Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Nani aliyetulaani wana wa mkoa wa Mara?

Sikia nikwambie yaani si kuchukia bali ni kubadilika tu, piga pic hii kuna kaka hapa hapa dar alikuwa anaongea na simu kapita barabarani akawa anamuelekeza mwenzie ni mgeni sehemu hiyo akiwa barabarani yupo usawa wa nyumba ya huyo kanda maalumu huyo mwenye nyumba katoka nje eti unatizama nini, kaka yule hakuongea kitu akapita, jioni anasindikiza mgeni wake kwenda kupanda gari wanatembea yule baba katoka na panga eti leo kila unapopita unaangalia kwangu unaangalis nini ngoja nikugeje yupo siliasi kabisa ndiyo mjeda 1 akaikutia hiyo na anamfahamu huyo kijana ndiyo kumkaripia huyo baba halafu naye ni wahuko huko sasa hapo unasema nini jamani [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sasa huyo jirani alizidi umbeya...

Sisi hatutaki kufuatiliwa sana huyo alifaa kabisa kugechwa
 
Watu wa mara nendeni mbeya mkagandamizie jinsi wananchi wa kule wanavyoenda na sirikali yao halafu muulize walifanyeje kisha mwende mara mkalianzishe serikali iko bize na dar na dodoma
 
Naona Kuna vidada vimeachwa na bwana zao wanakuja kumalizia hasira zao kwa wana Mara wote...

Sisi wana Mara huwa hatulilii mapenzi ukizingua unapigwa chini mwenzio anachukua nafasi...

Muda wa kuanza kubembeleza huwa hatuna kabisa...

Kwa hiyo kama mnataka kubembelezwa ukijua anaekutongoza anatokea mara wewe mpige chini tu.....

Dada zetu mbona warembo sana na tunawapenda hatuna Muda wa kupeti peti wasaghane...Araaaaa
 
Naona Kuna vidada vimeachwa na bwana zao wanakuja kumalizia hasira zao kwa wana Mara wote...

Sisi wana Mara huwa hatulilii mapenzi ukizingua unapigwa chini mwenzio anachukua nafasi...

Muda wa kuanza kubembeleza huwa hatuna kabisa...

Kwa hiyo kama mnataka kubembelezwa ukijua anaekutongoza anatokea mara wewe mpige chini tu.....

Dada zetu mbona warembo sana na tunawapenda hatuna Muda wa kupeti peti wasaghane...Araaaaa
Acha ushamba kto...mba hata hamjui kabisa hamko romantic acheni ujinga Dada wenu wazuri mbona mnawakimbia kisa kukeketwa
 
Nani kakwambia tunawakimbia ila ukijipendekeza utaliwa tu, ...

Na ukionekana huna vigezo unabwagwa tu kama ww ulivyofanywa
Siwezi kubwagwa na wavuta bangi na wajinga watu washamba hata siku moja aisee
 
Nimejifunza viongozi kutoka mkoa wa Mara ni mafisadi

Mifano [emoji115][emoji115]
 
Kuhusu Wakurya Mimi binafsi hunidanganyi. Hawa watu ni wafitini na watu wa kujipendekeza na kuchongea wenzao makazini. Waulize Polisi sasa hivi wanavyolia kwa kuongozwa na Mkurya. Ni wanafiki kuliko kawaida.
Unazungumzia wakurya Au wahaya? Embu soma mada vzr tunazungumzia wakurya
 
Kuna wadada wawili humu bila shaka wana maumivu ya kuachwa na wanaume wa kikurya....kitu nachojua wakurya hatujawahi kupungukiwa na wanawake wazuri...sijazaliwa huko lakini kwa wakurya nao wajua hapa dar,wote wana wanawake wazuri halafu we don't care..kuvunja mahusiano kwetu simple tu..tuna sura ngumu &viburiiiii tunawaendesha wanawake wazuri tutakavyo halafu tunavunja mahusiano sasa Hilo beef lake sasa.Mapenzi yenyewe wanasema hatujui lakini wanawake wazuri tuna Nyota nao hatari.Sisi ukiachana na sisi lazima utuchukie sababu piga ua lazima tukuendeshe tutakavyo na uzuri wako mixer makofi wakati sijakuoa halafu mwisho wa siku nakuacha kwenye mataa...
 
Acheni kukimbilia kuachwa acheni tabia za kijinga
No romantic na baridi hii wenzo wanalala wamekumbatiana wenyewe wanakumbatia sime na mapanga
na mdomo anaachamia sebuleni [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wewe sasa una matatizo yako
Hauwafahamu wakurya
Hizo ni fikra zako tu ndogo ndizo zinazokutuma kufikiri hivyo

Unaposema wakurya ni kama useme wachaga
Humo ndani yake kuna Wamarangu, wakibosho, wamachame n.k
na wakurya nao wapo hivyo hivyo
Humo ndani kuna wanchari, warenchoka, wakira, wanyamongo n.k

Sasa usipende sana ku generalize
Coz tabia za wamachame sio tabia za wachaga wote
Hivyo jifunze
Wakurya wako straight na hawana Kona Kona Kama wachangiaji wengine wanavyoropoka. Najua wenye majungu na wivu ni wajita na wakwaya. Watu wengi wanakariri kwa kto wajua wakurya kiundani. Sio Kila mtu anaetoka Mara ni mkurya. Kwa mfano, wakabwa, wasimbiti ,wakenye na wakiroba ni jamii ya wakurya japo hawaishi Tarime na viunga vyake na wengi wa hao wapo musoma vijijini. Wakurya halisi ni Kama mareh. Chacha wangwe.Heche.Ester Mariko Kwa uchache.
 
Back
Top Bottom