Nani ameelimisha sana jamii? Jay Mo (Mo technique ) Vs Fid Q (Farid Kubanda)

Nani ameelimisha sana jamii? Jay Mo (Mo technique ) Vs Fid Q (Farid Kubanda)

Fareed kubanda mzuri sana. Sema mashairi yake yako very technical watoto wa mama wanaweza wasimwelewe.
 
Binafsi, maisha ya boarding yalinihenyesha saaana kuhitimu high school. Na niliporudi kitaa nikaisikiliza vyema Story Tatu... completely nikawa nimekiri kuwa ama kweli Ulimwengu ndiyo Mama !

Wats'Up Jay Mo...

-Kaveli-
 
Hakuna asiyeelimisha jamii kati yao... Mmoja anatumia njia ya hadithi mwingine anatumia njia ya Tafakuri.
 
Jay moe
1.ulimwengu ndio mama
2.majukumu
3.mshamba ft juma nature
4.Safari njema ft dudubaya and complex
5.nataka demu ft q chief and solo thang
6.maisha ya boarding ft dully sykes
7.mpenzi kwaheri ft TID
8.misosi mitungi na pamba ft AY
9.bishoo
10.Mvua na jua
11.cheza kwa step ft ngwea
12.kimya kimya ft ngwea
13.kasimama peke yake ft shakii
14.narudi shule ft mwana fa
15.alhamdulilah ft mchizi mox
16.mwingne ft rah p
17.mawazo
18.twende kwa mganga
19.tingisha ft TID
20.Mocumentary
21.story tatu
22.Miss Tanzania ft Ngwea
23.twenzetu ft jcb
24.famous ft p funk
25.hili game

Ntarudi
mkuu hiyo mpenzi kwaheri unayo?
 
Moe technique Moe Fleva hawezekaniki...
Huyu akiamua kuelimisha anaelimisha.. akiamua kuparty bado anavunja...
 
Mvua na jua, maisha ya boding. Mawazo, tathmini, ingekuwa vipi. Zina ujumbe wa kuelimisha fid q yeye ni mzee wa methali nahau na mafumbo
Akiipumzisha itaota kutu kwani hii kitu si ufunguo,anamuomba mungu amsitiri zaidi ya mwili wake na nguo,kijana akawa mchezaji zaidi ya ronaldo wa brazil,anahesabu alichobakiza....
 
Jay Moe zaidi. asilimia kubwa ya nyimbo zake zinapeleka ujumbe kwa jamii tena wa kueleweka kirahisi. angalia hata ngoma zake za siku za karibuni kama "pesa madafu" unaelewa kabisa anachosema hata ukiwa mzee.
 
Jay moe
1.ulimwengu ndio mama
2.majukumu
3.mshamba ft juma nature
4.Safari njema ft dudubaya and complex
5.nataka demu ft q chief and solo thang
6.maisha ya boarding ft dully sykes
7.mpenzi kwaheri ft TID
8.misosi mitungi na pamba ft AY
9.bishoo
10.Mvua na jua
11.cheza kwa step ft ngwea
12.kimya kimya ft ngwea
13.kasimama peke yake ft shakii
14.narudi shule ft mwana fa
15.alhamdulilah ft mchizi mox
16.mwingne ft rah p
17.mawazo
18.twende kwa mganga
19.tingisha ft TID
20.Mocumentary
21.story tatu
22.Miss Tanzania ft Ngwea
23.twenzetu ft jcb
24.famous ft p funk
25.hili game

Ntarudi
Ongeza na I need some money
 
Nawaomben msikilize ngoma za fid zifuatazo SUMU, PROPAGANDA, USINIKUBAL HARAKA. mkisikiliza hizo mrud tubishane naona weng mnachuki na ngosha
 
Nawaomben msikilize ngoma za fid zifuatazo SUMU, PROPAGANDA, USINIKUBAL HARAKA. mkisikiliza hizo mrud tubishane naona weng mnachuki na ngosha
Ulimi mbili
Nyota ya mtaa
Am a professional
Bongo hiphop
 
Back
Top Bottom