Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

MARA HAKUNA KITU.
Moja ya mkoa wenye historia lakini hakuna jambo lolote lenye kuleta hisia kutokana na historia yake.
.....
Mkoa wa Mara ni mmoja kati ya mikoa yenye makabila zaidi ya mawili ambapo katika ufuatiliaji wa kimatabaka na ushirikishanaji wa wananchi, umeonekana upo nyuma sana, kutokana na sababu kadhaa.
.....
Wakaazi wa Mara kama wajita, waruli, wakwaya, wajaluo nk haya ni makabila (baadhi) yenye nafsi choyo, isiyo shirikishi, isiyo penda mwingine apate, yaani hata uchawi utalaogwa tu usifikie lengo.
.....
Nimeona baadhi ya majina ya watu waliowahi kushika mpini wakiwa ndani ya government ya JMT hao wote wapo katika moja ya tunu ya shetani nilizotaja hapo juu so hata kesho ni vigumu kukuta mtu (baadhi) kabila kutoka mara akampa mwenzake support kufikia lengo/matarajio.
....
Mkoa wa Mara hauwezi kujengwa na watu wa mkoa huo labda wageni, kwanza vijana wengi waliotoka huko wanaogopa kurudi kufanya investment kwao wakiwa na hofu nilizotaja hapo juu.
.....
Mfano: kuna baadhi ya wakaazi (businessman/women, leaders, raia wa kawaida nk) wa jiji la Dar waliwahi kuandaa malengo kazi na maendeleo kwa mkoa wa Mara hakuna kitu kilichofikiwa mpaka kesho.
....
MAONI: Nawashauli wananchi kutoka mkoa wa Mara muombe Mungu awabadilishe na muache mambo haya, KIBURI, UJUAJI, KUSENGENYA, KUTETANA, nawaapia mkiacha hizo nk basi neema tele.
 
MARA HAKUNA KITU.
Moja ya mkoa wenye historia lakini hakuna jambo lolote lenye kuleta hisia kutokana na historia yake.
.....
Mkoa wa Mara ni mmoja kati ya mikoa yenye makabila zaidi ya mawili ambapo katika ufuatiliaji wa kimatabaka na ushirikishanaji wa wananchi, umeonekana upo nyuma sana, kutokana na sababu kadhaa.
.....
Wakaazi wa Mara kama wajita, waruli, wakwaya, wajaluo nk haya ni makabila (baadhi) yenye nafsi choyo, isiyo shirikishi, isiyo penda mwingine apate, yaani hata uchawi utalaogwa tu usifikie lengo.
.....
Nimeona baadhi ya majina ya watu waliowahi kushika mpini wakiwa ndani ya government ya JMT hao wote wapo katika moja ya tunu ya shetani nilizotaja hapo juu so hata kesho ni vigumu kukuta mtu (baadhi) kabila kutoka mara akampa mwenzake support kufikia lengo/matarajio.
....
Mkoa wa Mara hauwezi kujengwa na watu wa mkoa huo labda wageni, kwanza vijana wengi waliotoka huko wanaogopa kurudi kufanya investment kwao wakiwa na hofu nilizotaja hapo juu.
.....
Mfano: kuna baadhi ya wakaazi (businessman/women, leaders, raia wa kawaida nk) wa jiji la Dar waliwahi kuandaa malengo kazi na maendeleo kwa mkoa wa Mara hakuna kitu kilichofikiwa mpaka kesho.
....
MAONI: Nawashauli wananchi kutoka mkoa wa Mara muombe Mungu awabadilishe na muache mambo haya, KIBURI, UJUAJI, KUSENGENYA, KUTETANA, nawaapia mkiacha hizo nk basi neema tele.
Kweli kabisa mkuu!
 
MARA HAKUNA KITU.
Moja ya mkoa wenye historia lakini hakuna jambo lolote lenye kuleta hisia kutokana na historia yake.
.....
Mkoa wa Mara ni mmoja kati ya mikoa yenye makabila zaidi ya mawili ambapo katika ufuatiliaji wa kimatabaka na ushirikishanaji wa wananchi, umeonekana upo nyuma sana, kutokana na sababu kadhaa.
.....
Wakaazi wa Mara kama wajita, waruli, wakwaya, wajaluo nk haya ni makabila (baadhi) yenye nafsi choyo, isiyo shirikishi, isiyo penda mwingine apate, yaani hata uchawi utalaogwa tu usifikie lengo.
.....
Nimeona baadhi ya majina ya watu waliowahi kushika mpini wakiwa ndani ya government ya JMT hao wote wapo katika moja ya tunu ya shetani nilizotaja hapo juu so hata kesho ni vigumu kukuta mtu (baadhi) kabila kutoka mara akampa mwenzake support kufikia lengo/matarajio.
....
Mkoa wa Mara hauwezi kujengwa na watu wa mkoa huo labda wageni, kwanza vijana wengi waliotoka huko wanaogopa kurudi kufanya investment kwao wakiwa na hofu nilizotaja hapo juu.
.....
Mfano: kuna baadhi ya wakaazi (businessman/women, leaders, raia wa kawaida nk) wa jiji la Dar waliwahi kuandaa malengo kazi na maendeleo kwa mkoa wa Mara hakuna kitu kilichofikiwa mpaka kesho.
....
MAONI: Nawashauli wananchi kutoka mkoa wa Mara muombe Mungu awabadilishe na muache mambo haya, KIBURI, UJUAJI, KUSENGENYA, KUTETANA, nawaapia mkiacha hizo nk basi neema tele.
Halafu unaweza kushangaa mtu kama wewe kwenu ni Taboraa!!

Unafki mbaya sana.
 
Mdogo wangu ameenda likizo baada ya kupata kazi wamemloga.Ameepa kutokanyaga bila sababu maalumu,pia watu wakipata mtaji wanakimbia ujambazi hivyo wanaangalia mikoa mbadala.
 
Nimefanya kazi na watu wanaotokea Mara wengi wao kwa asili wana wivu sana na ni wafitini mno.
yani kama ulikuwepo kichwan mwangu...
ni selfish
wajivuni
wajuaji
kunaaringo fulani hivi../kujisikia
wanajua kila kitu....
 
yani kama ulikuwepo kichwan mwangu...
ni selfish
wajivuni
wajuaji
kunaaringo fulani hivi../kujisikia
wanajua kila kitu....
Kabisaaa.... kubwa kuliko yote ni wivu!! Anaweza kukukasirikia kisa tu unamzidi kitu fulani.... yupo tayari kukopa ili anunue kitu ashindane nawewe
 
Mutatigha ubhukangi bhare bhachabhani, weito Mara itarenge igho mokogheghamba, yaani mnaongea kitu msichokijua na mnafanya analysis ya uongo, Mara tupovizur na tunaendana na jins uchumi unavyokuwa na jinsi vipato vya wanamara vinavyoruhusu, ivi ni mkoa gan ambao hauna ushirikina? Ni mkoa gan ambao hauna maeneo ya vijijin na watu maskin? Nazan hapa tujadili kwa muktaza wa uharisia wa maisha ya mtanzania na sio kusema Mara ilikuwa na viongoz BT maendeleo hakuna, kwanza uliesema Mara hakuna maendeleo labda utuambie ulimaanisha maendeleo yapi? Coz kama ni fursa za biashara, kilimo, ufugaji, zote zipo, haya miundombinu ipo main road sirari to mwanza,3airports nyamongo, musoma na mugumu, kuna bandar musoma, secondary schools A level and o level za kutosha, university IPO, vyuo vya diploma na certificate vya kila fani vipo, kama ni wasomi wapo wa kutosha. Au we mleta mada ulitaka Mara iweje ?
 
Hapo Mnaongelea Musoma na vitongoji vyake, Tarime pako poa sana, ni mji ambao mgeni hata akifika hatamani kuondoka, fursa zipo kibao, na Yule aliyesema Wakurya wana husuda na fitina hawajui vizuri, labda anahisi Mkoa wote wa Mara wenyeji ni Wakurya, Musoma nature ya eneo ndio inapafanya pawe nyuma, ni peninsula, barabara ya kutoka na kuingia ni hiyo hiyo moja, hakuna shughuli yoyote ya maendeleo mbali na uvuvi ambao ni wa kusuasua ukilinganisha na maeneo mengine kama Bunda na Mwanza, hali ya hawa na ardhi sio nzuri kwa kilimo, wenyeji wake sio wafugaji, pale kupata maendeleo ni ngumu sana, ni bora hata Makao Makuu ya Mkoa wangepeleka Tarime
Nakuunga mkono,wilaya inayoendelea katika mkoa wa Mara ni wilaya ya Tarime,Tarime mjini imejengeka vizuri,nimezunguka mkoa wa Mara wote, afadhali Tarime,licha ya mji wa Tarime kuwa katika katika mpangilio mzuri, pia wananchi wanamaendeleo mazuri,hospitals na vituo vya afya ni vingi sana,shule za kata,kuna kata ina shule zaidi ya tatu,wananchi wa Tarime kuna aina fulani ya kuhamasishana na kufanya maendeleo,wanaita (saiga) hao watu wakiamua hata kujenga shule mpya ndani ya mwaka mmoja huwa imekamilika,Tarime ina miji midogo miwili na sio kwamba ni midogo kivile,ni mikubwa inaenda kulingana na misungwi au Maswa,au meatu,miji hiyo ni Sirari na Nyamongo, ila Musoma mjini,Butiama,Vijijini hao ndo watu wa majungu,nimetembea musoma mjini kwa kweli ule mji umechoka sana,mkoa wa Mara una makabila mengi tu kama Wazanaki,wakurya,wajita,wajeluo,waikoma,wangoreme,waikizu na vikabila bingine vidogo ila wakurya ndo kabila ambalo watu wake wanamaendeleo, kuna hawa wajeluo nilifikapo huko Rorya,vijana wakijeluo ni kucheza madisko vumbi,karata,na pool,senta za Rorya zimechoka sana,ndo maana wengi wao wamekimbilia kuishi Tarime na baadhi ya maeneo ya Serengeti,yaani hakuna kabila nililodharau kama wajeluo,hawana muda na maendeleo yao binafsi,nyumba za tembe za nyasi ni nyingi sana Rorya,licha ya kuwa na ziwa Victoria lakini vijana wapatapo hela ni kuhonga,senta za uvuvi za Rorya zimechoka sana,nimewahi kufika sehemu moja inaitwa Sota ni senta ya uvuvi,du nilishka kiuno,imechoka sana,mji wa shirati upo karibu na ziwa kama km 10 kutoka ziwani,ndo usiseme umechoka sana,watu wa Rorya,musoma Vijijini,na mjini kiukweli mnaebisha mkoa wa Mara,tatizo la wakurya ni kuibiana ng'ombe ambao hupelekea koo kupigana,ila hayo mengine wapo vizuri
 
Hapa patanifaa nikiwa ni mfuatiliaji wa Michango ya WADAU
 
Nakuunga mkono,wilaya inayoendelea katika mkoa wa Mara ni wilaya ya Tarime,Tarime mjini imejengeka vizuri,nimezunguka mkoa wa Mara wote, afadhali Tarime,licha ya mji wa Tarime kuwa katika katika mpangilio mzuri, pia wananchi wanamaendeleo mazuri,hospitals na vituo vya afya ni vingi sana,shule za kata,kuna kata ina shule zaidi ya tatu,wananchi wa Tarime kuna aina fulani ya kuhamasishana na kufanya maendeleo,wanaita (saiga) hao watu wakiamua hata kujenga shule mpya ndani ya mwaka mmoja huwa imekamilika,Tarime ina miji midogo miwili na sio kwamba ni midogo kivile,ni mikubwa inaenda kulingana na misungwi au Maswa,au meatu,miji hiyo ni Sirari na Nyamongo, ila Musoma mjini,Butiama,Vijijini hao ndo watu wa majungu,nimetembea musoma mjini kwa kweli ule mji umechoka sana,mkoa wa Mara una makabila mengi tu kama Wazanaki,wakurya,wajita,wajeluo,waikoma,wangoreme,waikizu na vikabila bingine vidogo ila wakurya ndo kabila ambalo watu wake wanamaendeleo, kuna hawa wajeluo nilifikapo huko Rorya,vijana wakijeluo ni kucheza madisko vumbi,karata,na pool,senta za Rorya zimechoka sana,ndo maana wengi wao wamekimbilia kuishi Tarime na baadhi ya maeneo ya Serengeti,yaani hakuna kabila nililodharau kama wajeluo,hawana muda na maendeleo yao binafsi,nyumba za tembe za nyasi ni nyingi sana Rorya,licha ya kuwa na ziwa Victoria lakini vijana wapatapo hela ni kuhonga,senta za uvuvi za Rorya zimechoka sana,nimewahi kufika sehemu moja inaitwa Sota ni senta ya uvuvi,du nilishka kiuno,imechoka sana,mji wa shirati upo karibu na ziwa kama km 10 kutoka ziwani,ndo usiseme umechoka sana,watu wa Rorya,musoma Vijijini,na mjini kiukweli mnaebisha mkoa wa Mara,tatizo la wakurya ni kuibiana ng'ombe ambao hupelekea koo kupigana,ila hayo mengine wapo vizuri
Umetaja sota nikakumbuka senta moja inaitwa Juakali.
Ni eneo maarufu sana kwa ununuzi wa samaki upande ule wa shirati, ila vijana wakipata hela ni kujiachia na anasa tu.

Inasikitisha sana kwa kweli
 
Nakuunga mkono,wilaya inayoendelea katika mkoa wa Mara ni wilaya ya Tarime,Tarime mjini imejengeka vizuri,nimezunguka mkoa wa Mara wote, afadhali Tarime,licha ya mji wa Tarime kuwa katika katika mpangilio mzuri, pia wananchi wanamaendeleo mazuri,hospitals na vituo vya afya ni vingi sana,shule za kata,kuna kata ina shule zaidi ya tatu,wananchi wa Tarime kuna aina fulani ya kuhamasishana na kufanya maendeleo,wanaita (saiga) hao watu wakiamua hata kujenga shule mpya ndani ya mwaka mmoja huwa imekamilika,Tarime ina miji midogo miwili na sio kwamba ni midogo kivile,ni mikubwa inaenda kulingana na misungwi au Maswa,au meatu,miji hiyo ni Sirari na Nyamongo, ila Musoma mjini,Butiama,Vijijini hao ndo watu wa majungu,nimetembea musoma mjini kwa kweli ule mji umechoka sana,mkoa wa Mara una makabila mengi tu kama Wazanaki,wakurya,wajita,wajeluo,waikoma,wangoreme,waikizu na vikabila bingine vidogo ila wakurya ndo kabila ambalo watu wake wanamaendeleo, kuna hawa wajeluo nilifikapo huko Rorya,vijana wakijeluo ni kucheza madisko vumbi,karata,na pool,senta za Rorya zimechoka sana,ndo maana wengi wao wamekimbilia kuishi Tarime na baadhi ya maeneo ya Serengeti,yaani hakuna kabila nililodharau kama wajeluo,hawana muda na maendeleo yao binafsi,nyumba za tembe za nyasi ni nyingi sana Rorya,licha ya kuwa na ziwa Victoria lakini vijana wapatapo hela ni kuhonga,senta za uvuvi za Rorya zimechoka sana,nimewahi kufika sehemu moja inaitwa Sota ni senta ya uvuvi,du nilishka kiuno,imechoka sana,mji wa shirati upo karibu na ziwa kama km 10 kutoka ziwani,ndo usiseme umechoka sana,watu wa Rorya,musoma Vijijini,na mjini kiukweli mnaebisha mkoa wa Mara,tatizo la wakurya ni kuibiana ng'ombe ambao hupelekea koo kupigana,ila hayo mengine wapo vizuri
Mkuu wewe unapajua Mara vizuri, Mimi nimetembea mikoa mingi sana, zaidi ya 15 , na Mkoa wa Mara nimefika sehemu nyingi, kiukweli Tarime nilipapenda, tatizo lake ni usalama, maana raia wa kule kukiwasha ni dkk sifuri, ukiwa unatoka Sirari kuelekea Mwanza, kama ukitazama vizuri, kuna ukijani flani ambao ni continuation Kenya ambao hupotea kadiri unavyoiacha Tarime, ukija huku maeneo ya Musoma vijijini na mjini ndio hali ya hewa ni tofauti kabisa ni pakame.
Vile vile Tarime kama pale Sirali ni boda iliyochangamka sio kama boda nyingine, ukijumlisha na Mgodi ule wa Nyamongo, unafanya ule mji uwe mzuri kwa kukaa na utafutaji.
Mimi binafsi nilipapenda sana Tarime na ni Kati ya miji niliyoichagua kuwa na makazi yangu
 
Kuna mambo makubwa matatu ambayo yangefanyw aMkoa wa Mara na Musoma ingeendelea sana.

Kwanza Reli ya Tanga Musoma ingejengwa halafu bandari ya Musoma iimarishwe, maana plan ilikuwa ni Uganda na Sudani ya kusini kuchukua mzigo wao kutokea Bandari ya Musoma mara baada ya kupokelewa kutokea Tanga.

Pili Makao makuu ya hifadhi ya Serengeti yangewekwa Mugumu.

Tatu Boda ya Sirari ingepewa nguvu iwe kama Namanga ya Arusha.

Mzunguko wa pesa ungekuwa mkubwa sana kama mambo hayo yangefanyika na automatically Mara ingeenda mbali sana.

Haya mambo ya tabia za makabila ya watu na ushirikina yapo kila mkoa, nimezunguka nchi hii hakuna mkoa ambao makabila yake hayana mambo ya hovyo hovyo
 
Mkuu wewe unapajua Mara vizuri, Mimi nimetembea mikoa mingi sana, zaidi ya 15 , na Mkoa wa Mara nimefika sehemu nyingi, kiukweli Tarime nilipapenda, tatizo lake ni usalama, maana raia wa kule kukiwasha ni dkk sifuri, ukiwa unatoka Sirari kuelekea Mwanza, kama ukitazama vizuri, kuna ukijani flani ambao ni continuation Kenya ambao hupotea kadiri unavyoiacha Tarime, ukija huku maeneo ya Musoma vijijini na mjini ndio hali ya hewa ni tofauti kabisa ni pakame.
Vile vile Tarime kama pale Sirali ni boda iliyochangamka sio kama boda nyingine, ukijumlisha na Mgodi ule wa Nyamongo, unafanya ule mji uwe mzuri kwa kukaa na utafutaji.
Mimi binafsi nilipapenda sana Tarime na ni Kati ya miji niliyoichagua kuwa na makazi yangu
Tarime ni mji mzuri ndio na una vyakula vingi.

Ila asili ya wale watu aisee ni wizi na ujambazi.

Ndio maana wengi wakitusua wanakimbilia Mwaza.
Ukienda Igoma Mwanza au maeneo ya Nyakato yote utadhani umeingia Tarime ndogo kwa namna walivyorundikana kule.
 
Mkoa wa Mara ni miongoni mwa mikoa ambayo imebahatika kutoa viongozi wengi katika Serikali zote za kuanzia muasisi wa taifa hili.Lakini ni kati ya mikoa ambayo maendeleo yake yako nyuma sana, ukifatilia kiundani ni kuwa hata viongozi ambao walipewa nyadhifa mbalimbali wao kwa wao hawaelewani bila kujali itikadi zao za vyama.

Kwa mfano Wasira na Jaji Warioba ni watu wasiopikika chungu kimoja japo wote wako ccm. Mwanasheria mkuu aliyestafu Jaji Welema na Mbunge Nimrod Mkono na Pro ,Mhongo ni maadui na uhasama huu unatokana na masilahi,baada ya kuchaguliwa Mhongo kuwa waziri wa nishati kwa kushirikiana na Mwanasheria mkuu Jaji Welema walikata mirija ya ulaji ambayo Nimrod mkono alikuwa analipwa kwenye kampuni yake ya uwanasheria kutokana na lile sakata la Dowas.

Mkono nae nae akaamua kuwalipua kwa kumpa documents Kafulila na kuwakomalia mbugeni na kusababisha Mhongo,Eriakim Maswe na Welema kupoteza nafasi.

Ninachomaanisha hapa ni kuwa viongozi kutoka mkoa wa Mara bila kujali itikadi zao ni watu ambao hawawezi kukakaa meza moja na kuzungumzia matatizo ya Mara kwa sababu wao kwa wao hawapendani.

Ni mji ambao hata miundombinu yake ni shida pamoja na kuwa na ziwa victoria lkn maji bado ni shida hasa kwa wakazi wa nje kidogo ya mji, Ukienda makao mkuu ya wilaya ya Serengeti mji wa Mugumu huwezi amini palivyo choka na wakati wako karibu na hifadhi.

Wakuu wa kaya nao wameususa kuanzia awamu ya Jk na sasa JPM ndio hana hbr kabisa na mkoa wa Mara.

Tupatiwe fursa hata viwanda vilivyokuwepo vifanye kazi pamoja na kuwa na chuo kikuu ,kwani chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere ni jina tu hakuna kinachoendelea.

Kwani Watu wa Mara tuko kwa ajili ya Mkoa wa Mara au kwa nchi ya Tanzania kwa ujumla? Hivi umesahau kwamba mafanikio ya nchi nyingi za Kusini mwa Afrika ambazo sasa zimepata Uhuru na mafanikio zimesaidiwa na Tanzania hii hii ambayo leo ni masikini? Huoni kwamba Tanzania hatukutaka kuwahi kuwa na mafanikio ya haraka mpaka Kwanza tuwakomboe Wenzetu Kisiasa na Kiuchumi? Hivyo hivyo basi Sisi Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) kupitia ' Poti ' wetu Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere tunajivunia mno kuwa ' chachu ' Kuu ya Ukombozi wa Taifa hili hivyo wana Mara wa sasa ndiyo watakuja kuibadili Mara ( Musoma ) na kuwa ambavyo ungetaka Wewe iwe.
 
mara watu wake ni wagumu sana kuongeza wanawake nisifa mke kuletewa mke kwao ni sawa mwanaume anakula siri na wazazi akipata hawara jioni asubuhi ni mke [emoji12]ukiona amepata pesa tegemea wake hata kumi siyo maisha
 
Mkoa wa Mara labda Tarime somehow, nimefika Tarime ni pazuri siyo siri,hata ukifika stendi ya Mabasi Buzuruga Mwanza,ukasimama pale ,mabasi yanayoenda Tarime-Sirari,kwa muonekano wa nje na ndani kiukweli yanavutia sana,tofauti ya mabasi yanayoenda musoma,mabasi ya musoma jamani kuanzia nje mpaka ndani du,hayana tofauti na mabasj yale ya Sabuni,mabovu kweli,
Hata mimi nikiambiwa chagua sehemu ya kuishi naenda Tarime
Mugumu sijawahi fika siwezi nikaelewa,
Bunda,somehow inaendelea,ila kule Vijijini ni pakavu na maskini wa kutupwa,hii barabara ya Bunda ukerewe Mara ya mwisho kupita kule ilikuwa barabara ya vumbi
Kiukweli musoma mjini dah,sijui nisemeje,kumechoka,hakuna na maendeleo yanayoendelea pale
Kule musoma ndo kuna watu wa majungu,wajita,wakwaya hao watu,kazi yao ni kuchunguza mambo ya wengine

Tabia za wakurya nilizobaini ni kwamba,wakurya kweli wanajishugulisha,ni watafutaji sio siri, wanapendana wakitoka nje ya mkoa wa mara,kwa mfano,wakurya walioenda Dar kutafuta maisha wakasetle Ukonga,walianza kuitana mmoja mmoja ,mpaka wakajazana huko Dar,kitunda,banana,gongo la mboto,mpaka kule ndani msongola
Pia mwanza wapo mabatini,kapri point na visehemu sehemu mkoa wa mwanza na hawa wanapiga biashara na mishe nyingine nyingi
Pia hawachagui kazi,ulinzi wamo,migodini wamo,machinga wamo,na kila mkoa utakutana na wakurya wanatafuta maisha
Ila makabila hayo mengine hakuna kitu,wamelala tu
 
Kwani Watu wa Mara tuko kwa ajili ya Mkoa wa Mara au kwa nchi ya Tanzania kwa ujumla? Hivi umesahau kwamba mafanikio ya nchi nyingi za Kusini mwa Afrika ambazo sasa zimepata Uhuru na mafanikio zimesaidiwa na Tanzania hii hii ambayo leo ni masikini? Huoni kwamba Tanzania hatukutaka kuwahi kuwa na mafanikio ya haraka mpaka Kwanza tuwakomboe Wenzetu Kisiasa na Kiuchumi? Hivyo hivyo basi Sisi Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) kupitia ' Poti ' wetu Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere tunajivunia mno kuwa ' chachu ' Kuu ya Ukombozi wa Taifa hili hivyo wana Mara wa sasa ndiyo watakuja kuibadili Mara ( Musoma ) na kuwa ambavyo ungetaka Wewe iwe.
Kumbe wewe ni wa huko? No wonder uko hivyo!!
 
Back
Top Bottom