cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Yani anashindwa kumjali usingizi wake anahangaika na ndugu hapo maendeleo lazima uyaone kwenye bomba, hawajaligi hisia za wenzi waoHiyo ilinitokea mm bwana,alipatwa na tatizo la kifamilia basi ikawa ndo sababu,ukipiga simu hapokei ,nikamfuata akaniambia et kwa sasa hataki kuongea na mtu tofauti na ndugu zake...kila kitu kwake ,na najua yupo huku nikwambie tu wwe kaka ulinichosha kwa kweli ,sio kwa stress zile,