Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Jamaa huwa hawana ubinafsi na choyo.ndio maana hawakuipendelea mikoa yao.lkn la pili hawana maarifa ya kimaendeleo hataka wanakuwa na pesa huishia kujenga nyumba basi.utakuta mkurya nyumba nzuri lkn mpangilio ndani ya nyumba unakuwa mbaya au sebule haina muonekano mzuri.ila ni watu poa sana
Safi Sana.
Natamani Ningekuona Nkupe Mkono umenena Vema Sana.
 
Wasiojali ni wananchi au wanaCCM. Lengo la CCM kugawa jimbo la uchaguzi kuwa mawili halikutimia, ilikuwa hesabu ya kipumbavu kwelikweli. Sasa utalawalazimisha wanyabhasi wakakae Nyamwaga au Itiryo? mbona Nyamongo kuna mchanganyiko wote na hawapigani? Mbona sisi wengine tumeoa kwa watimbaru bila shida yoyote? kujadili ukanda, ukabila na koo ni utoto, mwisho tutaanza kujadili familia huku wanasiasa wakiendelea kututumia. Tujadili mambo ya msingi ya kitaifa bila kuingiza utoto na uvyama vinginevyo tutabaki kushabikia tu.
Sasa ujiulize kwanini Nyamwaga hakuna mchanganyiko wa koo nyingine kama ilivyo Tarime, Sirari na Nyamongo, nyie wairege mna wivu na husuda sana, hampendi kuona mwenzenu anapata, tembea Nyamwaga nzima kama utapata mtimbaru, mkira, mnyamongo anafanyia biashara pale, wakati wote mnajiona bora kuliko wengine.
 
Unazungumzia wahaya wakurya hawapo hivyo.
weeeee!! Koma kabisa wale wanapendana hatareee!!! Angalia hata shuleni tu! Mpaka ofisini za sirikali wanabonga kikwao tu!!

Wao ni muhay kwanza wengine hkn kitu...
 
Mkuu wanafahamu sana wakurya wana wivu uliopitiliza pia majungu
usichanganye mkurya na mjita.

Wale wakurya bwana ukimwekea kauzibe panga lina kuhusu mchana kweupeeee!!

Ajabu sasa Hakimbii anajaa hapo mpaka ufe!!! Ni ama zako ama zake!!! Ndo ilivyo!!hkn mchawi kule ..wezi wote wanatorokea ujitani hukooo!

Na atasikilizwa na kueleweka kwa majirani.
 
Waliofanya Mara iwe ilivyo leo ni wale waliopewa Vyeo na Mwalimu ili wauskume Mkoa wakaishia Masaki na Osterbay...
1. Mzee Warioba alipewa PM
2. Mzee Butiku
3. Mzee Msuguri CDF
4. Mzee Ndobho
5. Mzee Abel Mwanga
6. Mzee Wasira
7. Mzee Opiyo Katibu Mkuu Kiongozi. Na wengineo Lukuki walipewa madaraka makubwa ili wausukume Mkoa wenu lkn waliwaangusha Vibaya sana. Hii dhambi inaendelea kuwatafuta na familia zao hadi leo hata Ukuu wa Wilaya na Ubunge hao akina KIPI WARIOBA hawawezi kupewa maaana baba zenu waliharibu tangu awali.
Tumikia Wananchi wa Mkoa wako na Watanzania kwa ujumla hakika Familia yako itakuja kufaidi matunda mbeleni.
 
Ushirikina nao umekuwa mwingi Sana, hata nyumba za kuishi no hovyo, unakuta mtu anaishi Dar (mfano) ananyumba nzuri Sana na maisha mazuri sana, lakini anakotokea kijijini kwao ni aibu, nyumba ya maana hakuna, anaogopa kujenga kwa kuogopa kurogwa yeye mwenyewe ama wazazi wake kisa tu eti watajidai akienda kusalimia anakaa mjini, anakwenda kila siku kusalimia kijijini. Wana-Mara tubadilike, tuache wivu wa kijinga ili Mara yetu Ibadilike.
Na wewe mroge mara kumi zaidi ili akome! tena wewe umesafiri na kuishi na wachawi wengi unajua mengi! mpige zongo la kisambaa aone kizunguzungu milele, na Mbewe hapajui, anajua hapo hapo suguti tuuuu!!

afu jikinge na kizizi cha free mansoni baba lao! jenga kwenu acha uzembe! wa kishamba huo! wachawi wenyewe wajinga wale, kuropokaropoka tu ingia kwa vita komaa!! kwani dawa zipo kila kona, wewe ndo mchawi!! acha kusingizia watu!
 
,Mhongo anatokea Majita
Acha uongo uliokubuhu wewe kijana ''Muhongo'' anatokea Mugango jineri, barabara ya kuelekea Bwai kumusoma, ukifika Mugango madukani kutokea Musoma mjini unapinda kulia! sasa je!
 
Wakaazi wa Mara kama wajita, waruli, wakwaya, wajaluo nk haya ni makabila (baadhi) yenye nafsi choyo, isiyo shirikishi, isiyo penda mwingine apate, yaani hata uchawi utalaogwa tu usifikie lengo.
.....
Nimeona baadhi ya majina ya watu waliowahi kushika mpini wakiwa ndani ya government ya JMT hao wote wapo katika moja ya tunu ya shetani nilizotaja hapo juu so hata kesho ni vigumu kukuta mtu (baadhi) kabila kutoka mara akampa mwenzake support kufikia lengo/matarajio.
Daaa!! weee! jamaaa!! midevu yooote hiyo kuumbe weye ni ''Yego Mwamba?'' Huwezi kudadavua hivi bana weee!! sasa fanyeni hivi nawapa dawa changanyeni DAMU nzuri za , kutoka, moshi, arusha! kenya si karibu tu hapo? sukuma land, uone!!
 
Mkuu wewe unapajua Mara vizuri, Mimi nimetembea mikoa mingi sana, zaidi ya 15 , na Mkoa wa Mara nimefika sehemu nyingi, kiukweli Tarime nilipapenda, tatizo lake ni usalama, maana raia wa kule kukiwasha ni dkk sifuri, ukiwa unatoka Sirari kuelekea Mwanza, kama ukitazama vizuri, kuna ukijani flani ambao ni continuation Kenya ambao hupotea kadiri unavyoiacha Tarime, ukija huku maeneo ya Musoma vijijini na mjini ndio hali ya hewa ni tofauti kabisa ni pakame.
Vile vile Tarime kama pale Sirali ni boda iliyochangamka sio kama boda nyingine, ukijumlisha na Mgodi ule wa Nyamongo, unafanya ule mji uwe mzuri kwa kukaa na utafutaji.
Mimi binafsi nilipapenda sana Tarime na ni Kati ya miji niliyoichagua kuwa na makazi yangu
Ohoo! Tarime weeee!! moza land where are you! kibumaye, kenyamanyori, kilima mbogo hotel, kiribho choma ndani never forget! kichure, nyama choma tamu ever!!
 
Hicho kijiji cha musoma mjini kimepauka kwelikweli hivi kuna watu bado wanaishi katika hicho kijiji, mji umepauka, hauna maendeleo na watu wamekalia majungu masaa 24 badala ya kufanya kazi.
 
Usimsahau NGULI WA RASILIMALI WATU Dr.Fred Mwita alikuwa ZANTEL,VODACOM,SBL sasa AGAKHAN,Mkurugenzi wa TBC Dr.Ayub Rioba na Mfanyabiashara Gachuma,La Kairo Lameck Airo bila kumsahau mwenye mabasi ya Zakaria
HAO wachache mnoo, mbona jamani Dr Marwa winani hamsemi? huyu mzee kasaidia hee!! Masegenya, Maonyesho, .......Dr. Ma-fish! aka Masamaki tajiri kubwa yule kijana, ana michango mikubwa huko AU, na UNO, kizuri zaidi...

Alijenga Bure Barabara ya lami toka umtata-Johanesburg mpaka Adis Ababa, kwa gharama zake mwenyewe! Guiness book of record anatambuliwa lkn kwetu humu!!! mmm! sijui Africa mna nini? mnajua wapiga kelele tu!

kuanzia kugaharimia vigoda vya mle ndani ya kumbi za AU, kusafirisha na kuwalaza makundi ya, viongozi, na waandishi wa habari mjini Adis Ababa! kwa vipindi vyote ya vikao! hawa wote Mara walirudi. lkn wana keep low profile!

Aliye jua mchango wa Mtanzania huyu Dr fish ni Rais Yakub Gowon, alimzawadia bonge la kiwanja Banana High Land, ndiko anapoishi na familia yake mpaka leo!
 
Kuchukiana imetokana na divide and rule policy ya Nyerere baada ya jaribio la kuanzisha Jamhuri ya Chui. Aliwagawa wakurya baada kuona ni watu hatari sana kwa utawala wake. Mojawapo ni kuwachonganisha kwa kuvuruga mipaka ya vijiji. Fanya research utajionea
Daaa!!! kweli muraa umenikumbusha mbari sana, mura ebu lete ubuyu ilikuwakuwaje mpka wale jamaa wakafikiria ivo? halafu haijaandikwa mhali popote mura ebu andika rikitabu utauza sana kuna watu wametikisa hasa........
 
Mna wivu sana!!
Ndiyo!! wana tabia za Baba yao, Mungu wa uzima, huyu ana wivu! wa wazi, Biblia takatifu imedhibitisha kwa kauli yake mwenyewe Bwana mkubwa yule Mungu alitamka,
kutoka 20-4-5...... ''I the Lord your God, am a jealous God,.....

Sasa wivu wa kikurya ni wa ki-uungu zaidi! kuliko kibinadamu zaidi, Ndo maana walikuwa tayari wafe wote waishe ili mradi Africa yote (Wana Israel) Wawe huru bila masharti!

lkn kabila km lako, hasa mlio tokea Misri, mliona, sisi wakurya tunawaonea wazungu wivu! kambona akiwa mmojawapo! mpaka leo mko ivo, sisi Baba lenu si wachoyo tuliona kwamba tuwape maisha, Uhuru Bure, ili muishi lkn leo mnatuona choo! mkoje nyie? tabia hii ni

Ya Shetani!! make aliwahi ishi Mbinguni na Mungu lkn kamnyea Mungu!! sasa mchango wetu Mara ni Bara Africa zima linatuheshimu, Museven huyo hapo Myahudi mwenzetu anapeleka posho kwa Mama Maria kila mwezi! anakanyaga Mara kwa adabu!

Hata yuleee M-misri katili! yule Idd Amin alipotesa Wayahudi weusi original / waganda! ni wakurya pekee walijitolea kufa kupona kumpiga nyoka id amin atoke, kwa hali na mali kuliko kabila lolote Tanzania hii! ili waganda wawe huru! na kweli walikombolewa,

Idd Amini akakimbila ardhi ileile ya Mababu zake na akazikwa huko mpaka leo! sasa leo wale wale waoga waliokimbia ile vita ambao hawana mchango wowote wa ukombozi wa Bara la AFRICA ndo wa kwanza kuwakodolea macho wakombozi halali? ajabu sana!

Wana Mara waliona ndugu zao wa tz, wapate kwanza!! roho nzuri iliyoje hiyo?? badala ya kuwashukuru, mnawapiga Madongo jamani hee!! ni nini km siyo roho ya Baba yenu shetani?

Angalia baba yenu Jiwe M-misri! alikuwa mchoyo sana huyo jamaa, kajenga kwao tu, Mungu wa Israel/ wakurya akasema hapana siyo! yuko wapi leo unamsikia??

sasa wewe nakuonya kwa jina la Bwana ''acha kiburi tubu'' mara moja uombe samahani, kwa dhambi hii ulofanya hapa! ya kuwaita wakombozi wa Africa eti wana wivu!, Bara la Africa limejaa Damu ya Wana Mara/wakurya zaidi, kuliko unavodhania!

sema mwenyewe wapi! wapi hakuna damu ya wajeda wakurya! na huko walizaa na wayahudi wa huko ziko damu comoro, seychellis, USA, Morocco, nk. Usitanie wakombozi wa Africa wewe! utakufa km Chiruba!

Si unaona yaliyo mpata huyo chiruba, alivo mchezea mwana wa africa Kaunda! akajinyea bila kuguswa, lkn Kaunda alitunzwa kwa heshima kubwa sana! hii ni sawa na kutaja taja hovyo Mkoa wa Mara ! hapa unaigusa Africa kijana,uliza popote!

wajanja kote Duniani wanatamani damu ya kiyahudi ya wana Mara wewe unaponda? una akili kweli au umerogwa na huyo mkeo! hizi ni akili zakula sana limbwata hizi! nakulezea utaja nambia haya weee!

Yaani chiruba alikufa ghafla tena bila heshima stahili, hata uzao wake ni bure tu! ni km haupo, unamjua nani ktk watoto wake? huwezi linganisha na Major Wezi Kaunda! au Makongoro Nyerere! Madaraka, Mwinyi mdogo, Rose,Ridhiwani, Miraji weee! tuliza kinyeo dogo uulizege wakubwa zako kwanza.....
 
Back
Top Bottom