Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Wewe , unajuwa ni makabila mangapi Tanzania yenye mila za kukeketa wanawake?
 
Maswi na Werema kwao ni Tarime na Mkono ni Butiama na sio Musoma vijijini.
Acha uongo mkuu Werema kwao sio Tarime labda huyo maswi ndo sijui lakini Werema kwao ni msoma vijijini sasa Butiama, amejenga tarafa moja ya Kiagata kijiji kinaitwa kongoto ukipita hiyo senta ya kongoto chini kidogo mkono wa kulia.
 
Mkuu kama unamzungumzia Werema yule aliyemuita kafulila tumbili kwao/kwake ni kongoto/kiagata.
 
Hata wewe hujui kitu bora unyamaze mkuu mkono hayuko musoma vijijini

Mhongo - Musoma (v)

Mkono - Butiama.
 
Kabisaaa.... kubwa kuliko yote ni wivu!! Anaweza kukukasirikia kisa tu unamzidi kitu fulani.... yupo tayari kukopa ili anunue kitu ashindane nawewe
Kiongozi naona kama mnaongelea watani zetu Wahaya!!
 
Kwel werema kwao ni Kongoto jirani na wegero
 
Kuhusu Wakurya Mimi binafsi hunidanganyi. Hawa watu ni wafitini na watu wa kujipendekeza na kuchongea wenzao makazini. Waulize Polisi sasa hivi wanavyolia kwa kuongozwa na Mkurya. Ni wanafiki kuliko kawaida.
Wakurya huwa sio watu wa kucompromise, ni watu wa nyeupe kuita nyeupe, watu wengi wanaowalalamikia huwa ni wale ambao washazoea kubebwa bebwa, kama unafanya kazi yako vizuri hautauona huo ufitini wao, sema sisi tumezoea unafanya kazi substandard ukiwajibishwa unamuona bosi mfitini na mnoko, yaani katika makabila ambayo nimeona ni wafitini Wakurya wapo kwenye top za mwisho.
 
Nimefanya kazi na watu wanaotokea Mara wengi wao kwa asili wana wivu sana na ni wafitini mno.
Nakumbuka waliniwekea sumu kwenye chakula moja pili wakaniwekea majambazi nusu waniue .
Hawakutosheka wakafanya juu chini nitolewe kazini.
Yaani acha hicho kimama cha bosi nikibaya sana hao watu ni wavivu na wanapenda ngono balaaa ndio raha yao nalujisifia hakuna cha elimu au nini yaani tunawajua niwabaya.
Wanaweza kukua
 
Umeeleza kwa hisia kali sana!! Hebu simulia vizuri mama ilikuwaje?
 
watu wa mara majungu na kudharauliana sio mchezo nipo nao ni majirani zangu pia
 
Umeeleza kwa hisia kali sana!! Hebu simulia vizuri mama ilikuwaje?
Walinita kazini huko kwao mara nikafanya miezi miwili tu kwa raha siku nyingine majungu visa mateso na kejeli kibao.
Nilikuwa mdogo sana.
So niliot joto la jiwe .
Kuna siku walisema nipo na bosy ndio maana na cheo.
Mama huyo alinitesa mpaka kiakili.
Akawa na shida kweli
Kajua niuongo kwisha tukaanza tena maisha wakaja eti kila siku nideki ofiso wamegoma kusafisha kisa nipo.
Kingine nikivaa nguo zakimalaya eti huko nimekuja kujiuza ukivaa chochote wanalazimisha umekosea ukifanya chochote wewe unafanya kwa maana unajiona unajua sisi hatujui.
Hawabadiliki kuwa maendelelo wao ni visa tu.
So ikaja siku moja wakanisingizia kuwa mimi nafanya hoteli kama yangu naninaipeleka kama ninavyotaka mimi kisa mi ni bi mdogo ndio tatizo nimepewa cheo wao hata form four hawajafika so ilikuwa shida mara nawapelekesha hawana raha hawawezi kufanya kazi kisa mimi nipona ninawachanganya kzi ipo ikagonga mwamba.
Sasa wakaona sumu ni sababu nayo siku ila nilisanuliwa halafu kingine wakaniwekea wabakaji na wauaji bado haijatiki kuona hivyo nikaona niache kazi.
 
Nawajua kuliko unavyofikiri. Siongei kutoka hewani. Ni ndugu zangu, ni rafiki zangu, ni watumishi wenzangu, ni jirani zangu.
 
Hao ndo watu wa Mara ninaowafahamu, wivu wao hupelekea kuua hata kwa sababu ya kijinga. Hawana tofauti na Warangi.
 
Maneno mazito haya,lakini cha ajabu sisi wenyeji wa maeneo haya bado hatujaamuka,totaimoka pare pamura peito tongekong'ainwa tutune omonto omosacha sacha kama heche atuitanele,teh teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…