Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mtaje nimshughulikieMchawi mbona anaonekana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaje nimshughulikieMchawi mbona anaonekana mkuu
Wakurya wana wivu na majungu sana.
Wewe haujui kitu, unasema kinesi ni musoma vijijini??Werema nilijua kwao ni Wegero/Kiagata huko msoma vijijini maana kuna mtu mmoja anaewafaham vizuri aliwahi kuniambia hivyo.
Maswi pia nilidhani kwao ni hapa maeneo ya Kinesi upande wa Musoma vijijini kabla hujavuta mto.
Hilo jimbo lilikua moja kabla hawajaligawanya na mimi nimezungumzia hilo.
Ahsante kwa taarifa.
Mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima, jimbo la Musoma vijijini sasa hivi limegawanywa, mkono amebaki jimbo la Butiama wilaya ya Butiama na Mkono yupo jimbo la Musoma vijijini.Wewe unaijua Mara vzuri? Werema na Mkono watokeee Musoma Vijijin? Rudi kaangalie vzur Wilaya za Mkoa wa Mara.
Mleta mada umesahau kuwaambia hao Jamaa zako wa Mara wanabana sana Ulaji wapewapo nafasi kubwa mwisho wa siku wanalipuliwa kirahisi mno. Mbadilike na msome tabia ya mchezo mahala pa kazi.
Msizungushe maneno mchawi wa maendeleo ya mkoa wa Mara ni Nyerere.Na wala Mara sio wazubaifu kihivyo ila ni kama alivosema mchangiaji hapo juu,watu wengi wa Mara wakifanikiwa kidogo tu wanakimbilia kuwekeza Mwanza na mkoa wao unabaki bila fursa za mzunguko wa fedha siku hadi siku. Inasikitisha sana
Kabisa mkuu, yaani hadi inatia hasira kweli, watu hadi wanaogopa kwenda kwao, wa wakienda kwao kusalimia wanaingia usiku, na siku ya kuondoka ni hivyo hivyo! Shem on us Mara people.1. Wepesi wa kuamini na kutenda mambo ya ushirikina hata kwa mambo madogo madogo.
2. Wivu wa kijinga uliopitiliza. Mfano ukimzidi tu hatua moja mbele ktkt nyanja yoyote, basi vitimbi na visa vitaanza huku wakikusindikiza na uchawi/ushirikina.
3. Majungu mengi haswa kabila la wajita ambapo kwa jambo lolote utakalofanya la kimaendeleo lazima ufitiniwe kwa uwingi wa majungu.
4. Wengi wao bado sana wako kwenye primitive life- kidogo wanaojitahidi kwa uchakalikaji ni "Wakurya".
Msizungushe maneno mchawi wa maendeleo ya mkoa wa Mara ni Nyerere.
Mkoa wa Mara watu walimuogopa Nyerere hakuna mtu aliyetayari awekeze kitu halafu wewe uje kutaifisha unamuita muhujumu uchumi.
Kuna makabila mengine mtu hata awe na pesa kiasi gani hajengi kwao na ukijenga tu wanakuroga labda ujenge nyumba tu ya kawaida ya kufikia inayofanana na zao.
Kwa hili Wachaga wameshinda ni kabila namba moja Tanzania mtu anajisikia fahari kwenda mapumziko kijijini kwake.
Wale watu ni development haters. Wao kwa wao kurogana ni nje nje. Wageni wanaofanya kazi kule wanapata shida sana ktk uwekezaji sababu ya ushirikina na majungu/fitna.Kabisa mkuu, yaani hadi inatia hasira kweli, watu hadi wanaogopa kwenda kwao, wa wakienda kwao kusalimia wanaingia usiku, na siku ya kuondoka ni hivyo hivyo! Shem on us Mara people.
Unachokisema kama kina ukweli ndani yakeeee hawa watu kuna kitu sio bure......binafsi sijawahi kufika katika huo mkoa lakini nadhani huo mkoa utakuwa ni miongoni mwa mikoa maskiniNimefanya kazi na watu wanaotokea Mara wengi wao kwa asili wana wivu sana na ni wafitini mno.