Nani aliyewashauri TFF na Bodi ya Ligi kuingiza timu nne kwenye michuano ya Ngao ya Jamii?

Nani aliyewashauri TFF na Bodi ya Ligi kuingiza timu nne kwenye michuano ya Ngao ya Jamii?

Jibu hoja kaka.

Mimi hunifahamu na sikufahamu?

HIYO mishipa ya shingo umeitoa wapi???
UNAKUWA MBEA KAMA MTOTO WA KIKE, AU WEWE SI MWANAUME.

NINAWASIWASI NA JESHINI WALIVYOKUFANYA
Jeshi la ukoo wenu ndiyo linataka watu wanaofanyiwa hivyo lakini la huku halitaki michezo yenu afande Rama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
hiyo ni mbinu ya karia kujitengenea mazingira ya kugombea ubunge, Tanga tayari Kuna Timu ya ligi kuu. Tanga amejenga kituo Cha michezo kupitia pesa za FIFA kingine kimejengwa Kigamboni.
Kwa Timu Timu 3 zinatoka dar es salaam hivyo ni kuziongezea gharama zisizo za msingi.
 
hiyo ni mbinu ya karia kujitengenea mazingira ya kugombea ubunge, Tanga tayari Kuna Timu ya ligi kuu. Tanga amejenga kituo Cha michezo kupitia pesa za FIFA kingine kimejengwa Kigamboni.
Kwa Timu Timu 3 zinatoka dar es salaam hivyo ni kuziongezea gharama zisizo za msingi.
Naunga mkono hoja[emoji91][emoji2935]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na wakilishi hiyo siyo hoja wanaweza kulazishwa kuunga hoja
Usimuogope, nenda ukamuulize kwanza kama alilazimishwa kuunga mkono hoja au yeye ndiye aliyelazimisha wengine kuunga mkono hoja.
 
Ile kulazimisha Ngao kuwa kombe ambalo linatengeneza treble ndo kumesababisha haya yote. Imewekwa hivyo ili kuipa hadhi ya kombe hiyo Ngao ya jamii.


Pambaneni.
 
Sasa Simba na yanga zikicheza Tanga
Mikoa JIRANI kama.

ARUSHA.
KILIMANJARO.
MUSOMA.
MANYARA.

yote inavutika kwenda kuangalia mchezo.

Baada ya hapo NAO wanaanza kutamani kuwa na mpira kwenye Mikoa Yao.

Wanaanza kuweka strategies za kucheza LIGI KUU.

Either.
1. Kuwa na timu za vijana..

2. Kujenga Academy.

3. Kuinunua timu ya champion league mfano pamba, DTB nk.

4. Kujenga viwanja vya MICHEZO nk.



NB
HUWEZI UKASHINDANA NA MIMI KWA HOJA SI RAIS MTU YOYOTE KUNIZIDI AKILI HAPA JF. NA TZ.
Musoma ipo karibu na Tanga? alloh!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa Uandishi mzuri na upangiliaji WA hoja.

1. Pesa za mchezo mmoja ni tofauti na pesa za MICHEZO MITATU. Kama mchezo mmoja unazalisha Milioni 200 michezo MITATU itazalisha Fedha nyingi zaidi Milioni 600
Mala tatu ya mchezo mmoja.

2. LIGI zinachezwa lakini ni tofauti.
Simba na yanga ni habari nyingine, Simba na Azam ni timu Nzuri.
Zina mashabiki Kila kona ya nchi,
WATU watatamani NAO WAWE wanaziona kwenye Mikoa Yao.
WATAKUWA serious kupandisha timu ZAO kwenye LIGI KUU.

3. Maandalizi ya pre season na mchezo WA Dakika tisini WA mashindano ni vitu viwili tofauti.
Simba walikwenda UTURUKI kwa Malengo....

i. Wachezaji kuwa na stamina pumzi NGUVU.

ii. Kupata mazingira tulivy kwa maandalizi ya MSIMU.

iii. KUISHI karibu na Miundombinu Bora.

Pre season ni kuipa miwili Mazoezi Magumu mno, pumzi, NGUVU, uimara, chakula KIZURI kwa Mazoezi, nguvu, kutokuumia, ma gym machuma,
KUUTANGAZA timu nk

Pre season sio Mechi dk 90.
Ni maandalizi ya dk 90
Baada ya kucheza Mechi ndipo unaji asses preseason kama.
Wachezaji hawachoki, wananguvu, wanaelewana, Wana Kasi unayoitaka, wanaruka vizuri nk nk nk.


HILI LA SIASA SILIJUI.
NINACHOJUA MIMI NGAO YA JAMII NI KUPELEKA SADAKA KWA WAHITAJI.
TENA 100%

KAMA WEZI NI WAO ILA LENGO LA FIFA NI KUIRUDISHI JAMII, KUTAMBUA MCHANGO WAO, KUIFARIJI JAMII NK
Mkwakwani upate 200m kwa mechi ya simba vs singida fg? Au yanga vs azam? Labda dola zimbwabwe.
 
Wanaogopa Yanga itabeba tena so wanaiwekea vikwazo mapema
 
Back
Top Bottom