurya! na huko walizaa na wayahudi wa huko ziko damu comoro, seychellis, USA, Morocco, nk. Usitanie wakombozi wa Africa wewe! utakufa km Chiruba!
Si unaona yaliyo mpata huyo chiruba, alivo mchezea mwana wa africa Kaunda! akajinyea bila kuguswa, lkn Kaunda alitunzwa kwa heshima kubwa sana! hii ni sawa na kutaja taja hovyo Mkoa wa Mara ! hapa unaigusa Africa kijana,uliza popote!
wajanja kote Duniani wanatamani damu ya kiyahudi ya wana Mara wewe unaponda? una akili kweli au umerogwa na huyo mkeo! hizi ni akili zakula sana limbwata hizi! nakulezea utaja nambia haya weee!
Yaani chiruba alikufa ghafla tena bila heshima stahili, hata uzao wake ni bure tu! ni km haupo, unamjua nani ktk watoto wake? huwezi linganisha na Major Wezi Kaunda! au Makongoro Nyerere! Madaraka, Mwinyi mdogo, Rose,Ridhiwani, Miraji weee! tuliza kinyeo dogo uulizege wakubwa zako kwanza.....