Nani amefanya mwaka wako kwenda vizuri hata pale ambapo uliona hutatoboa? Chukua nafasi hii kumshukuru kila aliyesafisha njia yako ukapita bila shida

Nani amefanya mwaka wako kwenda vizuri hata pale ambapo uliona hutatoboa? Chukua nafasi hii kumshukuru kila aliyesafisha njia yako ukapita bila shida

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Habari Wanajf?

Kuna kipindi tunakutana na magumu kwenye maisha mpaka unaweza kufikiria kukata tamaa, lakini kwenye yote hayo kuna watu wamekuwa msaada kwetu kutunyanyua kila tunapoanguka, kutupangusa vumbi na kuhakikisha tunafika tunapotakiwa kufika.

Watu ambao ushauri wao umekuwa msaada mkubwa na unaendelea kuwa msaada mkubwa kwenye maisha yetu. Watu ambao ni kama malaika wametumwa kuja kuangalia, kutuongoza na kutuokoa pale tunapojikuta tumenasa kwenye matatizo makubwa.

Watu ambao wamekuwa wafariji wakubwa hata ukitaka kukata tamaa ukiwafikiria wao unapata nguvu ya kuendelea tena.

Twende kazi...
 
Pongezi ziende kwa Mungu Mwingi wa Rehma na Rais wa Shirikisho la Urussi ndg Vladimir Putin
IMG_20231021_112421.jpg
 
Ninakushuru sana Mungu[emoji1374]. Kuna mambo niliona siwezi kutoboa nimetoboa. Nilikuwa sijui nitafanikiwaje lakinimefanikiwa[emoji1374]
 
Back
Top Bottom